LGE2024 Freeman Mbowe: Pambaneni hakikisheni hakuna kura inaibiwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

LGE2024 Freeman Mbowe: Pambaneni hakikisheni hakuna kura inaibiwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Key word "Pambaneni" sio tupambane.Mwenye akili ameelewa Mbowe ana maana gani.
 
Mwenyekiti wa Chama wa chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema Freeman Mbowe ameungana na wanachama kuwasindikiza wagombea wa vijiji vinne vinavyounda kata ya Machame Narumu, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro

source

View: https://x.com/MwanzoTvPlus/status/1851859898469863604

Pendo, Itakuwa hasara sana ikiwa na wewe unalipwa na ccm
Kwa kiasi kikubwa, Mbowe pia ni tatizo kwa suala zima la ukuaji wa Demokrasia, haki na usawa kwa upande wa CHADEMA. Erythrocyte wewe binafsi huenda unaweza kushindwa kunielewa kwa Sasa, lakini pole pole naamini utakuja kunielewa hapo baadaye.
 
Kwa hiyo maana yako ni kuwa, hata kwenye hatua zinazo fuatia baada ya wanaoibiwa kura zao kukataa ujinga huo, wewe bado utakuwa hupendi kushiriki kwenye hizo hatua zinazo fuatia?
Niko tayari muda mrefu kwa hatua baada ya kura zenu kuibiwa.
 
Kwa kiasi kikubwa, Mbowe pia ni tatizo kwa suala zima la ukuaji wa Demokrasia, haki na usawa kwa upande wa CHADEMA. Erythrocyte wewe binafsi huenda unaweza kushindwa kunielewa kwa Sasa, lakini pole pole naamini utakuja kunielewa hapo baadaye.
Uko sahihi, Mbowe ni kansa ya demokrasia ndani ya cdm.
 
Back
Top Bottom