Kwani wajinga ni wachache? Ni wengi na wana haki ya kumchagua mwenzao.Mbowe hana ajualo but hamchoki kumuwinda kwa risasi, sasa kwa uelewa huo utajadiliana na nani akuelewe?!
Umejaza pumba za kutosha, unadhani Mbowe uenyekiti wa CDM amejipa mwenyewe, kiazi kweli!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize membe,msambatavangu na aliyewahi kuwa mwkt wa dsm,shy na mara.Yaani ukitofautiana kidogo tu na Mbowe uje nje. Haya yametokea baada ya kuwaengua wabunge wote wa CUF na James Mbatia katika baraza la mawaziri vivuli bungeni yeye kama mnadhimu mkuu wa kambi rasimi ya upinzani bungeni. Hili limekuja kutokana na kutofautiana kisiasa katika vyama hivi, wakati wote ni wapinzani na ni wabunge na ni watanzania.
Tofauti kabisa na Dr. Magufuli katika chama chake, yeye ni tofauti hata watu waliokuwa wanampinga na wanamtukana mitusi amewaweka kumsaidia hili kujenga nchi sasa huyu dicteta Freeman kama angechukua nchi na tabia yeke ya visasi siingekuwa balaa na wapinzani wake wangetamani dunia ipasuke waingie, huyu jamaa licha ya kuwa mwenyekiti wa maisha pia ni mkabila.
Zito alipishana nae kisiasa alifukuzwa kama mwizi katika chama na mchango wake wote ulisaaulika kabisa, Kitila Mkumbo walipishana naye baadaye alikimbilia CCM kwa usalama wake na sasa anajenga nchi. Fredrick Sumaye alitofautiana na Mboye yeye yaliyomkuta kila mtu aliona yaani Mh. Sumaye macho yalimtoka kama fundi saa. Kuna mtu alikuwa anaitwa Chacha Wangwe huyu alitofautiana na dicteta Mboe baadae aliuwawa katika kifo cha kutatanisha.
Tunamshukuru Mungu kwa kulipenda taifa hili la Tanzania kwa kuendelea kuiruhusu CCM itawale hadi hapo kitakapotokea chama ambacho mwenyekiti wake si mwenyekiti wa maisha kama Freeman Mbowe, kwani ni hatari kwa taifa kuwa na mwenyekiti anaemiliki chama yaani chama chake hatari sana. Nikweli watu wengi wanaupenda upinzani lakini hawajapata kiongozi mzuri wa kuwafikisha watakako kufika.
Ikumbukwe kuwa sababu kubwa ya kuletwa na kulazimiswa kuingia katika mfumo wa vyama vingi ni kubadilishana vijiti katika uongozi yaani democrasia. Sasa angalia kwa dicteta Freemani Mboe yeye sasa anakariabia miaka 30 sasa katika kiti. Je, ipi maana ya mfumo wa vyama vingi ambapo yeye amekuja kuleta demaocrasia wakati ni dicteta hata Nkuruzinza amejirekebisha. Na ukitaka kuona balaa jifanye unautaka uwenyekiti wa Chadema ndiyo utauona mziki wake utaitwa majina yote mabaya hili upigwe na utaweza kuijua vizuri Redbregedia Nyekundu.
Mshaurini jamani huyo jamaa abadilike kutofautiana kisiasa si uadui awarudishe wabunge wa CUF na Mbatia hili kujenga upinzani imara, huo utakuwa ukomavu wa kisiasa katika kujenga upinzani imara na Ukawa kuwa imara hili wachukue siku moja.
Uhuru 1961 mpaka leo watoto wanakaa Chini shule, watu wanakunywa maji ya tope, leo tunafundishana hata kunawa mikono hao wapinzani ndo wame sababisha. Unakipenda Kwa kuwa ni chama cha baba na mama lakini sio kwa maendeleoUkiwasikiliza wapinzani nchi inasimama
CCM Ina miaka zaidi ya 50 Ila Ina wenyeviti watano tu, CHADEMA Ina miaka ishirini na kitu imeshapata wenyeviti wanagapi sasa au sijui unaongea nini.CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
..umemsahau John Cheyo wa chama cha UDP.
Dikteta wa tz alikufa hivi majuzi na sasa waoga wa demokrasia wanahofu kubwa wa kupoteza maslahi yao.CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Halafu vyama vya siasa vya nchi hii ndio vinaua dhana ya demokrasia. Halafu unashangaa hawa viongozi wa maisha wa vyama wanakua na ujasiri wa kuhoji kwa nini CCM inang'ang'ania madarakani.
Mbowe Chairman miaka 17, Lipumba 26, Zitto 7, Mbatia 25, Mrema over 20 years.
Vyama vya siasa vionyeshe demokrasia ya kweli kama kweli wanataka demokrasia nchini.
Hivi maana ya dikteta ni nini?? Vladmir Putin sisikii mkimuita dikteta, yule mama wa Ujeremani aliyebwaga manyanga kakaa miaka kibao madarakani sijawahi kusikia mnamwita dikteta.CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa