Kwahiyo huyo asiye muhuni baada ya mbowe kutamka maridhiano kasemaje? Si kajipongeza kuiba ushindi? Au hujamsikia?Mbowe ni muhuni kama wahuni wengine yale maridhiano yalikuwa ya nini na Mh. Rais...
Wajue tu Bunge lijalo hawarudi kule...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe MBOWE MWENYEWE ndio ulizuia ukuta. Pale ndio Jiwe alikuwa anapewa somo. Usiombe wananchi wakaichoka pia CHADEMA.
Umemalizia vizuri sana. Kwamba TZ inalindwa na Mungu. Isingekuwa hivyo 2015 TZ ingeongozwa na mafisadi ambao walitumia mabilioni kwa mabilioni kuwarubuni watu wawape kura na kwa bahati mbaya waliorubuniwa ni viongozi wa dini zote ukristo, uislam, ukatoliki, upentekoste wote waliingizwa lakini Mungu harubuniwi. Mafisadi wakapigwa chini. Mbowe aelezwe hatapewa uongozi kwa njia za kijanzajanza kwa sababu TZ bado iko mkononi mwa MUNGU wa mbinguni.Nimepitia kauli ya Mbowe inayoenezwa na wafuasi wake kwenye Mitandao ua kijamii.
Eti anadai kuwa atakaposhindwa uchaguzi wa 2020 eti ataishitaki Tanzania Umoja wa Mataifa ili waje wamtawalishe kinguvu.
Siku moja Baba wa Taifa aliwahi kuiambia UN kinagaubaga kwamba UN sio serikali ya Dunia bali ni sehemu ambayo dunia inakutana.
Hivyo basi, UN haina nguvu ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu.
Kwahakika, Mbowe anazeeka vibaya kama Maalim Seif ambaye aliwahi kuyashawishi mataifa ya ulaya yatupige vikwazo vua kiuchumi ili tufe njaa.
Tunawaambia kwa sauti kubwa kuwa Tanzania inalindwa na Mungu. Kamwe hakuna anayezidi nguvu za Mungu.
Thibitisha Mungu yupo.Nimepitia kauli ya Mbowe inayoenezwa na wafuasi wake kwenye Mitandao ya kijamii.
Eti anadai kuwa atakaposhindwa uchaguzi wa 2020 eti ataishitaki Tanzania Umoja wa Mataifa ili waje wamtawalishe kinguvu.
Siku moja Baba wa Taifa aliwahi kuiambia UN kinagaubaga kwamba UN sio serikali ya Dunia bali ni sehemu ambayo dunia inakutana.
Hivyo basi, UN haina nguvu ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu.
Kwahakika, Mbowe anazeeka vibaya kama Maalim Seif ambaye aliwahi kuyashawishi mataifa ya ulaya yatupige vikwazo vua kiuchumi ili tufe njaa.
Tunawaambia kwa sauti kubwa kuwa Tanzania inalindwa na Mungu. Kamwe hakuna anayezidi nguvu za Mungu.
Hivyo basi, Dikteta ataendelea kuua kila anaemkosea!Nimepitia kauli ya Mbowe inayoenezwa na wafuasi wake kwenye Mitandao ya kijamii.
Eti anadai kuwa atakaposhindwa uchaguzi wa 2020 eti ataishitaki Tanzania Umoja wa Mataifa ili waje wamtawalishe kinguvu.
Siku moja Baba wa Taifa aliwahi kuiambia UN kinagaubaga kwamba UN sio serikali ya Dunia bali ni sehemu ambayo dunia inakutana.
Hivyo basi, UN haina nguvu ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu.
Kwahakika, Mbowe anazeeka vibaya kama Maalim Seif ambaye aliwahi kuyashawishi mataifa ya ulaya yatupige vikwazo vua kiuchumi ili tufe njaa.
Tunawaambia kwa sauti kubwa kuwa Tanzania inalindwa na Mungu. Kamwe hakuna anayezidi nguvu za Mungu.
Nimepitia kauli ya Mbowe inayoenezwa na wafuasi wake kwenye Mitandao ya kijamii.
Eti anadai kuwa atakaposhindwa uchaguzi wa 2020 eti ataishitaki Tanzania Umoja wa Mataifa ili waje wamtawalishe kinguvu.
Siku moja Baba wa Taifa aliwahi kuiambia UN kinagaubaga kwamba UN sio serikali ya Dunia bali ni sehemu ambayo dunia inakutana.
Hivyo basi, UN haina nguvu ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu.
Kwahakika, Mbowe anazeeka vibaya kama Maalim Seif ambaye aliwahi kuyashawishi mataifa ya ulaya yatupige vikwazo vua kiuchumi ili tufe njaa.
Tunawaambia kwa sauti kubwa kuwa Tanzania inalindwa na Mungu. Kamwe hakuna anayezidi nguvu za Mungu.
Nimepitia kauli ya Mbowe inayoenezwa na wafuasi wake kwenye Mitandao ya kijamii.
Eti anadai kuwa atakaposhindwa uchaguzi wa 2020 eti ataishitaki Tanzania Umoja wa Mataifa ili waje wamtawalishe kinguvu.
Siku moja Baba wa Taifa aliwahi kuiambia UN kinagaubaga kwamba UN sio serikali ya Dunia bali ni sehemu ambayo dunia inakutana.
Hivyo basi, UN haina nguvu ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu.
Kwahakika, Mbowe anazeeka vibaya kama Maalim Seif ambaye aliwahi kuyashawishi mataifa ya ulaya yatupige vikwazo vua kiuchumi ili tufe njaa.
Tunawaambia kwa sauti kubwa kuwa Tanzania inalindwa na Mungu. Kamwe hakuna anayezidi nguvu za Mungu.
Kwa hawa chadema?? Hicho kizazi ni bora kipotee tuSijui unafanyaga haya kwa maslah ya nani, jaribu kufikiria basi kizazi chako utakachokiacha duniani. Kitabaki kwenye nchi ya namna gani
Hii kauli kali sana, ange subiri ushauri wake wa maridhiano ujibiwe kwanza. Kweli tume choka uhuni wa olisi na tume ya uchaguzi kuwa beba Ccm ila tusiombe kusuluhishwa na UN
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha. Hayo wewe... Yaani Ccm wanao jua kusoma na kuandika elimu ya darasa la nne wanajua kujaza form kuliko wapinzani ambao wengi wana elimu zao? /usitake watu wacheke.
Sent using Jamii Forums mobile app