Kama Mbowe tu ndiyo mwenye uwezo wa kuiongoza chadema?
Kwanini Magufuli Pombe asibadili katiba na kuendelea kugombea na kuongoza kwa vipindi vingine zaidi
Huwenda pia yeye ndiyo anafaa tu kuwa rais nchi hii
Chadema wana maoni gani juu ya katiba kubadilishwa na Magu kuendelea kugombea urais?
Kwa kweli naanza kuidharau chadema baada ya Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti
Sent using
Jamii Forums mobile app