Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Haya kwangu ni simple sn.

Si biblia inasema hakuna dhambi ndogo wala kubwa..muuaj atapata adhabu sawa na alietamani mke wa mtu au mali ya mwingine??

Ukiamua kufanya dhambi fanya dhambi kweli kweli
 
Haya kwangu ni simple sn.

Si biblia inasema hakuna dhambi ndogo wala kubwa..muuaj atapata adhabu sawa na alietamani mke wa mtu au mali ya mwingine??

Ukiamua kufanya dhambi fanya dhambi kweli kweli
nikumbushe mstari mkuu
 
Melo hujaongelea the dark side of freemasonry,of which there is so much and the greatest part.Philanthropy ni ni tactic tu ya kuficha uovu wao,kama vile panya anavyo-uma na kupuliza. Infact the greatest part of fremasonry is evil,that is why it is so secretive.Hapa ni kama umepamba pamba tu Melo.How can an organization which sacrifices children and uses aborted babies,human blood in rituals be considered alright.Melo you have hidden so much information, this is not Freemasonry inside out.This is a very superficial image of Freemasonry.
 
Duuuuih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masonic wanapinga kuwa Yesu ni Mungu, wanaamini kuwa kuna Muumba wa vitu vyote vilivyomo Duniani "Lord creator of Universe"..

Hii ndio sababu kubwa ya freemasonry kusakwa na kuuliwa na kanisa karne zilizolita, walikuwa wanaonekana kuwa wao ni "Anti Kristo"

Hii ndio sababu ya Kanisa kuwapiga vita kuwa hawa watu ni mashetani, sio watu wazuri, nk
 
I also believe the same

ARUSHA KWETU
 
Join illuminate now and change your life if you ready to join check watsaap no +255769666966
Type i want to join
Freemasonry is not for changing lives, its primary goals is ENLIGHTMENT

ARUSHA KWETU
 
Melo hujaongelea the dark side of freemasonry,of which there is so much.Hapa ni kama umepamba pamba tu.Freemasonry is an extremely evil organization.
Kwa ushahidi upi?How many people did Muslim's Jihad commit during the era of spreading their religion,and how many people did Jews(Foundation of Christianity) murder when they entered "Kanaan" tena kwa order katika kitabu chao cha neno la Mungu kuwa waue na kuharibu kila kitu iwe mali mtoto mpaka mifugo.Sisi watu weusi tunatakiwa tutafute ukombozi wetu.Humu hatuna freemason(s) tunategemea secondary data na nyingi tunasoma za wapinzani wao,kuliko vitabu vinavyowaunga mkono hao Masons.Hapa soma tu usi jump to conclusions very fast. Kama freemason wana lengo baya mbona hao "manigga masons" walikuwa wanapigania haki za mweusi DuBois katajwa,Marcus Gavey katajwa,Elijah Mohamad katajwa pia. Mimi nikiwa "mfuasi wa manufaa" mpaka sasa nakubali kwa statement kama ya nyerere "ni jumuia ya mfano wa kuigwa".
 
Ushahidi upo kila mahali ukiutaka utaupata.Halafu duh,na uovu wote walio nao bado unawakingia kifua,It's unimaginable.
 
Ushahidi upo kila mahali ukiutaka utaupata.Halafu duh,na uovu wote walio nao bado unawakingia kifua,It's unimaginable.
Uovu gani mkuu?? Mm nawakubali kinyama

Kwanza Ni watu wanaoamini ktk juhudi na matumizi ya akili kwa kiwango cha juu.



Kizibo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…