MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
HIVIII magaidi huwa wanapewa dhamana?BREAKING: MBOWE NA WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na viongozi wenzake waliokuwa wamekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuandaa maandamano kupinga mchakato wa Uchaguzi Mkuu wameachiwa kwa dhamana - Mwanasheria wao ameithibitishia JamiiForums
View attachment 1618770
View attachment 1618769
View attachment 1618771
nimewakumbuka UAMSHO