Freeman Mbowe: Scotland Yard ya Uingereza ichunguze Matukio ya Utekaji na Uuaji nchini

Freeman Mbowe: Scotland Yard ya Uingereza ichunguze Matukio ya Utekaji na Uuaji nchini

"Sasa baada ya mashauriano ya viongozi wa ngazi zote hizi, tumekubaliana, watu pekee ambao tuna imani wanaweza kuja kufanya uchunguzi wa haki katika nchi yetu, iwe lazima ni chombo cha kimataifa cha uchunguzi, na kipekee tumependekeza chombo kinachoitwa Scotland Yard kutoka jeshi la polisi la Uingereza kuja kufanya uchunguzi huu.
Mfumo utakubali?
 
hakuna haja,
na wala hakuna sababu hata moja kufikia hatua hiyo ya aibu kwa hisia potofu tu za kisiasa kutoka kwa wanasiasa wa upinzani waliofilisika hoja, dhidi kwa taasisi imara na kisasa sana za ulinzi Tanzania na zinazo aminika zaidi mataifa mbalimbali duniani na ulimwengu mzima...

hakuna taifa la lolote la ng'ambo linaloweza kukubali kuhadaiwa na mihemko ya mtua aliekosa uhalali wa uongozi na king"ang'anizi kwa kubadili katiba ndani ya taasisi yake binafsi anayoingoza ili abaki madarakani,

lakini pia hakuna Taifa ambalo linaweza kupoteza muda kumskiliza na kumuamini mtu ambae, kwa masamaha wa raisi alisamehewa uhalifu wa kigaidi :pulpTRAVOLTA:
We unachopinga ni kipi?
Acha hao wachunguzi waje, mnachopaswa kufanya ni kuunga mkono kama kweli mnahuzunishwa na utekaji na uuaji wa waTanzania.

Uchawa ukizidi unakiwa shog@.
 
Sometimes wapinzani hua wanaongea vitu havimake sense.

Ni taifa gani sovereignty linaalika nchi nyingine kufanya uchunguzi kwenye nchi yake?

Scotland yard wakisema wahusika ni mtu huyu, nani anatakiwa kumuwajibisha huyo mtu? Scotland yard au mahakama za Tanzania?

Hii drama waliwahi kuiraise muda fulani ikafifia naona wameanza nayo upya
Hili bumunda lingine linaona limetoa hoja.
 
Wafanye na uchunguzi wa kwa nini yeye ana uenyekiti wa kifalme miaka nenda rudi yeye ni mwenyeki
Kwahiyo yeye kuwa Mwenyekiti ndo sababu ya matukio ya mauwaji, utekaji, utesaji na upotezwaji wa viongozi na wanachama wa chadema?
 
We unachopinga ni kipi?
Acha hao wachunguzi waje, mnachopaswa kufanya ni kuunga mkono kama kweli mnahuzunishwa na utekaji na uuaji wa waTanzania.

Uchawa ukizidi unakiwa shog@.
relax tu gentleman,
hakuna taifa lolote la kistaarabu duniani hususan kutoka ng"ambo linaweza kuthubutu au kupoteza muda au kukiuka sheria za kimataifa kuingilia mambo ya ndani ya nchi ingine,

tena kwa kuskiliza tu madai ya hisia na mihemko yanayotolewa na mtu amabae ana record ya kihalifu tena ugaidi kabisa, ambao ni tishio la kiusalama duniani kote,

lakini zaidi sana ambae anashukiwa kua ni miongoni mwa wenye mikono yenye damu za watu dhidi ya yanayoendelea ndani chama chake mwenyewe :pulpTRAVOLTA:

infact,
katika masuala ya ulinzi na usalama, Tanzania inaaminika zaidi duniani uklinganisha hata na hicho kunachoombwa kuja kufanya uchunguzi ambacho kwakweli si muhimu na hakuna haja wala sababu hata moja ya kuja jumu nchini:pulpTRAVOLTA:
 
Kipindi Lissu amepigwa risasi kauli kama hii ilitolewa.
Cha kushangaza na kusikitisha watu walirambishwa asali wakaufyata.
Wafiwa wamepewa 5M ya pole. Je M/kiti ataingiziwa ngapi? Wiki haiishi atadumbukiziwa 400M then ghafla yeye mwenyewe ataanza kuahirisha ahirisha harakati mwishowe linapita. Fedha ina nguvu sana.
 
Back
Top Bottom