Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Pitia Link aliyokupatia Lokissa hapo juu ina kila kitu kuwahusu hao jamaa!
 
Hebu soma kitabu cha Albert Pike "MORAL & DOGMA" google halafu andika jina la kitabu on web
 
Ndugu,
hizo mada zimeshajadiliwa sana, we unairudia hii. Nenda Jamii Intelligence zipo nyingi zitakusaidia. Pia kusoma mwenyewe inasaidia zaidi kuliko kuambiwa coz you won't get the details.

Kuhusu babu wa Loliondo, Yule Babu ni Mganga wa kienyeji na ni member mwenye cheo kikubwa tu katika ufalme wa giza(Lucifer) in which freemasonry and Illuminati are parts. Na huduma yake ililaaniwa na watumishi wa Mungu ili asiendelee kudanganya watu na kuwaua. Source "Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira"
 

Matola...!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Freemasons ni waumini wa satanist secret organisations, zimetapakaa sana duniani hata hapa kwetu Tanzania zipo na kuna members. Sina hakina kama hapa Tanzania kuna lodge zao, lakini wako wengi kiasi matajiri na baadhi ya waheshimiwa. Ukitaka kujua wao ni nani soma kitabu kinaitwa " The Biggest Secret" sikumbuki vizuri jina la mwandishi nadhani ni Ecke. Utasikia pia watu wanaoitwa reptilians ambao hata hapa nyumbani wapo, .

Nguvu yao na malengo yao ni kuleta new world order ambayo itakuwa na makundi mawili ya watu( mabwana wakubwa na watwana mafuka)....imact ya nguvu yao itaanza kuonekana katikati ya mwaka huu na kuendelea. Do not ignore this post. This thing is real.
 
Si mashariti yetu kukupa kila kinachofayika kuhusu sisi kwa mtindo huu unaotaka wewe. Ukitaka kujua mengi jiunge nasi ili ufahamu kwa undani mengi zaidi kuhusu sisi. Vinginevyo hapa utapoteza muda bila kujua habari zetu ki undani.
Mi nipo teyari kujiunga nipe maelekezo zaidi.
 
Kuna video clips nimepewa, ngoja niicheki fresh nije nikuhadithie.
 

Asante mkubwa!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…