kuna chawa wanaumia humu ukisema hivyo ErythrocyteAone aibu apishe wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna chawa wanaumia humu ukisema hivyo ErythrocyteAone aibu apishe wengine
nipo hapa kwenye balcony, plz tuonane kamanda 🐒Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda Wake, atazungumza na Dunia kupitia Waandishi wa Habari muda wowote kuanzia sasa.
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Hawa vibarabaka wa matumbo yao.kuna chawa wanaumia humu ukisema hivyo Erythrocyte
18 December 2024Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
haondoki mtu hapa 😀 😀 😀 😀Hakika anayemaliza muda wake
Nasubiria nasaha atakazozitoa leo
acha kife , ccm yako kwani imeguswa!Mhimu asigombee watakigawa chama atumie busara
Eti ni bilionaire anangania madaraka?SHAMEMbowe atagombea na kushida Tena.
Habari mbaya kwetu mimi na weweKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda Wake, atazungumza na Dunia kupitia Waandishi wa Habari muda wowote kuanzia sasa.
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
wacha mwamba angurume wale wa gazeti la uhuru nao wanamsubiri maana wameishiwa hawana habariKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda Wake, atazungumza na Dunia kupitia Waandishi wa Habari muda wowote kuanzia sasa.
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Tutegemee atatangaza kutochukua fomu busara imwongoze kufanya maamuzi magumuKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda Wake, atazungumza na Dunia kupitia Waandishi wa Habari muda wowote kuanzia sasa.
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Mkuu siyo lazima uchangie kila uziacha kife , ccm yako kwani imeguswa!