Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hii huruma ya CCM kwa wabunge wa CHADEMA imetoka wapi ghafla, wakati mnawaengua hamkujua kuwa bungeni mtabaki waimba sifa.
Watazuia maendeleoKuna taarifa zinasambaa kuwa CHADEMA hakitachagua wabunge wa viti maalumu kwenye uchaguzi huu huku wakijua kabisa kuwa ipo kisheria.
Kutochaguliwa wabunge waliokuwa wabunge miaka 10 kutoka CHADEMA katika uchaguzi huu akiwepo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe isiwe ndio kigezo cha kuwaminya wengine wasiingie Bungeni.
Mbona mlipochaguliwa hakuna aliyelalamika kuwa Lowassa ameibiwa hivyo mkasusa kwenda Bungeni mwaka 2015.
Waachieni na wengine wakafanye kazi za ubunge pia mbona Trump kafungasha mizigo huko White House wewe Mbowe ni Nani???
Kujenga demokrasia ya nchi yetu changa ni swala mtambuka,sikwambii demokrasia ilivyo changa ndani ya vyama vyote CCM,Chadema,ACT,CUF n,k.
uwezi kujenga demokrasia ya taifa letu bila kuwepo na vyama pinzani kwa namna yeyote ile.
demokrasia ni eneo muhimu sana la kukuza na kujenga uchumi wa nchi yetu.
misimamo yeyote hasi yenye kukwamisha jambo ili ni yakukemewa vikali hasa kipindi iki cha sintofahamu ya uchaguzi uliomalizika juzi.
Mumevuna mlichokipanda, sasa mumebakia kutengeneza kiki, kesho tutasikia mwingine akiigiza kukimbilia ubalozi wa bagdadi kutafuta kuishi inchi yenye amaniii.Unyama, ukatili, ushenzi na uhayawani wa wazi uchaguzi huu, nitawadharau sana cdm iwapo watabariki upuuzi huo kwa kwenda bungeni. Wakati wa Lowasa hakukuwa na ushenzi wa wazi hivi.
Kiki na maigizo tumezichokaa.Umejiunga hapa jukwaani juzi mwezi wa nane kuja kuongea huu utoto hapa jukwaani?
Kiki na maigizo tumezichokaa.
Muuulize mwenyekiti wako wachama ndio walikuwa maswahibaaaUmezichoka ww na nani? Akina Bensaa8 hawapo, je ni kiki za nini?
Muuulize mwenyekiti wako wachama ndio walikuwa maswahibaaa
Na jamaaa yenuuuMwenyekiti wangu mimi na nani?
Halafu unakuta eti nawewe kuna familia inakutegemea uiongoze daaah 😂Kuna taarifa zinasambaa kuwa CHADEMA hakitachagua wabunge wa viti maalumu kwenye uchaguzi huu huku wakijua kabisa kuwa ipo kisheria.
Kutochaguliwa wabunge waliokuwa wabunge miaka 10 kutoka CHADEMA katika uchaguzi huu akiwepo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe isiwe ndio kigezo cha kuwaminya wengine wasiingie Bungeni.
Mbona mlipochaguliwa hakuna aliyelalamika kuwa Lowassa ameibiwa hivyo mkasusa kwenda Bungeni mwaka 2015.
Waachieni na wengine wakafanye kazi za ubunge pia mbona Trump kafungasha mizigo huko White House wewe Mbowe ni Nani???
Kijani, tena kibichi bado.Sina ukijani wowote napenda kutumia akili na sio mihemko yenu
Hela za mabeberu watazikosa lakini.CHADEMA wakisusa, CCM wanakula
Tume ya UCHAGUZI na chama tawala kinajua madhaifu ya wapinzani na kinayatumia ipasavyo Sasa NEC inatafuta namna ya kuwapoza. Sasa katika Hili ikiwa watakubali kupeleka na kuruhusu viti maalum inamaana wanautambua UCHAGUZI MKUU kuwa NI halaliKuna taarifa zinasambaa kuwa CHADEMA hakitachagua wabunge wa viti maalumu kwenye uchaguzi huu huku wakijua kabisa kuwa ipo kisheria.
Kutochaguliwa wabunge waliokuwa wabunge miaka 10 kutoka CHADEMA katika uchaguzi huu akiwepo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe isiwe ndio kigezo cha kuwaminya wengine wasiingie Bungeni.
Mbona mlipochaguliwa hakuna aliyelalamika kuwa Lowassa ameibiwa hivyo mkasusa kwenda Bungeni mwaka 2015.
Waachieni na wengine wakafanye kazi za ubunge pia mbona Trump kafungasha mizigo huko White House wewe Mbowe ni Nani???
Hata nikiwa pink au nyekundu wewe hayakuhusu, mwisho wa siku kila mtu na maoni yake.Kijani, tena kibichi bado.
Mihemko pia inawezekana unayo ni vile tu unajisahihishia huo mtiani. Wape wengine wakupe majibu kama una mihemko au la.
Ya Arusha kilikuwa kipindi cha uchaguzi?Kwani kipindi kina mnyika wanaenda bungeni watu hawakufa mfano Yale maandamano ya Arusha. Kwangu mimi acheni ubinafsi, hafu Mimi siko chama chochote ni raia wa kawaida nisiye na mihemkoa
Ukishakuwa humu, ukatoa comment, comment yako ni public comment. unajibiwa na yeyote na inamuhusu yeyote anayejisikia kukujibu. We ni kijani sio pink wala nyekundu. KIJANI tena bado kipya kipya.Hata nikiwa pink au nyekundu wewe hayakuhusu, mwisho wa siku kila mtu na maoni yake.