Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Mkuu ...don't ridicule mawazo ya wengine kama huna hard evidences au reasonable counter-argument!Wewe ni siri ngapi za Freemason unazijua?Na aliyesema hawa jamaa sio devil worshipers ni nani?They are devil worshipers alright na ni watu hatari kwa spiritual well-being ya watu wengine.Watu wanapenda kujua habari za hawa jamaa,so sioni tatizo hapo.Na kwa taarifa yako,may be unatumia kila kitu kutoka kwao bila kujua... from Redio unayoisikiliza,Tv na vipindi unavyoangalia,vinywaji unavyotumia,baadhi ya vitabu na magazeti unayosoma,lotion unayopaka,muziki unaousikiliza..nk....Ref...1,Manly P. Hall.."The Secret Teaching of all ages"....2,Albert Pike...."Morals and Dogmas" na The Vigilant Citizen » Discover the hidden symbolism in music videos, movies and famous landmarks around the world

Bingwa hujaelewa kitu gani mi nasema!
Nimekwambia hawa freemason ni watu wanao abudu mashetani.
Na ni kundi lililoundwa na matajiri duniani.
Kwa hivyo. Logic tells you. Kuwa vitu vingi tunavyo tumia vinatengenezwa na makampuni ambayo yanamilikiwa na hao matajiri.
Kitu nilichosema hapa ni kuwa.
Hawa jamaa hawana lolote la ajabu!
Zaidi ya kuwaacha watu kwenye vichwa vya habari tu!.
Watu wana exaggerate saana kuhusu hawa freemasons!
Ohhh..wanaua ukiwachezea. Ohhh.. ni very dangerous organisation. Ohhh.. wakikutaka basi huna pa kukimbilia!!
Na mengine meengi!
Hawana chochote cha ziada. Zaidi ni hizo pesa zao tu ambazo nyingi chanzo chake ni dhulma tu.

Kwa hiyo watu wasiwatukuze wakawaona wao baab kubwa.
Wamejaa uharo wa ubepari tu. Hamna lolote la ziada.
 
Bingwa hujaelewa kitu gani mi nasema!
Nimekwambia hawa freemason ni watu wanao abudu mashetani.
Na ni kundi lililoundwa na matajiri duniani.
Kwa hivyo. Logic tells you. Kuwa vitu vingi tunavyo tumia vinatengenezwa na makampuni ambayo yanamilikiwa na hao matajiri.
Kitu nilichosema hapa ni kuwa.
Hawa jamaa hawana lolote la ajabu!
Zaidi ya kuwaacha watu kwenye vichwa vya habari tu!.
Watu wana exaggerate saana kuhusu hawa freemasons!
Ohhh..wanaua ukiwachezea. Ohhh.. ni very dangerous organisation. Ohhh.. wakikutaka basi huna pa kukimbilia!!
Na mengine meengi!
Hawana chochote cha ziada. Zaidi ni hizo pesa zao tu ambazo nyingi chanzo chake ni dhulma tu.

Kwa hiyo watu wasiwatukuze wakawaona wao baab kubwa.
Wamejaa uharo wa ubepari tu. Hamna lolote la ziada.

Freemasons km group yenye secret societies nyingi, zina secret ways of doing their things.Na secret ways to handle recruits and members.Na majority ya secret societies hata wasio freemasons wana uovu mwingi sana.Na ni through secret hawa jamaa wanakuwa very powerful..kwani hata watumwa wao hawana ulinzi wanapokuwa kinyume nao.

Mbali ya power ya hela wana power ya kuweza fanya mengi kupitia bidhaa na ,matangazo, kuingilia polisi za nchi....mfano..wakiama target watu fulani na kuwawekea chemical za kubadili homorne ktk vyakula, wanaume wakaanza jisikia kuwa mashoga, halafu media zao zikaanza chambua mabadiliko hayo kuwa si ya kupanga, halafu wakatumia watu wa haki za binadamu kushiniiza serikali kuruhusu ndoa za jinis moja.Hembu jiulize waziri aliyelishwa hormone na kuanza pakuliwa sana akisikia kuwa itafanywa halali atakimbilia vipi kuruhusu..ili nae awe huru kwa kilicho rohoni.Ila mwisho wasiku haya yote yanaua taifa.Yana malengo ya kumdhalilisha Mungu "viumbe wake wameihasi tena sheria yake pamoja na kuwaambia kuwaonyesha kwa sodoma na gomora".Hiyo ndio furaha ya shetani.

Baada ya ushoga, kila kitu kitafanyika maabara...watoto wa baabara wataletwa kwa vile uzazi utakuwa mgumu, wanaotaka zaa mimba zitaharibika, wengine waliobaki wakiwa ni mashoga...wasioweza kuzaa zaidi ya ku adopt watoto au kununu maabara.
 
Freemasons km group yenye secret societies nyingi, zina secret ways of doing their things.Na secret ways to handle recruits and members.Na majority ya secret societies hata wasio freemasons wana uovu mwingi sana.Na ni through secret hawa jamaa wanakuwa very powerful..kwani hata watumwa wao hawana ulinzi wanapokuwa kinyume nao.

Mbali ya power ya hela wana power ya kuweza fanya mengi kupitia bidhaa na ,matangazo, kuingilia polisi za nchi....mfano..wakiama target watu fulani na kuwawekea chemical za kubadili homorne ktk vyakula, wanaume wakaanza jisikia kuwa mashoga, halafu media zao zikaanza chambua mabadiliko hayo kuwa si ya kupanga, halafu wakatumia watu wa haki za binadamu kushiniiza serikali kuruhusu ndoa za jinis moja.Hembu jiulize waziri aliyelishwa hormone na kuanza pakuliwa sana akisikia kuwa itafanywa halali atakimbilia vipi kuruhusu..ili nae awe huru kwa kilicho rohoni.Ila mwisho wasiku haya yote yanaua taifa.Yana malengo ya kumdhalilisha Mungu "viumbe wake wameihasi tena sheria yake pamoja na kuwaambia kuwaonyesha kwa sodoma na gomora".Hiyo ndio furaha ya shetani.

Baada ya ushoga, kila kitu kitafanyika maabara...watoto wa baabara wataletwa kwa vile uzazi utakuwa mgumu, wanaotaka zaa mimba zitaharibika, wengine waliobaki wakiwa ni mashoga...wasioweza kuzaa zaidi ya ku adopt watoto au kununu maabara.

Sasa ndugu yangu Nicholas kama mbongo kama wewe na mimi tumeshayajua yooote hayo yanayoitwa top secrets of freemasons! Hivi kweli hizo zitakuwa bado ni secret tu!?!@#@?
Haaaa!
Basi ajabu!

Mi si nimekwambia toka mwanzo!
Hao ni uharo wa mabepari na kazi zao ni kudhulumu wanyonge tu!
Na anaewatukuza hawa waabudu mashetani waliolaaniwa na mungu basi hafai ktk jamii ya waungwana!
Sisi ndani ya bongo yetu mihogo na maji inatutosha!
Hao waache wadhulumu weee iko siku yule malaika mtoa roho hatapiga hodi kwenye hivyo vikao vyao vya so called secret!
Halafu tuone kama wataweza kumkimbia!

Bata mzinga hawa!

Mfnsssssssss!
 
Last edited by a moderator:
Sasa ndugu yangu@nicholas kama mbongo kama wewe na mimi tumeshayajua yooote hayo yanayoitwa top secrets of freemasons! Hivi kweli hizo zitakuwa bado ni secret tu!?!@#@?
Haaaa!
Basi ajabu!

Mi si nimekwambia toka mwanzo!
Hao ni uharo wa mabepari na kazi zao ni kudhulumu wanyonge tu!
Na anaewatukuza hawa waabudu mashetani waliolaaniwa na mungu basi hafai ktk jamii ya waungwana!
Sisi ndani ya bongo yetu mihogo na maji inatutosha!
Hao waache wadhulumu weee iko siku yule malaika mtoa roho hatapiga hodi kwenye hivyo vikao vyao vya so called secret!
Halafu tuone kama wataweza kumkimbia!

Bata mzinga hawa!

Mfnsssssssss!
Free masons wala si ubepari,ila ubepari umependwa na free masons.Kiuhasilia dunia si perfect kihivyo ndio maana wanajulikana bado pamoja na hila zao.Wapo watu walifanya utafiti kwa kiasi kikubwa sana.Mara nyongi si wafuasi wao ndio wanatoa siri.Kwani ufuasi wao unahitaji kupitia stage nyingi san ahadi wakuamini kukupa mamabo kwa stage.

Bahati mbaya sana kwa kwa nchi zetu hizi nadhani kuna hao jamaa wali recruit watu wasio sahihi,basi imekuwa ni hofu nchini na sasa kil amtu anahisiw akuwa hao jamaa.Hata wajinga wajinga wengine wakishaingia ktk ushetani wanajiita freemasons.
 
Mkuu Time Bandit umesahau pia LOGO za kampuni kubwa kama: COCA COLA, AOL, FOX, LOOMIS, MICROSOFT, CITGO et el. Hizo Os zimebeba ujumbe mkubwa ktk muktadha mzima wa ILLUMINATI.
ongezea na hizi
vOda, tigO, ClOuds fm,kibOkO paints, sadOlini, liverpOOl fc, COastal union fc, TrOnic, etc
 
Last edited by a moderator:
Watz wengi wameingia ktk mkumbo wa kuzichnaga haraka..sasa hivi wanatumiwa sana na free masons wakidhani wao ndio free masons wenyewe.
 
Kuna watu wanajianganya kuwa wanajua kila kitu kuwa husu hawa mabazazi,ukweli ni kuwa hutujui kila kitu ni baadhi tu na kwa hakika kile tunachojua kuwahusu hakiwezi kusaidia kuwaangusha hawa watu,yale yote waliyopanga kuyatimiza wanamalizia ni hata tukiyajua hatuna la kufanya kwa kuwa wanamiliki vyombo vyote vya kisheria,mahakama,police na jeshi,huvyo tusijidanganye

Mungu alituonya kuwahusu hivyo tujitahidi kujifunza kuwahusu ili kuokoa roho zetu!
 
It's too late, they have already taken control of Tanzania,msubiri to fate yenu.
Ngumu sana kuwaelewa hawa jamaa. Nafikiri ingekuwa vema kufanya utafiti wa kina kuhusu influence yao kwa mambo yanayotokea TZ ili tujue wanasimama upande gani
 
Hiii dunia inamwenyewe wasitutishe hakuna nafsi itakayo tangulia au kuchelewa hata sekunde kwa kpmo kidogo hcho.. amini Mungu yupo hara nafsi yenyew tu ikibanwa hua kunatamko Mungu wangu basi huyo ndo Mungu wa kweli. Hzo cjui Lucifer,illuminat mbwembwe tu cku Mola mwenye dunia akiamua ndo kwishnei ys kila kitu...(nothing wil exist under the land)
 
It's too late, they have already taken control of Tanzania,msubiri to fate yenu.

Better late than never Tikerra. Some of the damage could be reversed. The problem is their network is world wide and have put their members in all influential positions.
 
Freemasonry is a fraternal organisation. Arising from obscure origins (theorised to be anywhere from the time of the building of King Solomon's Temple to the mid-1600s), it now exists in various forms all over the world, and claims millions of members. All of these various forms share moral and metaphysical ideals, which include in most cases a constitutional declaration of belief in a Supreme Being.

The fraternity is administratively organised into Grand Lodges (or sometimes Orients) that each govern their own jurisdiction, which consists of subordinate (or constituent) Lodges. Grand Lodges recognise each other through a process of landmarks and regularity. There are also appendant bodies, which are organisations related to the main branch of Freemasonry, but with their own independent administration.

Freemasonry uses the metaphors of operative stonemasons' tools and implements, against the allegorical backdrop of the building of King Solomon's Temple, to convey what is most generally defined as "a system of morality veiled in allegory and illustrated by symbols."

Let's start with their normal signs... Read em carefully halafu fikiria, tukibahatika tuzichambue moja baada ya nyingine na kuangalia Tanzania iko status gani!


Secret Masonic Handshakes, Passwords, Grips and Signs Of Blue Lodge Masonry

ENTERED APPRENTICE DEGREE

(First Degree in the Blue Lodge)

DUEGARD OF AN ENTERED APPRENTICE
eadueg.gif

The Duegard of an Entered Apprentice represents the position of the hand when taking the oath of an Entered Apprentice, "my left hand supporting the Bible and my right hand resting thereon."

SIGN OF AN ENTERED APPRENTICE

easign.gif


The sign of the Entered Apprentice alludes to the penalty of the Entered Apprentice's obligation. The sign is made by drawing the right hand rapidly across the neck as shown on the left. The penalty that the sign alludes to is, "having my throat cut across, my tongue torn out by its roots, and my body buried in the rough sands of the sea at low water mark, where the tide ebbs and flows twice in twenty-four hours, should I ever knowingly violate this my Entered Apprentice obligation."

Explanation of the Entered Apprentice sign: Draw the right hand rapidly across the neck as represented and drop the arm to the side. This action shows the penalty of having the throat cut and the tongue ripped out.

"BOAZ"
GRIP OF AN ENTERED APPRENTICE
(HANDSHAKE)


eapass.gif




The Grip of the Entered Apprentice is made by pressing the thumb against the top of the first knuckle-joint of the fellow Mason, the fellow Mason also presses his thumb against the first Mason's knuckle.

The name of this grip is "Boaz". When a candidate is imparted with this grip and its usage it is done in this manner."

First the Worshipful Master says to the candidate: "I now present my right hand in token of friendship and brotherly love, and will invest you with the grip and word. As you are uninstructed, he who has hitherto answered for you, will do so at this time."

The Worshipful Master of the lodge then has this exchange with the Senior Deacon, who is standing next to the candidate, who is still kneeling at the altar, after have assumed the obligation of this degree:

Note: In the following discourse WM stands for Worshipful Master, and SD stands for Senior Deacon. WM: Brother Senior Deacon. SD: Worshipful Master. WM: I hele. SD: I conceal. WM: What do you conceal? SD: All the secrets of a Mason in Masonry, to which this token alludes. (At this time, the candidate is shown the grip of an Entered Apprentice) WM: What is that? SD: A grip WM. Of what? SD: Of an Entered Apprentice. WM. Has it a name? SD: It has. WM: Will you give it to me? SD: I did not so receive it, neither will I so impart it. WM: How will you dispose of it? SD: Letter it or halve it. WM: Letter it and begin. SD: You begin. WM: Begin you. SD: A WM: B SD: O WM: Z WM: (Directing his words to the candidate): "Boaz, my Brother, is the name of this grip, and should always be given in the customary manner, by lettering or halving. When lettering, always commence with the letter, "A".

MASTER MASON DEGREE (Third Degree in the Blue Lodge) DUEGARD OF A MASTER MASON


mmdueg.gif

The Duegard of the Master Mason alludes to the position of the hands when taking the oath of the Master Mason, "both hands resting on the Holy Bible, square, and compasses."

"TUBALCAIN"
PASS GRIP OF A MASTER MASON (HANDSHAKE)
mmpass.gif
"MA-HA-BONE" REAL GRIP OF A MASTER MASON (HANDSHAKE)
lionspaw.gif

The Mason firmly grasps the right hand of a fellow Mason. The thumbs of both hands are interlaced. The first Mason presses the tops of his fingers against the wrist of the fellow Mason where it unites with the hand. The fellow Mason at the same time presses his fingers against the corresponding part of the the first Mason's hand and the fingers of each are somewhat apart. This grip is also called the Strong Grip of the Master Mason or the Lion's Paw. Instruction for this grip is given at the "graveside", after the candidate has been "raised".

THE FIVE POINTS OF FELLOWSHIP
5point.gif

Very informative post, thank you for sharing this with us!
 
Beyoncé 1+1 - Analysis
Beyoncé Knowles’s recent music video for her song “1+1” is filled with symbolism that is very similar to Rihanna’s “Umbrella” music video. Upon hearing both songs, one can assume that both are talking about a person who means a lot to them, but the music videos tell a different story.
In 1+1, Beyoncé sings:
"And it’s me, and you. That’s all we’ll have when the world is through. Make love to me. When the world’s at war. Hey, and I don’t know when I’m gonna die but I hope, that I’m gonna die by you
The lyrics are very similar to Rihanna’s song:
“You have my heart. Took an oath I’ma stick it out till the end. When the war has took it’s part, When the world has dealt it’s cards. Now that it’sraining more than ever, know that we’ll still have each other. You can stand under my umbrella
These lyrics containing the words: “When the world’s at war, when the world is through, guns, dying, and fighting” are not directed at any human, but rather thedevil, they sold their souls to.
tumblr_lqklb7Q6RZ1qcgioa.png

The video opens off with Beyoncé shimmering with oil, light reflecting off her body, even though the background is complete darkness.
tumblr_lqk8p9thjN1qcgioa.jpg

"As Above So Below" is thrown when she sings the word ‘got’ meaning they don’t have the power of God in heaven below (hell) so they literally have nothing without love.
"Cause baby we aint’ got nothing without love.”
Rihanna in “Umbrella” sings similar lyrics,
“We’ll never be worlds apart. May be in magazines, but you’ll still be mystar. Baby cause in the dark, you can’t see shiny cars, and that’s when you need me there. With you I’ll always share. These fancy things, will never come in between. You’re part of my entity, here for infinity.”
tumblr_lqnqoeUMQV1qcgioa.jpg

All-seeing-eye symbolism, and the presence of water, symbolic to the rain associated with Rain man, just like in Umbrella.
tumblr_lqkkcvTlX01qcgioa.png

Rain man is a demon who is described by some celebrities, for example Jay Z, as a being who whispers beautiful numbers to him when he writes lyrics. This is not a direct reference to the movie Rain Man (1988), artists who refer to Rain Man, admit he’s a devil. This reference is much older than Rain Man, and the movie itself is about this being. Artists sell their souls to this devil in trade for money, status, and more. Numerous songs mention Rain Man, for example Eminem’s song “Rain Man”.
Rain Man is back with little Ms. Sunshine. Rihanna where you at?
This eerie shot which represents Rain Man himself appears for literally a split second in the video. See this video, to see how this posture is impossible in real life, and has been altered purposely to depict Rain Man.
tumblr_lqkgjd0QkY1qcgioa.png

For more information on Rain Man watch this. And if you’re curious which other songs mention Rain Man, check out this video.
Towards the end of the video, even more blatant symbolism is projected.
tumblr_lqnp2cgK1u1qcgioa.jpg

Beyoncé as a dragon.
tumblr_lqmdegtLay1qcgioa.png

Beyoncé as a sex kitten, in a BETA alter state because of the leopard/cheetah print.
tumblr_lqmgmtXetA1qcgioa.png

The horse of the apocalypse is shown with the pyramid and eye of Horus in the middle. Beyoncé is heard singing,
"I don’t know much about fighting, but I, I know I will fight for you."
tumblr_lqmgpg3Uww1qcgioa.png
Beyoncé starts crying - The horse of the apocalypse will bring grief.
tumblr_lqnr9vta6b1qcgioa.jpg

Her mind splits into two alters like the double headed eagle.
tumblr_lqnliuoBvK1qcgioa.jpg

The horse rider enters the path to destruction because the scissor on the top represents harm. Beyoncé holding canes on each side represents Cain, Satan’s bloodline, who is a homonym for a cane.
tumblr_lqmgs6U0WM1qcgioa.png

As she comes up, there’s a demon behind her back.
"Get thee, behind me, Satan." - Matthew 16:23
tumblr_lqmgxyeLsJ1qcgioa.png

Beyoncé as a dragon, pregnant with an egg. The eye of Horus is visible above the egg.
tumblr_lqmh05Vcfx1qcgioa.png

Beyoncé blowing out smoke as a dragon, demonically possessed.
tumblr_lqmh1ktv7i1qcgioa.png

Blindfolds are used in techniques of mind control.
tumblr_lqlq3wu5AE1qcgioa.jpg

Beyoncé gives birth in a bathtub to the baphomet. The roses and red sunflowers symbolize the age of Horus and triggers for MP.
tumblr_lqmhok5PUM1qcgioa.png

A figure with wings, possibly symbolizing the masonic phoenix or Satan, hell’s angel.
tumblr_lqnroc9oIp1qcgioa.jpg

Representation of the double headed eagle.
tumblr_lqnrpnanDB1qcgioa.jpg

A pharaoh with a crown.
tumblr_lqnng32dxv1qcgioa.jpg

The Baphomet’s face is seen with the torch.
tumblr_lqnru7GGai1qcgioa.jpg

An Egyptian mummy, pharaoh.
tumblr_lqnooxYkbg1qcgioa.jpg

Reptilian eyes.
tumblr_lqmhuwLGZW1qcgioa.png

Flames=hell 666.
tumblr_lqls7cFpcW1qcgioa.gif

tumblr_lqnotpYNAc1qcgioa.jpg

Beyoncé possessed with the Baphomet holding her two alters.
tumblr_lqkfpuTEul1qcgioa.jpg

A clear image of the entity.
tumblr_lqkfs3FKf61qcgioa.jpg

The mark of beast on forehead with the figure in the center.
tumblr_inline_mh9998TWTJ1qz4rgp.jpg

Backmasked: “This world will know Satan. He must forget war. War, war, war, he is coming. He must forget war. He lost me. Send me out, Rain Man. I push him one more time. Who we die because of he must send me out. Satan. He…he must end it. Now, now I push him one more time! Who we die because of, he must send me out. Who? Satan. Please let me out, Satan.” Listen here.
Conclusion:
tumblr_inline_mh9axshcl81qz4rgp.jpg

"Come here me, there’s no distance in between." Rihanna repeats at the end of her song. Both these songs are about Rain Man, and the stars showing their allegiance to him, and oddly, their love for him. The video is a presentation of a ritual which consists of people having sex in the presence and for the cause of higher entities. The womb symbolizes many things, and it is a common theme in both music videos. It mostly represents, sex magick, mainly used in rituals by cult members. It revovles around Baphomet, a figure who pops up several times in the music video. VC says, “Baphomet is of great importance in Aleister Crowley’s Thelema. According to Crowley, Baphomet is a representative of the spiritual nature of the spermatozoa, while also being symbolic of the “magical child” produced as a result of sex magic. As such, Baphomet represents the Union of Opposites, especially as mystically personified in Chaos and Babalon, combined and biologically manifested with the sperm and egg united in the zygote.”
“He is ‘The Devil’ of the Book of Thoth, and His emblem is Baphomet the Androgyne who is the hieroglyph of arcane perfection … He is therefore Life, and Love. But moreover his letter is ayin, the Eye, so that he is Light; and his Zodiacal image is Capricornus, that leaping goat whose attribute is Liberty.”
- Aleister Crowley, Magick Book 4
 
This is the highest level of satanic symbolism I have ever seen and it got me a little worried about humanity's future. Let's keep our heads high and praise the Lord to make everything way better
 
nashindwa hata kumwaga comment kutokana na namna gani haa jamaa ninavyo jua na wanavyoendeleza sera zo duniani..

labda tu ni wape refernce mkawasome vizuri katika kitabu ntakacho wapa hapa chini ..bali yafuatayo ni yakuzingatia

1 : usisome kama unajihisi una matatizo ya akili , unless uwe unasoma na pawepo aither physician ataye kusaidia ku kufafanulia baadhi ya vipengele au pawepo mwana theologia wa kweli ambaye pia anaeza kukusaidia kukufafanulia

2:ya bidi ukiianza kusoma , usigeneralize ...kwa ambayo utayaona ...what you need it to stay calm...

3:usisome page nyingi kwa mkupuo...just single mada au page kisha pumzika..

4: usisome usiku...hii ni ku avoid concetration usije tufia bure...
kwa hayo machache nadhani nitakuwa sina lawama kwa litakalo kutokea...kitabu kina page mia saba na..700s.
kimeandikwa kwa data za kweli..zilizo husisha ma profesa mbali mbali na taaluma mbalimbali...za kisaikolojia na kijamii na kisayansi ngumu..pia falsafa na siasa bila kusahau taaluma ya mawasilia na taarifa..

brief ya kitabu hiki,

waandishi wanajaribu kuonesha chimbuko na freemason na mama mlezi wake ..ingawa waandishi hawa walianzia kuandikia kuanzia kwa mtume mussa..na kuja mpaka kwenye the rise of kaballah ambao wali own osteric language..

lakini kitu nilicho kipendea hiki kitabu kutokana na taaluma yangu na udaidisi wnagu katika kusoma na kuwachokoa hawa watu nikwamba wana institution kibao...ambazo hata zingine huezi amini ukiambiwa. pia wanaonesha ni kwanamna gani huwa wanaziunda na kutengeneza ma qualified slave...
http://www.emhdf.com/Monarch-mind-control.pdf
http://www.emhdf.com/Monarch-mind-control.pdf
 
Sexual abuse of a child is more powerful when it is put into thecontext of demonic magic. The abuser's semen is magic and sealsthe programming. The ritual aspect of it, and the repetitive nature ofthe abuse creates several dynamics that accompany the abuse thatwouldn't occur in non-ritual abuse. The lie that accompanies suchabuse is that this institutionalized abuse is an obligation for both theabuser and the victim. For instance, the mind-control of the BeastBarracks experience at West Point, USMA is an institutionalizedabuse that allows the abuser to side step responsibility for sadisticbehavior, and sets the stage for the abuse to be continued under thedisguise of tradition.Finally, there is one more category of trauma - those to producecosmetic looks, for instance, breast implants, or electro-shock tocreate moles at certain locations for either as a sign telling otherhandlers the extent of the programming or for a Marilyn Monroelook. A "stage trick" is to use a multi-needle device to scar thetissue. The scar which is made in a pattern, a popular one is thesatanic Goat's head of Mendes, can be made visible by hypnoticcommand. This allows the handler to look powerful to uninformedviewers. (This is further discussed in chapter 8.) This stage trick has​
been done by the occult world for centuries
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom