ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,704
- 1,694
Mbona Mbowe kwa CHADEMA ni sawa na Kim Jong un kwa Korea's Workers Party. Yaani badala ya kuwa binadamu mnamwabudu kama Mungu.Yaani jiwe na roho mbaya yake, alishindwa kumfanya aunge juhudi, licha ya mateso makubwa aliyomsababishia , bado alisimama imara, leo hii cjui unatoka wapi unajifanya una uchungu sana na CDM?!!TUACHENI TUMEMPENDA WENYEWE, SISI MANDONDOCHA.