Pre GE2025 Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hasa kwa Lissu. Lissu amekuwa anapulizia moto wakati Mbowe hajasema chochote bali kusisitiza umoja katika chama. Nadhani imani ya Lissu ni kuwa baada ya uchaguzi Mbowe atasamehe na kusahau kila kitu na kuungana nae katika kutibu majeraha yaliyotokea. Sidhani kama itakuwa hivyo. Nadhani yafuatayo yatafuata:
1. Mbowe atatangaza kutogombea halafu atakaa pembeni.
2. Mnyika na makamu wake bara wataachia ngazi ama Lissu atateua watu wengine wa kuchukua nafasi zao.
3. Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu nao wataachia ngazi.
4. Uongozi mpya utaweka wazi ubadhirifu na ufisadi mkubwa unaofanywa na Mbowe na sekretariat yake ( tayari trial ballons za kuhujumiwa kwa laptop zimerushwa).
5. Timu mpya ya wapiganaji yenye uwezo wa kupambana na CCM pamoja na serikali yake itaundwa.
6.Mazungumzo ya maridhiano yatazikwa rasmi na watanzania wataingia barabarani kwa wingi kushinikiza Katibu Mpya, Tume Huru ya Uchaguzi na kutimuliwa kwa wakina Halima.

Yetu macho.

Amandla...

..kwenye Power Breakfast Tundu Lissu alisema mchango wa Freeman Mbowe katika kupigania mageuzi na demokrasia unapaswa kuandikiwa vitabu.

..makamu wawili wanachaguliwa na mkutano mkuu, na Katibu Mkuu nadhani anapendekezwa na Mwenyekiti.

..John Mnyika ameonekana kutokuwa na furaha katika chama tangu tukio la kumleta Lowassa. Sijui tatizo lake ni nini haswa.
 
..kwenye Power Breakfast Tundu Lissu alisema mchango wa Freeman Mbowe katika kupigania mageuzi na demokrasia unapaswa kuandikiwa vitabu.

..makamu wawili wanachaguliwa na mkutano mkuu, na Katibu Mkuu nadhani anapendekezwa na Mwenyekiti.

..John Mnyika ameonekana kutokuwa na furaha katika chama tangu tukio la kumleta Lowassa. Sijui tatizo lake ni nini haswa.
Unfortunately Lissu anajaribu "to have his cake and eat it". It is rather late for him kusema hayo baada ya kuwaachia surrogates wake wamzushie kila aina ya uchafu. Alitakiwa aizime ilipoanza tu kama alivyofanya John McCain pale mfuasi wake alipo insinuate kuwa Obama ni muislamu na sio mzalendo. McCain alimwambia kuwa ingawa wana tofauti za mtizamo, Obama ni mzalendo na sio muislamu. Lissu anafanya tofauti. Wewe unadhani anaposema kuwa pesa za chama zinawekwa kwenye akaunti binafsi alikuwa anamzungumzia nani? Au hii alipofanya kumtetea Mbowe wakati anamrusha chini ya basi kuwa kuna mpango wa kumuua na kumsingizia Mbowe. Halafu siku ya pili anaenda kwenye ofisi ya CDM akiwa amevaa bullet proof vest.

Najua kuwa Makamu wanachaguliwa na Mkutano Mkuu. Ninachongojea ni kuona nani atachukua fomu kugombea u Makamu Bara baada ya Mbowe kutangaza kung'atuka.

Mimi nadhani John Mnyika ni mtu wa Mbowe na aliingia baada ya Mashinji kutemwa na Mbowe. Na itakuwa vigumu yeye kuendelea katika nafasi hiyo maana kama Mtendaji Mkuu wa CDM, tuhuma zote za Lissu zinamhusu moja kwa moja. Itakuwa busara kwake kuondoka na Mbowe ili Lissu awe huru kuja na timu yake.

Nangojea Chadema ya Lissu with trepidation. I hope he proves me wrong kwa kukiongoza chama chake to greater heights.

Amandla...
 
John Mnyika ameonekana kutokuwa na furaha katika chama tangu tukio la kumleta Lowassa. Sijui tatizo lake ni nini haswa.
Seems vitu vingi sana vinamuumiza na amekata tamaa. Kwenda CCM hawezi na kubaki upinzani anaona uzito. Ila akipata mwenyekiti aliyenyooka nuru na furaha yake itarudi.
 
Mimi nadhani John Mnyika ni mtu wa Mbowe na aliingia baada ya Mashinji kutemwa na Mbowe.
Sio kweli, Mnyika ni mtu wa Dr Slaa na aliumia sana kwa Slaa kujitoa na pia Outsider kama Mashinji kupewa ukatibu mkuu wakati alikua ni failure. Kwahiyo hajawahi na hatowahi kuwa mtu wa Mbowe. Ukisoma tu body language yake utagundua haridhiki kabisa na mambo yanavyoenda ila ndio vile hana namna akimpinga Mwenyekiti atafukuzwa siku hiyo hiyo.
 
Hajawahi kulisema hili popote ni uzushi tu hakuna video wala credible source.
Ninavyojua alisema hivyo Mlimani City wakati anatangaza nia ya kugomea Uenyekiti. Katika baadhi ya vitu alivyosema atabadilisha ni lack of transparency katika mambo ya fedha na mfano aliotoa ni huo wa pes kuingizwa katika akaunti binafsi. Kama nimekosea, nina apologise.

Amandla...
 
Sio kweli, Mnyika ni mtu wa Dr Slaa na aliumia sana kwa Slaa kujitoa na pia Outsider kama Mashinji kupewa ukatibu mkuu wakati alikua ni failure. Kwahiyo hajawahi na hatowahi kuwa mtu wa Mbowe. Ukisoma tu body language yake utagundua haridhiki kabisa na mambo yanavyoenda ila ndio vile hana namna akimpinga Mwenyekiti atafukuzwa siku hiyo hiyo.
Kwa vile simjui Mnyika, tutaona itakavyokuwa chini ya Lissu. Hayo ya body languages ni kupiga ramli. Mimi ninavyomuona ni askari muaminifu chini ya uongozi wa Mbowe. Una cho insinuate ni kuwa Mbowe ni dikteta, fisadi n.k. na Mnyika alikuwa anamuachia afanye atakavyo kwa sababu ya kuogopa kupoteza ugali wake. Ni tuhuma kubwa sana. Na baada ya tuhuma kama hizo unadhani Mbowe atathubutu kujihusisha na CDM katika nafasi yeyote ya uongozi hata kama mshauri tu?

Lakini uchaguzi hauko mbali. Yote yatawekwa wazi na tutajua nani yuko upande gani. Haikutakiwa kuwa hivi.

Amandla...
 
Atoe uamuzi gani tena wakati alishasema haondoki.
Manyumbu yatakaa attention "enhee, tusikie mwenyekiti atasemaje"
Kafanyeni kazi wajinga nyinyi, mwenzenu kazi yake ni kuwadanganya nyinyi punguani msiojielewa.
 
Atoe uamuzi gani tena wakati alishasema haondoki.
Manyumbu yatakaa attention "enhee, tusikie mwenyekiti atasemaje"
Kafanyeni kazi wajinga nyinyi, mwenzenu kazi yake ni kuwadanganya nyinyi punguani msiojielewa.
Nyie UWT ni lini mlichagua Mwenyekiti wa CCM taifa?
 
Tunamshauri mzee Mbowe asithubutu kuingia kwenye mtego wa kugombea tena nafasi hiyo. busara ag'atuke na kuwaachia damu mpya Lisu aendelee kukijenga chama
Endapo Mbowe ataingia kwenye mtego wa kugombea tena nafasi hiyo basi ajiandae kwa mambo makubwa 2;
1. Kuambishwa na Lisu.
2. Kukipasua chama.
Kama ataongozwa na busara basi atachia kiti kwa hiari yake na kwa kujali masilahi mapana ya demokrasia.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda Wake, atazungumza na Dunia kupitia Waandishi wa Habari muda wowote kuanzia sasa.

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi

====================================================

  • Akiwa anazungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake, Freeman Mbowe amesema kuwa anahitaji muda zaidi mpaka siku ya Jumamosi.

  • Mbowe alidokeza kuwa ataongea na wanahabari kuhusu uamuzi kuanzia saa 5 asubuhi


Sawa msemaji wa CHADEMA JF-KWA USAHIHI ZAIDI MSEMAJI WA KAMBI YA CHADEMA GAIDI MBOWE
 
Back
Top Bottom