Pre GE2025 Freeman Mbowe nyamaza au Ingia CCM 100% maana wewe ni mtoa taarifa

Pre GE2025 Freeman Mbowe nyamaza au Ingia CCM 100% maana wewe ni mtoa taarifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu,

Mimi nimekuwa nikikemea hii tabia tangu enzi za Magufuli. Nimekemea sana Magufuli kuchanganya siasa na dini. Nimekemea Magufuli alivyosimama kanisani St. Peters na kuanza kuhubiri akimsema Jaji Thomas Mihayo kuvaa barakoa kanisani. Unajihakikishiaje sikukemea? Umesoma posts zangu zote?

Au wewe ni kati ya wale watu wazembe wanaokwenda kwa assumptions tu?

Unasema sikusema lolote Samia alipomzawadia Mwinyi Mercedes Benz, unajuaje hilo? Unahakikishaje mimi sikusema lolote?

Au unajikubalisha tu hivyo kivivuvivu tu?

Ukitaka tufukue nyuzi tutafukua hapa.

What are you talking about?

Unaniita mnafiki kama umechunguza posts zangu zote hapa JF?

Mbowe ni kiongozi wa chama cha upinzani. Kwa nini anamkaribisha rais kuchangia kujenga kanisa kama vile hajui kanuni za Separation of Religion and State?

Au una kasumba ya kufikiri kila mtu anayemsema Mbowe ni mshabiki wa CCM?

Wengine tuko consistent hapa, tunasimamia principle bila kujali mtu.

Nimemsema Magufuli, nimemsema Samia, nimemsema Mbowe kwenye hili.

Consistently.

Wanaonifuatilia watajua hilo.

Ni wewe tu unarukia mada na kutoa shutuma jumlajumla bila hata kuuliza au uhakiki.
Mkuu kwanza, nakuheshimu kwa hoja na michango yako mingi humuni jukwaani.

Kwenye hoja hii na tofautiana nawe uliposhindwa kutofautisha kati ya Samia na Serikali ya Samia.

Itapendeza ukiweka hizo link za hoja zako za zamani kuliko maneno mengi! Ziweke hapa kama anavyofanya ndugu Pascal Mayalla!

Mkuu Mbowe angesema serikali imetoa mchango, hoja yako ingekuwa na nguvu! Na ungekuwa right jinsi ya mchango wako.

Naomba usikilize upya sauti ya mbowe au usome vizuri nukuu ya Mbowe kwenye Gazeti la mwananchi; Mbowe kasema mchango umetoka kwa Samia na familia yake!

Mkuu usichanganye mada!
 
Mkuu haya yote ulioainisha hapa ni haramu kwa sheria ipi? Mbowe alisema mchango umetoka kwa Samia na familia yake, sio serikalini.

Mkuu naona hapo ndipo unapo changanya mada! Na umechanganyikiwa kweli kweli!

Mkuu mbali na Samia, waziri mkuu Majaliwa na Naibu waziri mkuu Biteko walichangia harambee ya ujenzi huo wa Kanisa la KKKT; Je, nao wamechanganya siasa na dini?

Kuna wafanyabiashara na watu mashuhuri mbali mbali walichangia ujenzi huo wa Kanisa; Je, nao wamechanganya biashara na dini?

Mkuu kama wanasiasa kuchangia ujenzi wa Kanisa au msikiti ni kuchanganya siasa na dini, na kwa mtazamo wako ni haramu;

Je, wafanyabiashara wakichangia jambo la namna hiyo nao wanachanganya biashara na dini?

Je mchango wao nao ni haramu?

Je, wafanyakazi na watumishi nao wasichangie jambo la namna hiyo maana watakuwa wanachanganya kazi na dini?

Je, nao mchango wao ni haramu?

Tuna subiri majibu yako Mkuu!

Umekubalinkwamba hoja zako za hypocrisy zilikuwa baseless na za jazba tu?

I anticipated your lot in my reply to Nyani Ngabu posts #136 and #138

Samia na familia yake wana biashara gani ya kugawa sh milioni 150 willy nilly hivi? Wamei declare kwenye fomu za maadili ya uongozi?

Unahakikishaje mchango umetoka kwa Samia na familia yake na si mifuko ya serikalini?

Mchango huu unatoa mu9nekano gani? Justice must not only be done, it must also appear to be done. Unaeleea maana yake?

Rais na Mbowe hawatakiwi tu kuepuka rushwa, wanatakiwa pia kuepuka hata muonekano wa rushwa. Unaelewa maana yake?

Wanaompinga Mbowe wakisema Mbowe kalishwa asali na Samia ili anyamaze kwenye siasa, Mbowe atakataa vipi?

Kwani kitu kuwa kibaya ni lazima kiwe na sheria ya kukikataza? Mbowe huyuhuyu na chama chake si kati ya watu wanaosema rais ana mamlaka makubwa sana yapunguzwe? Sasa leo rais akitumia mamlaka yake vibaya kuchangia makanisani kinyume na misingi ya nchi isiyo na dini hawaoni kwamba rais ana mamlaka makubwa anayoyatumia bila breki?

Hao mawaziri wote wametenda kosa lilelile la kuchanganya dini na siasa, two wrongs do not make a right. Unaambiwa Samia kaua, kuua ni jambo baya. Unamtetea kwa kusema mbona Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu na wao wameua? Hapo hujamtetea rais wala hao mawaziri, umeonesha tu kuwa uongozi wote ni uozo uleule.

Mkuu, mimi nimeongelea concept ya Separationnof Religion and State, hapo biashara inahusikaje? Mfanyabiashara ana pesa zake binafsi, si za serikali. Mfanyabiashara hana nafasi ya uongozi serikalini, kwa nini unamuingiza hapa kwenye issue ya Separation of Religion and State?

Hivi unaeleea hata hoja inayoongeleea na mimi hapa au unarukia kiushabiki tu?

Wapi nimesema wafanyakazi wa kawaida wasio viongozi wasichanganye kazi na dini? Mbona unataka kuleta issues ambazo mimi sijazitaja popote na kuzifanya kuwa issue zangu?

Stick to my issue. Uongozi wa nchi kujiingiza kwenye dini. Sasa hapo mfanyabiashara na mfanyakazi wa kawaida asiye kiongozi anaingia vipi?

Unaweza kufuatilia mada kimantiki na kusoma kwa ufahamu? Au unawayawaya tu kiushabiki?
 
Mkuu kwanza, nakuheshimu kwa hoja na michango yako mingi humuni jukwaani.

Kwenye hoja hii na tofautiana nawe uliposhindwa kutofautisha kati ya Samia na Serikali ya Samia.

Itapendeza ukiweka hizo link za hoja zako za zamani kuliko maneno mengi! Ziweke hapa kama anavyofanya ndugu Pascal Mayalla!

Mkuu Mbowe angesema serikali imetoa mchango, hoja yako ingekuwa na nguvu! Na ungekuwa right jinsi ya mchango wako.

Naomba usikilize upya sauti ya mbowe au usome vizuri nukuu ya Mbowe kwenye Gazeti la mwananchi; Mbowe kasema mchango umetoka kwa Samia na familia yake!

Mkuu usichanganye mada!
Samia ana biashara gani kutoa mshahara wake wa mwaka mzima kama sadaka kanisani?

Kuhusu links, angalia mfano mmoja huu hapa nikikemea rais Magufuli kuchangia shilingi milioni 10 kwenye ujenzi wa kanisa.

Kwa hili utaona niko consistent.

Angalia post #100 na #103 #107 na kuendelea kwenye huu uzi naweka link hapa chini. Usiniseme kwamba mimi nafiki wakati hata hujachunguza consistency yangu, utajikuta wewe ndiye mnafiki kwa kuniita mimi mnafiki.

 
Mkuu kwanza, nakuheshimu kwa hoja na michango yako mingi humuni jukwaani.

Kwenye hoja hii na tofautiana nawe uliposhindwa kutofautisha kati ya Samia na Serikali ya Samia.

Itapendeza ukiweka hizo link za hoja zako za zamani kuliko maneno mengi! Ziweke hapa kama anavyofanya ndugu Pascal Mayalla!

Mkuu Mbowe angesema serikali imetoa mchango, hoja yako ingekuwa na nguvu! Na ungekuwa right jinsi ya mchango wako.

Naomba usikilize upya sauti ya mbowe au usome vizuri nukuu ya Mbowe kwenye Gazeti la mwananchi; Mbowe kasema mchango umetoka kwa Samia na familia yake!

Mkuu usichanganye mada!
June 7 2020

Kiranga wrote
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Kiranga said:
Rais anatakiwa ajiondoshe kwenye muonekano wa kupendelea dini au madhehebu fulani.

Rais anatakiwa ajiondoe kwenye muonekano wa kupendelea kutumia pesa zisizojulikana chanzo chake.

Rais anatakiwa ajiondoe kwenye muonekano wa kupendelea kutumia pesa za serikali kwenye mambo ya dini.

Rais anatakiwa ajiondoe kwenye muonekano wa kupendelea kutumia pesa zilizovuka mapato yake halali yanayojulikana.

Kote humo Magufuli kaharibu.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Hapo Magufuli alikuwa kachangia shilingi milioni 10 tu kwenye ujenzi wa kanisa.

Nimesimamia hapo hapo kumsema Magufuli, nimesimamia hapo hapo kumsema Samia. Consistently.

Tuhuma zozote za unafiki dhidi yangu ni za kijinga, zimefanywa kwa jazba, bila hata uchunguzi mdogo tu kujiridhisha.
 
Nakuelewa sana unavyosema hayo yote, na mimi ndiyo maswali yangu hayo.

Ila, nakupa possible take from Samia's rationale. Kibongobongo.

What is Sh 150 million kwenye jambo kubwa kama kujenga umoja wa kitaifa? Kwenye kuponya vidonda vya awamu ya tano, that is a bargain price.

Tena kwa kupitia kitu kizuri kitakachojenga watu kiroho kama kanisa?

I mean it's not like Samia amechangia nyumba ya kuishi Mbowe, hili ni kanisa ambalo watasali Watanzania.

After all, Mbowe alivunjiwa heshima na alifungwa muda mrefu for trumped up charges. Hapa serikali ni kama tunamlipa tu towards giving to a charity of his choice, KKKT. Mbowe hawezi kuishitaki serikali kudai fidia, tunamlipa fidia kwa njia nyingine tu.

Na hapohapo wananchi wanaona Samia mtu poa, anatoa sadaka mpaka kanisani kwa Mbowe.

Waislamu wanafundishwa kuishi vizuri na Wakristo.

CCM wanafundishwa kuishi vizuri na CHADEMA, wakileta ugomvi wanaambiwa nyie mnagombana nini mbona wenyeviti wenu damudamu mpaka Samia kachangia kujenga kanisa la kwa Mbowe.

Mbowe anaonekana big shot kafanikisha ujenzi wa kanisa kwa kumchangisha mpaka rais.

Samia anaonekana mtu wa maana sana, hana nongwa na mtu.

Everybody wins.

Na wewe kama una kanisa lako unajenga, mtafute Samia akuchangie kwa urefu wa kamba yako kama alivyosema mwenyewe.

Hapo vipi kibongobongo?
👍
 
Mizania

Mkuu, kuwa muungwana tu uniombe radhi kwa kuniita hypocrite kwa jambo ambalo hukulifanyia uchunguzi na ushahidi niliouweka hapa unaonesha wazi kuwa sipo huko na nimesimama na msimamo wangu thabiti kupinga marais wanaotoa pesa makanisani,kutoka utawala wa Magufuli mpaka wa Samia.

Kubali tu kuwa hapa ulikosea na ulinipaka matope kwa jazba bila kufanya uchunguzi wa kutosha.

Umetaka link, nimekuwekea.

Nitake radhi mkuu nijue hatushindani kwa ligi isiyo na heshima wala tija.
 
Mizania

Mkuu, kuwa muungwana tu uniombe radhi kwa kuniita hypocrite kwa jambo ambalo hukulifanyia uchunguzi na ushahidi niliouweka hapa unaonesha wazi kuwa sipo huko na nimesimama na msimamo wangu thabiti kupinga marais wanaotoa pesa makanisani,kutoka utawala wa Magufuli mpaka wa Samia.

Kubali tu kuwa hapa ulikosea na ulinipaka matope kwa jazba bila kufanya uchunguzi wa kutosha.

Umetaka link, nimekuwekea.

Nitake radhi mkuu nijue hatushindani kwa ligi isiyo na heshima wala tija.
🙏 My honest apologies Mkuu!
 
Mizania

Mkuu, kuwa muungwana tu uniombe radhi kwa kuniita hypocrite kwa jambo ambalo hukulifanyia uchunguzi na ushahidi niliouweka hapa unaonesha wazi kuwa sipo huko na nimesimama na msimamo wangu thabiti kupinga marais wanaotoa pesa makanisani,kutoka utawala wa Magufuli mpaka wa Samia.

Kubali tu kuwa hapa ulikosea na ulinipaka matope kwa jazba bila kufanya uchunguzi wa kutosha.

Umetaka link, nimekuwekea.

Nitake radhi mkuu nijue hatushindani kwa ligi isiyo na heshima wala tija.
Hahahaa.

Hii imenikumbusha watu ambao huwa wanadai kimakosa kwamba sikuwahi kumkosoa/ kumpinga Rais Magufuli alipokuwa madarakani.

Kuna siku nikaorodhesha mada karibu 10 nilizoanzisha mwenyewe [achilia mbali michango yangu kwenye mada zilizoanzishwa na wengine ambamo nilikuwa namkosoa pia] ambazo nilikuwa nampinga na/au kumkosoa.

Wengi wa hao watu ama walipotea tu au walihamisha magoli.

Nikahitimisha kuwa watu wengi wa aina hiyo huwa ni trolls tu ambao siku hizi wala siwajibu tena.

Magufuli katawala kwa miaka 6. JF humu kuna mamilioni ya posts.

Mtu anatoa wapi ujasiri wa kusema flani hajawahi kumpinga kiongozi flani kana kwamba kayapitia mabandiko yote ya huyo mtu ambaye anadaiwa kutokuwahi kumpinga huyo kiongozi flani?

Some of these people are just trolls who get a kick out of making things up!
 
Hahahaa.

Hii imenikumbusha watu ambao huwa wanadai kimakosa kwamba sikuwahi kumkosoa/ kumpinga Rais Magufuli alipokuwa madarakani.

Kuna siku nikaorodhesha mada karibu 10 nilizoanzisha mwenyewe [achilia mbali michango yangu kwenye mada zilizoanzishwa na wengine ambamo nilikuwa namkosoa pia] ambazo nilikuwa nampinga na/au kumkosoa.

Wengi wa hao watu ama walipotea tu au walihamisha magoli.

Nikahitimisha kuwa watu wengi wa aina hiyo huwa ni trolls tu ambao siku hizi wala siwajibu tena.

Magufuli katawala kwa miaka 6. JF humu kuna mamilioni ya posts.

Mtu anatoa wapi ujasiri wa kusema flani hajawahi kumpinga kiongozi flani kana kwamba kayapitia mabandiko yote ya huyo mtu ambaye anadaiwa kutokuwahi kumpinga huyo kiongozi flani?

Some of these people are just trolls who get a kick out of making things up!
Inashangaza sana mtu anahitimisha hivyo. Hilo lina onesha aina fulani ya one track mindedness iliyopo hapa.

The false dichotomies, the manufactured mutual exclusivity, kwamba, ukimsema Samia, basi wewe lazima utakuwa mfuasi wa Magufuli.

Bila kujua kwamba kuna watu wengine tunatazama kanuni, bila kujali mtu.
 
Sijui kwanini wengi wanalalamika Mbowe kupewa na Samia hizo pesa kwaajili ya mchango wa kanisa.

Tatizo ni ile mindset ya siasa za kukunjana mashati ndio bado naiona vichwani mwa wengi, ajabu imefikia hatua kuamini hakuna jema lolote linaloweza kufanywa kati ya wanasiasa wa pande hizi mbili, huu ni ujinga ambao ni lazima ufutwe vichwani.

Hawa wanasiasa nao ni wanadamu, wana hisia za kibinadamu, hivyo msitarajie waishi kama wanyama mbugani kila wakati kuwindana, vyema mkumbuke, hata wanyama nao kuna wakati simba akiwa ameshiba humuona swala na kumuacha aende zake.

Swali la Samia alizipata wapi zile pesa, hilo mimi jibu sina, lakini kama alikuwa nazo na akaamua kutoa, ndio ameshatoa, uchoyo nao sio sifa, ndio maana wakasema kutoa ni moyo..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kazi kweli kweli !!
 
So much outcry about Mr. Mbowe, what does it mean?
 
Comrade Makonda hakuongea kwa bahati mbaya wala kukurupuka, aliongea ukweli mtupu. Freeman Mbowe, Ntobi, Salim Mwalimu, na Bonifas Mwita ni baadhi tu, ya watoa taarifa ndani ya Chadema. Imefika muda tuseme kila kitu kwa uwazi kwamba, Chadema ina wazalendo wachache. Wengine wote wachumia tumbo na watoa Taarifa wakiongozwa na Freeman Mbowe.

Majuzi, Mr. Mbowe akita KKKT NSHARA Machame, alitangaza hadharani kwamba, Rais Samia alitoa mchango wa TZS 150million, ambayo kwa lugha nyingine ni “Endorsement” ya Rais Samia 2025. Mbowe amewatangazia watanzania kwamba mgombea wake 2025 ni Samia Suluhu Hassan. Bila kumung’unya maneno niulize maswali mawili tuu. Zile Toyota Landcruiser Mr. Mbowe alizitoa wapi? Na ile Chopper, fedha zake zilitoka wapi?

Kadhalika, Mr. Freeman Mbowe aliwaalika Covid-19 wakiongozwa na Mr. Alima Mdee kwenye hiyo harambee ikimaanisha kwamba, kwa muda mrefu, Mr. Mbowe amekuwa akiwakumbatia COVID-19 ndani ya CDM. Jiulizeni, Tulia Ackson anatoa wapi jeuri ya kuwakumbatia hao COVID-19? Wote wanalindwa na Mr. Freeman Mbowe na hawakwenda KKKT NSHARA Machame Kimakosa. Wote walienda kueneza mema ya viongozi wa CCM kwa mualiko wa Mr. Mbowe..Kwa maana hiyo, Mr. Mbowe na Covid-19 ni kitu kimoja. Kadhalika Samia na Mbowe ni kitu kimoja. Mbowe ni mtoa taarifa

Tukiwa wana CCM. Hawa watu wa CHADEMA wanatukera. Either waingie CCM au wanyamaze. Sisi hatuwataki maana wanaonyesha kufanya siasa za makueni. wanaunga mkono siasa za makundi. Wanamuunga mkono kundi la Samia.

Mr. Freeman Aikeli Mbowe, chagua moja. Baki ndani ya CDM mazima, au njoo ccm kundi la Samia 100%. Hatupendi unalolifanya maana unawavuruga Chadema na wana CCM vilevile. Kama umeshiba asali, basi jiuzulu uenyekiti na kukaa kimya, ila sisi hatukutaki ndani ya CCM. Tunajua lengo lako, ni kutengeneza ukaribu tena na Rais Samia, maana taarifa zilikufikia za Samia kuchukia ulivyomponda majukwaani baada ya kula hela zake za kukodi Elicopter na Magari ya Mikutano mikoani.
Luv this..
Truth hurts but ndio ukweli

Mbowe anazingua sana

Opposition bongo ni uongo uliotukuka
Chadema kila siku press conference tuuu na safari zisizo na kikomo kama mnakimbiza mwenge wa kutulaghai

Lissu John Heche sukumeni hili gurudumu otherwise msiendelee kuwadanganya wananchi.
Mnawapa matumaini yasiyowezekana.
 
Sijui kwanini wengi wanalalamika Mbowe kupewa na Samia hizo pesa kwaajili ya mchango wa kanisa.

Tatizo ni ile mindset ya siasa za kukunjana mashati ndio bado naiona vichwani mwa wengi, ajabu imefikia hatua kuamini hakuna jema lolote linaloweza kufanywa kati ya wanasiasa wa pande hizi mbili, huu ni ujinga ambao ni lazima ufutwe vichwani.

Hawa wanasiasa nao ni wanadamu, wana hisia za kibinadamu, hivyo msitarajie waishi kama wanyama mbugani kila wakati kuwindana, vyema mkumbuke, hata wanyama nao kuna wakati simba akiwa ameshiba humuona swala na kumuacha aende zake.

Swali la Samia alizipata wapi zile pesa, hilo mimi jibu sina, lakini kama alikuwa nazo na akaamua kutoa, ndio ameshatoa, uchoyo nao sio sifa, ndio maana wakasema kutoa ni moyo..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Maneno mengi ya Wala ulojo haya....!! Hivi tunaelekea kupindi Cha uchaguzi inawezekanaje mwenyekiti na mgombea wa CCM akampa fedha mwenyekiti wa chadema ati apeleke kanisani!!. Vipi Mbowe hakufikiria Kama hiyo inamuongezea credit mgombea pinzani?, Mbowe kawaribisha wale covid 19 Kuna uhusiano gani nao? Chama kina mgogoro na covid19 mwenyekiti ana mahusiano nao?. Upuuzi mkubwa.
 
Ukipitia commenr za uzi huu utagundua kuwa raia wengi hapa TZ hawana uwezo wowote kwa kureason mijadala na matukio tena.

Yaani kwakua mtu fulani ni mwana CDM anaamini kwamba Mbowe hawezi kukosea na hapaswi kukosolewa, vivyo hivyo akiwa mwana CCM anaamini kwamba SHH hapaswi kukosolewa.


Huu uzi umenionyesha akina LUCAS MWASHAMBWA wengi sana wa upande wa CDM.
 
Back
Top Bottom