mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Huu mtanange si mchezonipo hapa kwenye balcony, plz tuonane kamanda 🐒
Utakuwa Acha wazee wa nutro tuone game ikatavyopigwa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mtanange si mchezonipo hapa kwenye balcony, plz tuonane kamanda 🐒
kuna mgombea uenyekiti wa chadema hatapata kura hata moja kutoka kanda ya Zanzibar,Huu mtanange si mchezo
Utakuwa Acha wazee wa nutro tuone game ikatavyopigwa
Ova
lakini ndiyo huyohuyo walikuwa wanaita mwamba tuvushee je walikuwa hawajui kama mpigaji au uchawa tu ulikuwa unawasumbua?Hawa vibarabaka wa matumbo yao.
Mabadiliko wanayohubiri ni nadharia tu, Lissu hajawahi kutwa na kadhfa yoyote kwa miaka yote.
Mbowe mpigaji pamoja na genge lake
Duhkuna mgombea uenyekiti wa chadema hatapata kura hata moja kutoka kanda ya Zanzibar,
unamjua nini gentleman?🐒
HayaNasubiria kauli ya Mbowe nami nitoe maoni yangu.
ni kujipanga tu gentleman 🐒Duh
Ova
MWENZIO KAVAMIWA NYUMBANI KWAKE NA WATU WANAMTAKA AKACHUKUE FOMU AGOMBEE WEWE UNATUAMBIA ATAONGEA NINI YAANI MLIJIPANGA NA MBOWE WAKO MKAITA BODABODA ILI MJE MSEME WAMEVAMIA KUAMWAMBIA AKACHUKUE FOMUMKAWAJAZIA NA AMFUTA YAANI MNATIA AIBU SASAHIVI NA MBOWE WAKO HATARIHaya
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda Wake, atazungumza na Dunia kupitia Waandishi wa Habari muda wowote kuanzia sasa.
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
View: https://www.youtube.com/watch?v=yEhU3HVCYKI&ab_channel=MwanaHALISITV
basi nakwenda cuba hutaniona hapaMkuu siyo lazima uchangie kila uzi
Ameropoka ni mkuu?Kiongozi usiropoke....... Sheikh Kadogoo.....nini anaropoka
Umeona mbali. Naamini itakuwa hivyo.Mhimu asigombee watakigawa chama atumie busara
Siasa hua haina aibuAone aibu apishe wengine