Freeman Mbowe: Wakifanya uhuni 2020 kama waliyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019 mpatanishi atakuwa Katibu wa UN

Freeman Mbowe: Wakifanya uhuni 2020 kama waliyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019 mpatanishi atakuwa Katibu wa UN

ccm hamna usingizi mpaka wahakikishe Mbowe ameachia uwenyekiti wa chadema???? Loh! Too bad 🙂 🙂 🙂 🙂
 
Chama cha maskini hiki

State agent
Hata mie ndivyo ninavyoelewa
Hili lilikuwa lije sio kwamba anasafisha
Kwani alikosea wapi?!
Wameomba maridhiano kuna mmoja kajitutumua eti atawanyoosha upinzani kwa maana hiyo maridhiano hayajakubalika ile juzi alijuuuuuta kumpa Mbowe aongee so cdm wanachukua hatua nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mustakabali wa Tanzania kama taifa huru unawahusu watanzania and not otherwise. UN haita kuchimbia Tanzanite wala kukulimia korosho. Nendeni kulalamika popote duniani, but we will never go back to business as usual.
 
Chadema hawajawahi kuwa serious,kila unapokaribia uchaguzi ndio wanazidi kuvurunda
Fursa walioiporeza 2015,haitarudi milele
2020 ACT anakwenda kuzoa viti vya pemba kwa kutumia maruhani wa maalim sefu,hii inawachanganya sana chadema,mara watake maridhiano,mara waswme msuluhishi atakua katibu mkuu UN
 
tawire baba! tawire komredi! tuko gado komredi wetu! tawire baba Mbowe! tupambane na shetani hadi kieleweke!
 
Chadema hawajawahi kuwa serious,kila unapokaribia uchaguzi ndio wanazidi kuvurunda
Fursa walioiporeza 2015,haitarudi milele
2020 ACT anakwenda kuzoa viti vya pemba kwa kutumia maruhani wa maalim sefu,hii inawachanganya sana chadema,mara watake maridhiano,mara waswme msuluhishi atakua katibu mkuu UN
Kumbuka ccm kama sio;
wizi
gilba
kuchakachua
uonevu
uongo
mapolisi
nec
'usalama'
Uchaguzi wa haki na huru ukifanyika, itakapokuwa imefika saa 6 mchana ccm itakuwa imeshatangulia kuzimu.
 
Kama Rais Magufuli na vyombo vyake vya polisi wanadhani watatufanyia uhuni kama walivyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019, mpatanishi atakua Katibu wa Umoja wa Mataifa.

#DevelopmentIsWoman
#MaendeleoNiMwanamke
#NoHateNoFear
View attachment 1290342
yeye ndiyo anatakiwa aache uhuni yeye anawaambia watu wasusie uchaguzi halafu analeta sababu za kifala hapa ? huyo anawadanganya wenzie kuficha ruzuku anazokula
 
Hana Mgombea Presidential material Sasa huo mkwara wote wa nini. Mwaga hata mkojo tu uone ha ha, ila JPM bwana hakyanani huyu Prezida wetu ni chuma kwelikweli. Au vip bado ni Uchwara? bandugu bakina Lisu mukuje kujibu
 
Hahaha walisema watamshitaki Kikwete Mahakama ya kimataifa

Leo hii Kikwete yupo anakula pension taratibu

Hawa watu wamekuwa bongo mobe
Sawa kabisa ila wakati ukifika usome andiko lako hapo juu. Mwanadamu ni sayansi nyingine tofauti kabisa.
Slaa alikula yamini ya kuwa CDM milele, lakini muda ulipofika hakuwa na namna.
Haap Xmas!!!!!
 
nilikuwa mfuasi wa chadema kwa miaka kadhaaa.........lkn kwa hili la juzi UMENITOA , HIKI UNACHOONGEA NI SIASA ZA UDANGANYIFU ILI TUMBO LAKO LISHIBE . HUWEZI KUENDA KWENYE UCHAGUZI MKUU HALIA YA KUWA KWENYE MTAA HUNA KIONGOZI HATA MMOJA KISHA UTEGEMEE KUPATA MATOKEA. BINAFSI SIJI KWENYE KUJIANDIKISHA WALA KUPIGA KURA, WOOTE MMENUNULIWA ,MNATUFANYA WANANCHI HATUJIELEWI.
 
Kama Rais Magufuli na vyombo vyake vya polisi wanadhani watatufanyia uhuni kama walivyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019, mpatanishi atakua Katibu wa Umoja wa Mataifa.

#DevelopmentIsWoman
#MaendeleoNiMwanamke
#NoHateNoFear
View attachment 1290342


Kitachowapata aatasimulia walai Magufuli hajaribiwi kama walimzoea Mzee wa Msoga huyu wa Burigi ni ushauri tu Mbowe awachane na Siasa la hulka na mihemko isiyo na maana
 
Kama Rais Magufuli na vyombo vyake vya polisi wanadhani watatufanyia uhuni kama walivyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019, mpatanishi atakua Katibu wa Umoja wa Mataifa.

#DevelopmentIsWoman
#MaendeleoNiMwanamke
#NoHateNoFear
View attachment 1290342
Huu ujinga pelekeni huko eti wanagombea wenyevyit kwenye serikal za mtaa mmejitoa ila wa udiwan ubunge na urais eti UN mi ningeona wa maana mngesusia pia nataka magu afanye hivyohivyo akijaaliwa uzima tumewachoka sasa aaagh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ndo gia za angani za mbowe, kama nafasi ya uchaguzi wa mitaa ndo ilikua chance ya maamuzi.. leo anakuja na hadithi za kujiimanisha...upuuzi mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo vitisho hutolewa popote kwenye ukatili na udictator, na wala sio vitisho huwa ni mambo yanayofanyika kweli, lakini hakuna budi hayo yatokee ili wengine heshima irejee. Kama watu wanakufa na ngoma na hawaogopi itakuwa kifo cha risasi?
KIBAYA ZAIDI MTU ANAUOGOPA UKIMWI KIASI CHA KUTUMIA CONDOM KILA MECHI ASIYOIAMINI LAKINI MATOKEO ANAKUFA NA MALARIA SASA SI BORA NIFE KIUME KWA RISASI ILI WENGINE WAOKOLEWE? MBONA WAZEE WETU WALIMNG'OA MKOLONI ALIYEKUWA KASHEHENI KILA KITU? WAAMBIENI WAJIPANGE WNGINE SASA HIVI TUNASUBIRI KIPENGA KIPULIZWE TUINGIE UWANJANI HAIJALISHI NIKIWA NA SILAHA GANI
 
Back
Top Bottom