Freeman Mbowe ni zaidi ya Dikteta

Freeman Mbowe ni zaidi ya Dikteta

Jamani Mie ni CCM damu lakini Mbowe apewe heshima yake,kuongoza Chama cha upinzani Afrika ni zaidi ya kuwa hata Rais wa Jamhuri ya Tanzania maana unakuwa unapambana na MTU ambaye una resources zote ambazo anaweza kutumia kukumaliza.

Ni ngumu sana kukijenga Chama,ila unaweza kukibomoa ndani tu ya Siku ikawa hasara hata kwa Wananchi kuna kujenga Chama kingine tena cha upinzani kufikia level ambapo imefika CDM.

Imagine Leo hii Ndio Chama angekabidhiwa Kitila Mkumbo/Zitto au Yule Marehemu Chacha wangwe-hiyo CDM ingekuwepo??.huwezi kuongoza Chama cha Upinzani kama huna pesa utaishia mikononi kwa Chama tawala tu.

Kama Mbowe ataachia Chama amkabidhi Lissu au Prof Safari hao ndio pekee nawaona sana upinzani toka Damuni,tatizo lao kubwa hawana pesa hivyo ni ngumu kuongoza Chama.
Au John Heche..sema pesa na umri bado
 
Akifa na chama kinakufa?
Kifo ni hoja nyingine of course hao chadema wana machinery yao, in case ikitokea watajua cha kufanya wao kama wao. Ingawa mi c mshabiki wa vyama niliangalia kwa undani suala la Mwambe kupigiwa chapuo na wana CCM kua anafaa kuchukua nafas ya Mbowe halaf alipokuja kuunga mkono juhudi 🤣🤣🤣🤣 nikashawishika ni bora abaki aliepo mpaka apatikane asie na bei kama Mbowe.
 
Kwani msajili wa vyama vya siasa hakuipitia katiba ya CHADEMA kabla ya kukisajili chama?
Hawa watu nadhan wana agenda yao juu ya pandikizi lao pale cdm, imagine issue ya Mwambe walimpigia chapuo kua anafaa kuchukua nafas ya Mbowe. Angalia Mwambe baada ya hapo alienda wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kifo ni hoja nyingine of course hao chadema wana machinery yao, in case ikitokea watajua cha kufanya wao kama wao. Ingawa mi c mshabiki wa vyama niliangalia kwa undani suala la Mwambe kupigiwa chapuo na wana CCM kua anafaa kuchukua nafas ya Mbowe halaf alipokuja kuunga mkono juhudi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikashawishika ni bora abaki aliepo mpaka apatikane asie na bei kama Mbowe.
Ccm kupigia chapuo akae flani haishangazi maana hiyo ni sehemu ya kazi yao kama chama pinzani.

Lakini kusema akae tu Mbowe maana hanunuliki hii hoja ni ya kijinga kwa chama kama Chadema ndio tunahoji Mbowe akifa ina maana chadema nayo inakufa?
 
Kwa Africa akitoka museven anafata mbowe. Hivi kabla ya mbowe walikiwa wanabadirishana?
 
Na Haondoki... Mlimpiga pini mkakamata mpaka akaunti zake ili apige magoti akagoma...hawa ndio watu tunaowataka nchi hii sio wanafiki wanaochumia matumbo tu!
 
Jamani Mie ni CCM damu lakini Mbowe apewe heshima yake,kuongoza Chama cha upinzani Afrika ni zaidi ya kuwa hata Rais wa Jamhuri ya Tanzania maana unakuwa unapambana na MTU ambaye una resources zote ambazo anaweza kutumia kukumaliza.

Ni ngumu sana kukijenga Chama,ila unaweza kukibomoa ndani tu ya Siku ikawa hasara hata kwa Wananchi kuna kujenga Chama kingine tena cha upinzani kufikia level ambapo imefika CDM.

Imagine Leo hii Ndio Chama angekabidhiwa Kitila Mkumbo/Zitto au Yule Marehemu Chacha wangwe-hiyo CDM ingekuwepo??.huwezi kuongoza Chama cha Upinzani kama huna pesa utaishia mikononi kwa Chama tawala tu.

Kama Mbowe ataachia Chama amkabidhi Lissu au Prof Safari hao ndio pekee nawaona sana upinzani toka Damuni,tatizo lao kubwa hawana pesa hivyo ni ngumu kuongoza Chama.
Mkuu, Mbowe mimi namheshimu sana yule jamaa ni mwamba alafu mstaarabu sana huwezi kukuta anaropoka hovyo.

Ila shida moja ya vyama vingi vya upinzani kwa Afrika hii ni hilo la kutegemea mtu badala ya taasisi. Yani mtu anakuwa na nguvu kuliko chama,. Hebu angalia kama Seif na CUF na baadae ACT kule Zanzibar!

Hili tatizo lipo afrika nzima, angalia hapo Kenya na Uganda.

Uganda alikuwepo Besigye sijui yuko wapi na chama chake badala yake ameibuka yule mvuta bangi bob wine.

Mbowe ni jembe ila sasa chadema inapaswa kujitegemea kama taasisi kwamba akiondoka Mbowe anakuja mwingine kama Mbowe tena.
 
Mkuu, Mbowe mimi namheshimu sana yule jamaa ni mwamba alafu mstaarabu sana huwezi kukuta anaropoka hovyo.

Ila shida moja ya vyama vingi vya upinzani kwa Afrika hii ni hilo la kutegemea mtu badala ya taasisi. Yani mtu anakuwa na nguvu kuliko chama,. Hebu angalia kama Seif na CUF na baadae ACT kule Zanzibar!

Hili tatizo lipo afrika nzima, angalia hapo Kenya na Uganda.

Uganda alikuwepo Besigye sijui yuko wapi na chama chake badala yake ameibuka yule mvuta bangi bob wine.

Mbowe ni jembe ila sasa chadema inapaswa kujitegemea kama taasisi kwamba akiondoka Mbowe anakuja mwingine kama Mbowe tena.
Mkuu umeongea vyema sana,ndio maana hata Mimi mwanzoni nilianza kwa kusema ingawa mie ni mwana CCM lakini Jamaa amejitahidi.
Waafrika napo kwenye kuacha taasisi iwe imara ndipo yalipo majanga yetu,usishangae akichomoka na CDM nayo inakufa.
 
Ccm kupigia chapuo akae flani haishangazi maana hiyo ni sehemu ya kazi yao kama chama pinzani.

Lakini kusema akae tu Mbowe maana hanunuliki hii hoja ni ya kijinga kwa chama kama Chadema ndio tunahoji Mbowe akifa ina maana chadema nayo inakufa?
Elewa nilichosema, CDM wana machinery yao ya kuandaa viongozi kama ilivyo kwa CCM na vyama vingine in case suala la kifo wao kama chama kikuu cha upinzani wataamua nan ashike kijiti cha uenyekiti. Na sio kupenyeza mamluki, even CCM hawawez kukubali kupenyezewa mamluki tena watakushughulikia kikamilifu🤣🤣
Ccm kupigia chapuo akae flani haishangazi maana hiyo ni sehemu ya kazi yao kama chama pinzani.

Lakini kusema akae tu Mbowe maana hanunuliki hii hoja ni ya kijinga kwa chama kama Chadema ndio tunahoji Mbowe akifa ina maana chadema nayo inakufa?
 
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Na mulibomoa Billicanas, mkaharibu mashamba yake, mkaleta mapandikizi, mkaleta chawa, mkanunua watu, mkazuia mikutano mkamzushia kesi, mkamuhukumu kwa makosa yenu na mengi mengine, lakini wapi.
Sasa mmebaki kulialia tu kama mbwa mwitu siku ya mwezi mkubwa.
Mbowe yupo imara kwa mujibu wa katiba ya chama chake
 
Elewa nilichosema, CDM wana machinery yao ya kuandaa viongozi kama ilivyo kwa CCM na vyama vingine in case suala la kifo wao kama chama kikuu cha upinzani wataamua nan ashike kijiti cha uenyekiti. Na sio kupenyeza mamluki, even CCM hawawez kukubali kupenyezewa mamluki tena watakushughulikia kikamilifu[emoji1787][emoji1787]
Kwanini sasa hizi Machinery zisilete hao watu sasa hivi? Ukiona mpaka ccm wanaweka mamluki wagombee na Mbowe ujue ndani ya chadema hakuna wa kushindana na Mbowe.
 
Kwanini sasa hizi Machinery zisilete hao watu sasa hivi? Ukiona mpaka ccm wanaweka mamluki wagombee na Mbowe ujue ndani ya chadema hakuna wa kushindana na Mbowe.
Shetani anasaidia kuokoa? Ndugu kwani watokea wapi? yaonekana ni kuzimu.
 
Usidanganye. Chacha Wangwe aliuwa na nani? CHADEMA ukionekana mtu wa maswali mengi na uwezo wa kugombea nafasi ya uenyekiti au utawauwa kama Cha Wangwe, au utatengezewa mizengwe na kufukuzwa kama vile Zitto. Waitara alishtukiwa na Mbowe kuwa anataka kugombea uenyekiti, yaliyomtokea kila mtu anajuwa.
Porojo hizo hata watoto wa chekechea watazimia kwa kukucheka. Zimechina man.
 
Back
Top Bottom