Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumu gan tena mkuu 🤣🤣🤣Wewe utabaki kuonja sumu? Unayajua yatakayofuata?
Wewe una hamu ya kuolewa na Mbowe tu.CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Piga hesabu tangia aanze kuwa mwenyekiti jibu utapataMiaka ya mtu mzima ni mingapi?
Wewe mbona umewashwa na Uzi wangu kwanini usingeendelea kula makandeSwali LA kujiuliza lingine, kwanini unawashwa na Mambo ya chadema, badala ya kushughurika na ma kenge ya ccm, yanayotumbua pesa yako ya Kodi,
Kuanzia kijiji mpaka ikulu, wote ni ccm, na nchi IPO hoe hae,maana kipindi cha shetani jiwe,mlisema wapinzani wanachelewesha maendeleo, sasa nchi mnayo lakini ni madudu matupu,
Kwanini haulizi vyama vingine, wenyeviti wao, udp,cheyo atafia pale, cuf, lipumba, lakini kwa vile chadema ni tishio mnataka mpandikize mamluki, mmeshindwa,
tarehe 7/2/1977 CCM inaongozwa na mwenyekiti mmoja ambaye pia ni rais kwa hiyo msiwashambulie CDM.Huwa najiuliza hivi huyu jamaa freeman mbowe tangia akiwa kijana anahubiri demokrasia kwenye hii nchi lakini yeye mwenyewe ndani ya chama chake ni diktekta wa uwenyekiti tangia akalie hicho kiti ni miaka ya mtu mzima Sasa lakini jamaa hataki kupisha mtu mwingine akalie hicho kiti huyu jamaa tunakua na wasiwasi nae asije chukua nchi halafu yakawa mambo ya Mugabe kujimilikasha Mali na kukataa kutoka madarakani mbowe hataki kuachia uwenyekiti sababu anajua pesa za ruzuku ya chama ni tamu nawaambieni watanzania mkitaka CCM itoke madarakani anzeni na diktekta mbowe huyu jamaa hafai kuwa mwenyekiti hata kama chama kaanzisha baba yake kiufupi mbowe kazeeka na ni tapeli tu
Kama wewe tu.....tofauti ipo wapi na wewe 😀 😀Huwa najiuliza hivi huyu jamaa Freeman Mbowe tangia akiwa kijana anahubiri demokrasia kwenye hii nchi lakini yeye mwenyewe ndani ya chama chake ni diktekta wa uenyekiti tangia akalie hicho kiti ni miaka ya mtu mzima Sasa lakini jamaa hataki kupisha mtu mwingine akalie hicho kiti.
Huyu jamaa tunakuwa na wasiwasi nae asije chukua nchi halafu yakawa mambo ya Mugabe kujimilikasha Mali na kukataa kutoka madarakani mbowe hataki kuachia uwenyekiti sababu anajua pesa za ruzuku ya chama ni tamu nawaambieni watanzania mkitaka CCM itoke madarakani anzeni na diktekta mbowe huyu jamaa hafai kuwa mwenyekiti hata kama chama kaanzisha baba yake kiufupi mbowe kazeeka na ni tapeli tu
Mbowe ni diktekta aiseeTangu
tarehe 7/2/1977 CCM inaongozwa na mwenyekiti mmoja ambaye pia ni rais kwa hiyo msiwashambulie CDM.
CCM wangekuwa wanademokrasia mwenyekiti wa chama angekuwa anajitegemea ili kumsimamia vizuri rais ambaye ni mtu mwenye hulka za kibinadamu anayetakiwa kusimamiwa asiingize matakwa binafsi.
Mbowe ni diktekta aiseeKama wewe tu.....tofauti ipo wapi na wewe 😀 😀
Piga hesabu tangia aanze kuwa mwenyekiti jibu utapata
We massawe ba mkwe wako kakuachia nini?Sacoss ya Baba mkweli hiyo
Acha alinde ugali wa familia
Kwahiyo huo ni umri wa mtoto2004 alianza kwani kinana alianzq lini kuwa kiongozi wa ccm?
Sina hiyo shida ya kupewa mali na wakwe ndgWe massawe ba mkwe wako kakuachia nini?
Kama wewe aisee 😀Mbowe ni diktekta aisee
Mwambie huyoSina hiyo shida ya kupewa mali na wakwe ndg
Ingia DSE
ENDELEENI KUTAPELIWA NA HUYO Jamaa tunamfahamu Toka ujanani mwake ni msanii
Inawezekana nikawa diktekta wa kusema ukweli pia juu ya tapeli mboweKama wewe aisee 😀