Kizibo,most likely wewe ni Freemason,ila of a lower degree below 3.Ukweli wa uovu wao unaanza kufunuliwa kwa wanachama above three degrees.
Kizibo hivi watu wanaoua ili wanywe damu,wanao toa makafara ya watoto,wanaotumia aborted foetuses for their rituals,wanaotesa watoto wadogo ili wapate Adenochrome ya kuleta ujasiri au kurudisha ujana,wanaobaka watoto,wanaotumia kila mbinu ovu na chafu kupata fedha na kutawala wenzao kwa hila na kwa nguvu,wanaokunywa damu ya hedhi za wanaoitwa Scarlet Ladies utawapendaje.And that is who Freemasons are!Na remember hayo niliyo yataja ni machache tu,the list is long.Unashangaza kiukweli.
Kumbuka,and please remember,wanadamu tupo tulivyo leo:mateso mengi ya vita,maradhi yasiyotibika,njaa,mabadiliko ya hali ya hewa yanayotuletea dhiki nyingi kwa sababu ya vikundi hivyo viovu vya siri.Viko vingi,sio Freemasons tu,lakini agenda yao ni moja: kuiweka dunia chini ya utawala wa Shetani,Dajjal or the Antichrist,kwa kutumia kila mbinu ovu na chafu unimaginable!Utawala huo utakuwa wa kiwango cha ukatili ambacho binadamu hawajawahi kushuhudia.Covid-19 ni utapeli wao mkuu wa kutupeleka huko.Na yanayoendelea kwenye janga hili,kufungiwa ndani,kupewa fedha za kujikimu bila kazi,social distancing nk.ni conditioning kwa ajili ya kipindi hicho.Hii wanayoiita chanjo,ambayo kiujweli sio chanjo,ni maandalizi.Sasa how can you like them,huwajui mkuu.
Niliyoyaeleza ni sehemu ndogo sana ya uovu wao,there is much much more.Narudia, utawapendaje?Sikuelewi.