LGE2024 Freeman Mbowe: Pambaneni hakikisheni hakuna kura inaibiwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

LGE2024 Freeman Mbowe: Pambaneni hakikisheni hakuna kura inaibiwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
huyu mwenyekiti .....tangu lini uchaguzi ukawa VITA?!! huyu mzee dhamira yake sikuzote ni kuchafua Amani ya nchi yetu kwa singizio cha haki.
Hawa nia yao ni kuleta machafuko nchin na sio vinginevyo
 
Kenya hadi kufika hapo walipo walipitia njia hiyo ndio maana box la kura ,mihimili ya utawala inaheshimiana na katiba inafuatwa.

Hawakufika hapo kwa bahati mbaya.
wewe ina maana unataka kutufanisha na kenya..?
 
Kenya hadi kufika hapo walipo walipitia njia hiyo ndio maana box la kura ,mihimili ya utawala inaheshimiana na katiba inafuatwa.

Hawakufika hapo kwa bahati mbaya.
Sahihi kabisa, kinyume na hapo tutaendelea kuimbishwa amani na walioficha mapanga mfukoni.
 
Sahihi kabisa, kinyume na hapo tutaendelea kuimbishwa amani na walioficha mapanga mfukoni.
Hamna mliwezalo kama mlimkimbia mwenyekiti wenu kwenye maandamo na kuamuacha na familia yake, kuwa kama kenya bado sana nyie
 
wewe ebu tutole wako inaana unataka kutufanisha na kenya..?
Kutufanisha ndio nini?

Inaana ndio nini?

Tutole ndio nini?

Ebu ndio nini?

Jina la nchi huanza na herufi kubwa ni Kenya sio kenya.

Jifunze kuandika kwanza.
 
Mwenyekiti wa Chama wa chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema Freeman Mbowe ameungana na wanachama kuwasindikiza wagombea wa vijiji vinne vinavyounda kata ya Machame Narumu, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro

source

View: https://x.com/MwanzoTvPlus/status/1851859898469863604

Mbowe ni kada undercover wa ccm ya samia ...toka apokee rushwa kutoka kwa sa100 wamekuwa kitu kimoja kwa nje anajidai upinzani kwa ndani ni mlamba asali wa sa100
 
wewe ebu tutole ujinga wako inaana unataka kutufanisha na kenya..?
Ni kweli hatuko sawa na Kenya, maana sisi ni makondoo hata ccm wakipora uchaguzi tunatakiwa tunyamaze tu ili tupate amani ya mchongo.
 
Hamna mliwezalo kama mlimkimbia mwenyekiti wenu kwenye maandamo na kuamuacha na familia yake, kuwa kama kenya bado sana sana nyumbu nyie
Uko sahihi kabisa, una hoja nyingine zaidi ya huu utoto uliouleta hapa?
 
Hivi bado kuna mtu mwenye akili timamu anaishabikia CCM?!
Wenye akili timamu wote wapo CCM sio kuishabikia kuipigia kura ushabiki upo chadema kujiandikisha hakuna kura hawapigi na maandamano hawatoki!
 
Bila njia mbadala hakutakuwa na heshima katika box la kura.
"Njia mbadala" inaanzia kwenye "box la kura". linapo najisiwa.
Hakuna uchaguzi hapo ni upotezaji rasilimali fedha na muda na fedha.

Cc Tindo
Kususa ni kuwakubali moja kwa moja hao wanao fanya "upoteze muda na fedha" na kuendelea kusubiri bahati tu ya wao kukuonea huruma wakitaka.
 
"Njia mbadala" inaanzia kwenye "box la kura". linapo najisiwa.
Kususa ni kuwakubali moja kwa moja hao wanao fanya "upoteze muda na fedha" na kuendelea kusubiri bahati tu ya wao kukuonea huruma wakitaka.
Nyie bado mnaomini nendeni kwenye box la kura, mkiibiwa mje mtujulishe.
 
Nyie bado mnaomini nendeni kwenye box la kura, mkiibiwa mje mtujulishe.
Hapana. Siyo kuja "kuwajulisha", tunawahimiza muwe tayari kwa hiyo hatua inayo fuatia baada ya kura zinazo ibiwa.

Ngoja nikueleze kitu kipya (nadahani ni kipya).

CCM akiona mwitikio wa wananchi kuwa mkubwa sana kwenye kupiga kura, hatathubutu hata mara moja kufanya ujinga alio zoea kuufanya.
Ukisusa na kukaa nyumbani, tayari CCM anaihesabu kura yako ya kumkubali.

Kwa hiyo mkuu 'Tindo', si angalau hata ni bora kujitokeza tu kuonyesha umoja wako na hao watakaoshiriki kupiga kura, ili kumfanya CCM anywee, kuliko kubaki tu umekaa nyumbani ukisubiri njia mbadala, ambayo hata mwanzo wake haufahamiki?
 
Hapana. Siyo kuja "kuwajulisha", tunawahimiza muwe tayari kwa hiyo hatua inayo fuatia baada ya kura zinazo ibiwa.

Ngoja nikueleze kitu kipya (nadahani ni kipya).

CCM akiona mwitikio wa wananchi kuwa mkubwa sana kwenye kupiga kura, hatathubutu hata mara moja kufanya ujinga alio zoea kuufanya.
Ukisusa na kukaa nyumbani, tayari CCM anaihesabu kura yako ya kumkubali.

Kwa hiyo mkuu 'Tindo', si angalau hata ni bora kujitokeza tu kuonyesha umoja wako na hao watakaoshiriki kupiga kura, ili kumfanya CCM anywee, kuliko kubaki tu umekaa nyumbani ukisubiri njia mbadala, ambayo hata mwanzo wake haufahamiki?
Yaani mimi sina 2 boss, nikishasema sishiriki uchaguzi, sishiriki kweli, bali ni utekelezaji tu.
 
Yaani mimi sina 2 boss, nikishasema sishiriki uchaguzi, sishiriki kweli, bali ni utekelezaji tu.
Kwa hiyo maana yako ni kuwa, hata kwenye hatua zinazo fuatia baada ya wanaoibiwa kura zao kukataa ujinga huo, wewe bado utakuwa hupendi kushiriki kwenye hizo hatua zinazo fuatia?
 
Kutufanisha ndio nini?

Inaana ndio nini?

Tutole ndio nini?

Ebu ndio nini?

Jina la nchi huanza na herufi kubwa ni Kenya sio kenya.

Jifunze kuandika kwanza.
Kafie mbele huko
 
Back
Top Bottom