HIVIII magaidi huwa wanapewa dhamana?BREAKING: MBOWE NA WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na viongozi wenzake waliokuwa wamekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuandaa maandamano kupinga mchakato wa Uchaguzi Mkuu wameachiwa kwa dhamana - Mwanasheria wao ameithibitishia JamiiForums
View attachment 1618770
View attachment 1618769
View attachment 1618771
afanye kazi na mumeoUchaguzi umekwisha tufanye kazi.
Kaandamane nicheki muvi ya kichapo chako huhuhuhuuuuNingekua mimi ni Mungu yani Magufuli angenitambua!
Huwezi ninyanyasia watu wangu kwenye Nchi yao halafu unaniletea unafiki kwenye nyumba yangu ya Ibada na huku mikono yako imejaa damu zisizo na Hatia. Ningemnyoosha haswa.
Bahati yake mimi siyo Mungu.
Kaandamane nicheki muvi ya kichapo chako huhuhuhuuuu
Wewemjanja weka hata picha ya hiyo kura kuthibitisha uhalali na uhalalisia waoPumbavu tena. Hujui uandikalo. Wajanja tayari walikimbilia VPN na kuona kila kitu.
Dikteta gani Tena! Mungu katupendelea Sana watz! Mungu azidi kumlinda kumuongoza kumtunza, na kumbariki rais wetu Mh Dr JPM na serikali yetu yote ya awamu hii ya tano! Mungu azidi ibariki Tanzania yetu!Dikteta ameona aibu kuapishwa watu wakiwa rumande
Amewapendelea wewe na familia yako mkuuDikteta gani Tena! Mungu katupendelea Sana watz! Mungu azidi kumlinda kumuongoza kumtunza, na kumbariki rais wetu Mh Dr JPM na serikali yetu yote ya awamu hii ya tano! Mungu azidi ibariki Tanzania yetu!