Freeman Mbowe ni zaidi ya Dikteta

Freeman Mbowe ni zaidi ya Dikteta

Hali halisi mnaiona na mnashuhudia kuwa huyu mwenyekiti wetu ni mtu wa kujali biashara zake na sio chama chetu.

Mbaya zaidi amefanya chaka mali yake na hili ni kosa kubwa sana.

Sasa hivi anatambua kuwa hatuko vizuri kisiasa lakini amejificha Dubai.

Tupambane makamanda, tumuondoe madarakani, tupate mwenyekiti ambae atakuwa na nia njema na chama chetu. Sio kutugeuza sisi ndondocha.

La sivyo tutaambulia patupu.
Yaani jiwe na roho mbaya yake, alishindwa kumfanya aunge juhudi, licha ya mateso makubwa aliyomsababishia , bado alisimama imara, leo hii cjui unatoka wapi unajifanya una uchungu sana na CDM?!!TUACHENI TUMEMPENDA WENYEWE, SISI MANDONDOCHA.
 
Yaani jiwe na roho mbaya yake, alishindwa kumfanya aunge juhudi, licha ya mateso makubwa aliyomsababishia , bado alisimama imara, leo hii cjui unatoka wapi unajifanya una uchungu sana na CDM?!!TUACHENI TUMEMPENDA WENYEWE, SISI MANDONDOCHA.
Ndondocha we peke yako. Sisi tunataka aondoke.
 
Kamanda Asiyechoka,

CCM na vijana wenu wa mtaa wa Lumumba, pamoja na njama mbaya mliyofanya kwa kupanga, kuwezesha, kutekeleza na kuwalinda mliowatuma kuififisha CHADEMA miaka yote,bado mnapata ndoto mbaya za ujinamizi!

Kuiota CHADEMA kwa miongo miwili (miaka 20) yote hii, maana yake ni kwamba CCM siyo imara kama mnavyotaka ionekane mbele ya waTanzania.

Vibaraka wengi wa CCM Mpya waliokuwa wamepandikizwa CHADEMA, wamesharejea "nyumbani" mtaa wa Lumumba, Kamanda Asiyechoka anasubiri nini kwenda CCM.
 
Kamanda, mbowe amerithi chama cha baba mkwe wake, unataka kumwondoa ili urithi wewe?
 
Tatizo la kuvutia bangi kwenye zizi la ng'ombe, akili lazima iwe zumbukuku kama huyu mzee wa lumumba anayejitia ni Kamanda.

Wewe ukiona Mbowe anakukera hamia kwa Zitto au Mbatia vyama vipo kibao na hao wote walijitia ujuaji na wakaondoka Ila wanabangaiza mpaka leo.

Nadhani ukishindwa kabisa kesho nenda hapo ukumbini nifanye unaunga juhudi nawe tuone kama mama atakubali masiasa ya kijinga mliyozoea na kina Mollel na Mwita pamoja na lile jinga Mashinji
 
Hali halisi mnaiona na mnashuhudia kuwa huyu mwenyekiti wetu ni mtu wa kujali biashara zake na sio chama chetu.

Mbaya zaidi amefanya chaka mali yake na hili ni kosa kubwa sana.

Sasa hivi anatambua kuwa hatuko vizuri kisiasa lakini amejificha Dubai.

Tupambane makamanda, tumuondoe madarakani, tupate mwenyekiti ambae atakuwa na nia njema na chama chetu. Sio kutugeuza sisi ndondocha.

La sivyo tutaambulia patupu.
Subiri uchaguzi mkuu 2024
 
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Samia anashindana na nani kugombea huo Uenyekiti huko CCM? Hakika nyani haoni kundule.
 
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Na akina lipumba,mrema utasemaje
 

mbowe-clip-data-2.jpg


IMG-20210430-WA0000.jpg
 
Tatizo la kuvutia bangi kwenye zizi la ng'ombe, akili lazima iwe zumbukuku kama huyu mzee wa lumumba anayejitia ni Kamanda.

Wewe ukiona Mbowe anakukera hamia kwa Zitto au Mbatia vyama vipo kibao na hao wote walijitia ujuaji na wakaondoka Ila wanabangaiza mpaka leo.

Nadhani ukishindwa kabisa kesho nenda hapo ukumbini nifanye unaunga juhudi nawe tuone kama mama atakubali masiasa ya kijinga mliyozoea na kina Mollel na Mwita pamoja na lile jinga Mashinji
Mbona humtaji Lowasa wewe kichwa panzi, mboe sindio aliwaingiza mkenge nyie nyumbu, ama nasema uongo?
 
Mbowe hateki watu, hapotezi watu, hatukani ovyo, uchaguzi wa chama hazuii wagombea wengine na fomu hatoi moja.

CCM mmekosa hoja.
Usidanganye. Chacha Wangwe aliuwa na nani? CHADEMA ukionekana mtu wa maswali mengi na uwezo wa kugombea nafasi ya uenyekiti au utawauwa kama Cha Wangwe, au utatengezewa mizengwe na kufukuzwa kama vile Zitto. Waitara alishtukiwa na Mbowe kuwa anataka kugombea uenyekiti, yaliyomtokea kila mtu anajuwa.
 
Back
Top Bottom