playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Bwana DIKIDikteta ameona aibu kuapishwa watu wakiwa rumande
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana DIKIDikteta ameona aibu kuapishwa watu wakiwa rumande
Kwa matusi hujamfikia hata ¼ ya mgombea wako wa Urais na uongozi wote wa chama. Kama mitandao imezimwa hizo kura feki zilizotikiwa Magufuli zimetandazwa wapi? Kwa uwongo zamu hii watakula miaka jelaMbona hizo kura feki zilizotikiwa Magufuli zimetandazwa sana mtandaoni japo serikali ya Magufuli ilizima internet kuogopa aibu.
Pumbavu tena. Hujui uandikalo. Wajanja tayari walikimbilia VPN na kuona kila kitu.Kwa matusi hujamfikia hata ¼ ya mgombea wako wa Urais na uongozi wote wa chama. Kama mitandao imezimwa hizo kura feki zilizotikiwa Magufuli zimetandazwa wapi? Kwa uwongo zamu hii watakula miaka jela
Siyo kwamba ameona aibu bali amelazimishwa na balozi wa US.Dikteta ameona aibu kuapishwa watu wakiwa rumande
Anachonikwaza nikuingia kanisani na kujifanya mcha MUNGU
SijaelewaBwana DIKI
Siyo Makonda?Cyprian Musiba alikuwa tayari kaandaa wagonjwa wa corona na chemical kwa ajili ya kuvipeleka waliposhikiliwa ili awadhuru wakitoka jelaa wawe wagonjwa na kupote baadae
Duuuuhh!!!!Cha ajabu Mungu nae anawaacha wanaendelea huku anacheka cheka tu huko mbinguni..He..he..he..he...
Pumbav kabisa
Mada ni kukamatwa na hatimaye kuachiliwa huru kwa viongozi wa upinzni. Yeye anaongelea dhambi, kazi ipo kwelikweli.Wewe mburula umeandika nini?
Ningekua mimi ni Mungu yani Magufuli angenitambua!
Huwezi ninyanyasia watu wangu kwenye Nchi yao halafu unaniletea unafiki kwenye nyumba yangu ya Ibada na huku mikono yako imejaa damu zisizo na Hatia. Ningemnyoosha haswa.
Bahati yake mimi siyo Mungu.
Wanajichanganya wenyewe. Kwa mujibu wa sheria kosa la ugaidi halina dhamana. Hawa kwa nini wamewaachia kama siyo hila za kuwaonea?Dua za kishetani mwisho wake ni chato
Kama hawawezi mbona mashitaka yaananza kuwa diluted. Mwanzo walisema ugaidi. Ugaidi ni kosa ambalo huwezi achiwa kwa dhamana.Marekani hawezi itisha nchi yoyote kwenye maswala ya ndani mana mkataba wa mahusiano ya kimataifa na diplomasia havi ruhusu hiyo kitu
Mkuu Babati ,hiyo haitakuwa sakramenti takatifu tena.Na j2 utamwona kanisani anapokea Sakramenti takatifu
Rais anawapenda raia wakeMagaidi wameachiwa