Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka wewe ni M7to eeh??? maana ndio wanaofikiriaga ile siku ya mwisho tu plus Freemasos, hawana kingine wanachofikiria zaidi.jamani nasikia kuna kitu kinaitwa freemasons then wao wanataka kuutawala ulimwengu na sasa hivi wapo katika mkakati wa kumaliza azma yao je kweli?? vipi nasikia watu watawekwa chipu ndani ya mwili ambayo iatakuwa chapa ya mnyama ambapo mtu hatoweza kununua kitu mpaka awe na namba hizo vipi kwelii????
Epuka kukaa na kusimuliwa hadithi na watu unaoamini kabisa kwamba ni wajinga wajinga hivi..jamani nasikia kuna kitu kinaitwa freemasons then wao wanataka kuutawala ulimwengu na sasa hivi wapo katika mkakati wa kumaliza azma yao je kweli?? vipi nasikia watu watawekwa chipu ndani ya mwili ambayo iatakuwa chapa ya mnyama ambapo mtu hatoweza kununua kitu mpaka awe na namba hizo vipi kwelii????