Pre GE2025 Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila baada ya huu uchaguzi sidhani kama CHADEMA watakaa sawa..Machawa yataparuana sana,minyukano itakua mikali mno.
 
Mbowe kama anaipenda chadema kwa dhati amwachie lissu agombee, fikiria mtu kawa kiongozi kwa miaka 20, lipi jipya? Kwa sasa chadema inahitaji mabadiliko makubwa. asiwasikilize machawa
 
Ila baada ya huu uchaguzi sidhani kama CHADEMA watakaa sawa..Machawa yataparuana sana,minyukano itakua mikali mno.
akija Mbowe atawatuliza, kama alivyotoa busara zake leo kuwa sisi ni wamoja, tuache matusi, tusameheane etc etc ..... huyu mwingine chadema itapasuka kabisa kabisa maana hana Busara wala hekima. Anaropoka kama kichaa and surely he needs mental checkup!
 
Wakuu,

Baada ya baadhi ya wanachama kumvamia nyumbani kwake ili kumlazimisha kwenda kuchukua fomu, Mbowe akiwa anazungumza kwenye mkutano huo amesema kuwa anahitaji saa 48 ili afanye uamuzi iwapo atagombea au la.

Mbowe amesema kuwa siku ya Jumamosi muda wa saa 5 atatoa tamko rasmi iwapo atagombea au la


View attachment 3179605
Yaani nchi hii ngumu sana wamevamia kutafuta nini.
Kama kweli ni wanachama wa CDM acha tu ccm iendelee kutawala labda wajukuu wetu watakuja kuwa na akili
 
Mbowe aweke kura ya maoni aone matokeo. Akigombea anakiua chama. Hili huwezi kuwaona Boni Yai na Ntobi wakiliona. Boni yai ana mwili kama Simtank akili yote imemezwa.
Haahaa, bon yai yeye anawaza uchawa tu
 
Mitanzani ni mijitu minafiki Sana ivi imagine baba wa Taifa angelazimisha kukaa madarakani mwaka 1985 halafu aje labda atolewe kwa nguvu na jeshi angekuwa na heshima yeyote katika nchi hii?

Lazima tujifunze kuwajibika kwenye Jambo lolote hakuna mtu special kwenye taasisi anayeweza kukaa miaka 20 taasisi inaanguka halafu bado anataka kukaa tu pale huu ni ujinga.

Hili sio hata swala la kujiuliza kwa masaa 48 ni swala la kusema tu kwamba Mimi sigombei over!

Mbowe mbowe mbowe nimekuita Mara tatu Kama utabishana ukweli utakuwa na mwisho mbaya Sana kwa laana za Watanzania wapenda mabadiliko!!

Watu account zetu zilishafungwa kwa sababu ya hiki chama

Tenda zetu tulishazuiwa kulipwa kwa sababu ya hiki chama

Watu wameteswa wengine hawana hatia Kama wakina Akwilina maisha yao yamekatishwa Leo hii chama hiki kiishie hewani tu aisee!!

Think twice leave!!
Wanasiasa hawajali hayo...
 
Haahaa lini umeongea na wazanzibar mkuu?
mkoa wa zanzibar upande wa pemba,
uliwakilishwa vizuri sana leo kwenye kauli za wenyeviti wa chadema kumshinikiza chairman Mbowe kugombea uenyekiti wa chadema Taifa. :BASED:
 
Kuna watoto walizaliwa Mbowe akiwa Mwenyekiti wa Chadema na leo wanamalizia vyuo, Mbowe hawezi kuleta mabadiliko ni mda sasa akae pembeni
 
Hiwezi kubadilisha uongozi katikati ya mapambano huko ni kuwagawa makamanda na ndiyo maana CCM wameshatangaza FORM MOJA TU ya Urais ili kukwepa kukigawa chama chao.

Kwa hiyo wana CDM nendeni na kamanda wenu wa anga - Zimwi likujualo ndugu zangu...

Kura zipigwe, kura zihesabiwe mtu akipata kura 4 asije kusingizia kaibiwa, wana CDM mna utamaduni wenu basi utumieni...
 
..miaka mitano ijayo atakuwa anakaribia miaka 70.

..kwa maoni yangu huo sio umri sahihi wa kuongoza siasa za upinzani ktk mazingira ya Kitanzania.
Tatizo huyu mzee hiki chama ndio riziki kwa familia yake na uko wake wote ,tatizo linanzia hapa ,mzee anawashangaa wanasema aachie ngazi
 
Back
Top Bottom