Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe, Zitto Kabwe, Godbless Lema na Boniface Jacob waachiwa kwa dhamana

Kaandamane nicheki muvi ya kichapo chako huhuhuhuuuu
 
Pumbavu tena. Hujui uandikalo. Wajanja tayari walikimbilia VPN na kuona kila kitu.
Wewemjanja weka hata picha ya hiyo kura kuthibitisha uhalali na uhalalisia wao
 
Dikteta ameona aibu kuapishwa watu wakiwa rumande
Dikteta gani Tena! Mungu katupendelea Sana watz! Mungu azidi kumlinda kumuongoza kumtunza, na kumbariki rais wetu Mh Dr JPM na serikali yetu yote ya awamu hii ya tano! Mungu azidi ibariki Tanzania yetu!
 
Dikteta gani Tena! Mungu katupendelea Sana watz! Mungu azidi kumlinda kumuongoza kumtunza, na kumbariki rais wetu Mh Dr JPM na serikali yetu yote ya awamu hii ya tano! Mungu azidi ibariki Tanzania yetu!
Amewapendelea wewe na familia yako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…