Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Yaani ccm ikubali Scotland Yard ije ifanye uchunguzi ili iwakamate!
Thubutuuu!
Thubutuuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ICJ ipo kwa sababu ipi?Usipojifunza historia unapata laana ya kuirudia.
Uelewa wako mwisho wake ni hapo
Nilikuwa nashangaa hata mimi. Mifumo yote inasapoti mambo jayo ni ngumu sana kuwaepuka watekajiTumekaa kama viongozi tumeshauriana kwa kina, kama kweli tume ya kimahakama ya kijaji, kwa mazingira ya nchi yetu ilivyo, kwa namna tulivyoliona bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linapuuza utekaji, kwa namna ambavyo tumeiona mahakama kuu inapuuzs utekaji, hivi kweli hiyo rai ya kumtaka Rais aunde tume huru ya kimahakama na watu wenyewe ni haohao wa mifumo tutakuwa salama?"
HahahaYaani ccm ikubali Scotland Yard ije ifanye uchunguzi ili iwakamate!
Thubutuuu!
Si serikali imeshindwa kuwatambua? Scot wakishawatambua ndio tutawapeleka mahakamani sasa.Scotland yard wakisema wahusika ni mtu huyu, nani anatakiwa kumuwajibisha huyo mtu? Scotland yard au mahakama za Tanzania?
Sometimes wapinzani hua wanaongea vitu havimake sense.
Ni taifa gani sovereignty linaalika nchi nyingine kufanya uchunguzi kwenye nchi yake?
Scotland yard wakisema wahusika ni mtu huyu, nani anatakiwa kumuwajibisha huyo mtu? Scotland yard au mahakama za Tanzania?
Hii drama waliwahi kuiraise muda fulani ikafifia naona wameanza nayo upya
WellSio kitu kibaya kuwa na tume huru ya uchunguzi. Unaweza kutumia Scotland yard au tume ya majaji ya jumuiya ya Madokla, au ya umoja wa Mataifa.
HakikaBetter late than never.
Hujui unachozungumza, hao askari unaozungumzia ndio kama yule shahidi tena koplo mzima kesi ya Mbowe anaulizwa terrorism ni nini anajibu ni masula ya kitalii, hao ndio wachunguze matukio haya?relax tu gentleman,
hakuna taifa lolote la kistaarabu duniani hususan kutoka ng"ambo linaweza kuthubutu au kupoteza muda au kukiuka sheria za kimataifa kuingilia mambo ya ndani ya nchi ingine,
tena kwa kuskiliza tu madai ya hisia na mihemko yanayotolewa na mtu amabae ana record ya kihalifu tena ugaidi kabisa, ambao ni tishio la kiusalama duniani kote,
lakini zaidi sana ambae anashukiwa kua ni miongoni mwa wenye mikono yenye damu za watu dhidi ya yanayoendelea ndani chama chake mwenyewe
infact,
katika masuala ya ulinzi na usalama, Tanzania inaaminika zaidi duniani uklinganisha hata na hicho kunachoombwa kuja kufanya uchunguzi ambacho kwakweli si muhimu na hakuna haja wala sababu hata moja ya kuja jumu nchini![]()
Unajuwa kusoma na kuelewa kilicho andikwa?Kichwa cha habari na content mbona tofauti
unaejua punguza makasiriko kidogo basi halafu elezea mambo kwa utaratibu bila mihememko wala hitimisho la ghadhabu kwenye majadiliano muhimu sana kama haya....Hujui unachozungumza, hao askari unaozungumzia ndio kama yule shahidi tena koplo mzima kesi ya Mbowe anaulizwa terrorism ni nini anajibu ni masula ya kitalii, hao ndio wachunguze matukio haya?
Tukio la kulipuliwa ubalozi 1998 Dar es salaam na Nairobi, askari wa Tanzania walikamata wanywa gongo na vibaka eti ndio magaidi, FBI wanakuja wanasema waachieni hakuna gaidi hapo hata mmoja, hao ndio wa kuchunguza hio kesi na unawapamba eti kiulinzi tupo mbali?
Punguza uchawa mkuu, jamaa ni weupe.
Hapa kijani na mwenyekiti wao matumbo moto wanajiskia kuhara kila wakati,mfumo umeoza."Tumekaa kama viongozi tumeshauriana kwa kina, kama kweli tume ya kimahakama ya kijaji, kwa mazingira ya nchi yetu ilivyo, kwa namna tulivyoliona bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linapuuza utekaji, kwa namna ambavyo tumeiona mahakama kuu inapuuzs utekaji, hivi kweli hiyo rai ya kumtaka Rais aunde tume huru ya kimahakama na watu wenyewe ni haohao wa mifumo tutakuwa salama?"
"Sasa baada ya mashauriano ya viongozi wa ngazi zote hizi, tumekubaliana, watu pekee ambao tuna imani wanaweza kuja kufanya uchunguzi wa haki katika nchi yetu, iwe lazima ni chombo cha kimataifa cha uchunguzi, na kipekee tumependekeza chombo kinachoitwa Scotland Yard kutoka jeshi la polisi la Uingereza kuja kufanya uchunguzi huu.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akizungumza na wanahabari siku ya Jumatano Septemba 11, 2024 Makao Makuu ya chama hicho, jijini Dar es Salaam.
PIA SOMA
- News Alert: - Freeman Mbowe: Vikao vya CHADEMA vimesema 'This Must Come to an End', lazima jambo hili lifike mwisho
Nyerer alipo kua mwenyekiti zaidi ya miaka 20 mlifanyia wapi uchunguzi,Wafanye na uchunguzi wa kwa nini yeye ana uenyekiti wa kifalme miaka nenda rudi yeye ni mwenyeki
"Tumekaa kama viongozi tumeshauriana kwa kina, kama kweli tume ya kimahakama ya kijaji, kwa mazingira ya nchi yetu ilivyo, kwa namna tulivyoliona bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linapuuza utekaji, kwa namna ambavyo tumeiona mahakama kuu inapuuzs utekaji, hivi kweli hiyo rai ya kumtaka Rais aunde tume huru ya kimahakama na watu wenyewe ni haohao wa mifumo tutakuwa salama?"
"Sasa baada ya mashauriano ya viongozi wa ngazi zote hizi, tumekubaliana, watu pekee ambao tuna imani wanaweza kuja kufanya uchunguzi wa haki katika nchi yetu, iwe lazima ni chombo cha kimataifa cha uchunguzi, na kipekee tumependekeza chombo kinachoitwa Scotland Yard kutoka jeshi la polisi la Uingereza kuja kufanya uchunguzi huu.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akizungumza na wanahabari siku ya Jumatano Septemba 11, 2024 Makao Makuu ya chama hicho, jijini Dar es Salaam.
PIA SOMA
- News Alert: - Freeman Mbowe: Vikao vya CHADEMA vimesema 'This Must Come to an End', lazima jambo hili lifike mwisho