Freeman Mbowe, Said Issa na Tundu Lissu, washinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu CHADEMA

Tatizo ni kuwa CHADEMA ni mali ya watu fulani, sio umma. Hivi unafikiri akiondoka Mbowe kitabaki nini? Utakuwa ndiwo mwisho wa chama. CDM ni kama Pertinership business au unlimited company!
Mbona ccm ni Mali ya familia ujiulizi hilo
 
Ye aendelee hata milele kuwa mwenyekiti wa ccm lakini wa nchi una ukomo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…