antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Huyo UVCCM uongo mtupu.Hapana mkuu ushahidi si huu
View attachment 1618779
Usiamini 'mataga'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo UVCCM uongo mtupu.Hapana mkuu ushahidi si huu
View attachment 1618779
Hujasikia ya Lindi na kwingineko?Mbona hamna maandamano nchi nzima?
Sasa hii imekula kwao.
Unahamasisha watu harafu wana mute?
Dalili ya kukataliwa. Laana imeanza kuwala mdogo mdogo.
Mataga bhana!Watanzania zaidi ya 80% waliompigia kura Magifuli naamini wangependa hilo kundi la viongozi wabinafsi na wenye uchu wa madaraka kwa njia yoyote ile, wangefunguliwa mashtaki ya uhaini
Shetani upo busy kuwabambikia ugaidi Safari hii mtawabambikia wengi kesi kwa njia haramu za kishetani.Magaidi wameachiwa
Sherehe ya kushangilia kuunajisi kuulawiti kuubaka uchaguzi?Sawa
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Ataapishwa Hivi Karibuni, Acheni Kuichafua Sherehe
Unaendelea wapate kuwabambikia kesi kesi kama kawaida yenu Serikali ya uonevu Serikali penda kesi kesi hakuna mfano DunianiUchunguzi unaendelea
Kuwabambikia kesi wapinzani siyo masuala ya ndani kwenye uonevu hakuna cha masuala ya ndani kabsa.Marekani hawezi itisha nchi yoyote kwenye maswala ya ndani mana mkataba wa mahusiano ya kimataifa na diplomasia havi ruhusu hiyo kitu
Uporaji mali pesa za wafanyabiashara kwa kuitumia BOT na TRASerekali ya MATAGA inasumbuliwa sana magonjwa yanayoitwa utoto, ushamba, low IQ na hofu.
Cyprian Musiba alikuwa tayari kaandaa wagonjwa wa corona na chemical kwa ajili ya kuvipeleka waliposhikiliwa ili awadhuru wakitoka jelaa wawe wagonjwa na kupote baadae.Tuwashukuru Marekani na nchi za Ulaya bila shinikizo dikteta alikuwa anaenda kuwamaliza ndugu zetu
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada kwa wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu uonevu unyanyasaji wa CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jikeNo blood no changes
Beberu hawezi kutuletea changes tunazotaka kama tunaogopa vifo
Hiyo ndiyo demokrasia siyo sasa CCM imejaa chuki za kishamba shamba vitendo haramu vya kishamba na kishetaniUtawala uliopita ulimbeba sana mpaka kupewa Kandarasi kadhaa kwny Hotels zake,
Matangazo ya Serikal kwny Magazeti yake na Kandarasi ya kubeba Vifurusho pale Kilimamjaro International Airport (KIA)
bila ya kusahau tangu 2006~2015 hakulipa hata Senti tano NHC kwa upangaji wake pale Bilicanus lakin Kina Nehemia walipokea maelekezo 'wasimbughudhi'
lakin ikawa Kila siku Matusi na kejeli kwa Jakaya hayaishi
Kila mchuma janga hula na wakwao
OCD na RPC na Polisiccm wote walioshiriki vitendo vya hovyo kuwanyanyasa wapiga kura tayari majarada yao yapo ICCNi amri ya Marekani. Na bado. Safari ya the Hague karibu inaanza.
Dua za kishetani mwisho wake ni chatoHata uchunguzi ukiendelea walitakiwa wawe ndani kama masheikh wa uamsho
Maelekezo yasiyojua sheria ndo shida yake.Magaidi huwa wanapewa dhamana? Polisi ukipewa maelekezo tumia na akili zako.
Umeona au ya kuambiwa? Unaweza kuweka, hapa, picha hata moja ya hiyo karatasi ya kura?Mkuu maelezo mengi yanini . kwa Mara ya kwanza tuliona marundo ya kura feki zilizotikiwa magufuli yakizagaa mitaani. Lini umewahi ona kitu kama hicho kabla
Mungu ni nini?Mungu yuko haijalishi hoja na matukio ya kumpinga yako kiasi gani. Mambo mengine usihitaji uthibisho maana ndicho unachotakaga.
Tuendelee na siasa,
Tupe updates za hapo USA kuhusu uchaguzi, Biden hapiti kweli?
Ukichana karatasi ya kura kutoka katika kitabu inabaki nakala ya kumbukumbu ambayo hutunza.Mkuu maelezo mengi yanini . kwa Mara ya kwanza tuliona marundo ya kura feki zilizotikiwa magufuli yakizagaa mitaani. Lini umewahi ona kitu kama hicho kabla
Na bado. ICC the Hague inawasubiri.MIKE POMPEO kawabana mbavu.
Toka lini ugaidi una dhamana?
Wamelegezwa na tamko la Waziri Pompeo!