PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 969
- 1,055
Mwenyekiti wa Chama wa chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema Freeman Mbowe ameungana na wanachama kuwasindikiza wagombea wa vijiji vinne vinavyounda kata ya Machame Narumu, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro
source
View: https://x.com/MwanzoTvPlus/status/1851859898469863604
source
View: https://x.com/MwanzoTvPlus/status/1851859898469863604