Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Inaitwa secrete society for a reason, tafuta data zaidi biasness na kutokuwa na open mind ndo kunafanya mfikie shallow conclusions kama hizi. Most of what you speak of hapo ni kitu ambacho yeyote anaweza kuongelea. Knowing their symbols and where they may be found kwenye jamii za sasa sio kwamba unajua kuhusu hao jamaa. Culture za human sacrifice na ancient gods zina mizizi mipana sana ikijumuisha sayansi ya nyota na anga. Conspiracy mbalimbali kuhusu Origin of species na the origin of the universe ukiziangalia kwa jumuishi kwa maana ya kujumuisha Dini, sayansi na Mila na desturi za jamii mbalimbali zitakupa mwanga kidogo, usipokuwa na taarifa za kutosha alafu ukaanza kuyaongelea haya mambo huwezi elewa ni nini unaongelea. Hawa jamaa wanahusika sana katika kuweka misingi ya uongozi na tawala za kidunia. Tafuta data
 
Maxence Melo ni mmoja wao,kwa hiyo lazima awapambe.Ukweli kwa sehemu hata hivyo ni huu:
1.They worship the Devil,ila people below 18 Degrees are hidden this truth.
2.They are responsible for all the evil in the World.
3.They are responsible for Babylonian Money Magick which creates money out of nothing.Infact they own the money system through magic.
4. Through Lucifer they want absolute control of humanity and World resources, so as to be able to advance their evil Authoritarian World Government Agenda.Anybody opposed will be eliminated.Magufuli was eliminated for this reason.

**And ofcource many many more.It is in short an extremely evil clandestine society.
 
I dont deny they are evil and intend to control the will of man, all their blood sacrifice and manipulation of the future of the society have far deeper meanings. Besides hata kwenye African cultural practice kuna haya mambo ya blood sacrifice back then Christianity and Uislam had blood sacrifice too. Nnachoamini even if the devil is manipulating the society we may devour him through fact and faith these guys are like everything you do from morning till night. Remember kipindi cha nyuma ambapo jamii za watanzania zilikuwa dicentralized kuanzia Dini, Tamaduni mpaka siasi kisa tu kusambaa kwa baadhi ya information. Formally or informally pengin hata hazikutolewa na wao

Sasa ukiona jinsi walivo na impact kwenye society ndo hapo unatakiwa kuwa na keen Eye when going after them, they realy know something and whatever they are using that imformation to do, hizo vitu walizonazo zinaweza kutikisa au kuvunja kabisa misingi ya jamii zetu

Kwa namna flan hatuna access na historia yetu( sisi kama waAfrika) most of what we know is from colonization to freedom kabla ya ukoloni ni kama we didn't exist. Unaweza dhani hiki ni kitu kidogo lakini mtu anae control historia yako ndo anacontrol mpaka kesho yako. Jamii zetu zitashindwa kupambana na utandawazi, tutashindwa kupinga itikadi za Ushoga, Kamwe hatutaweza kusimama na kuwa na kauli yetu wenyewe. Iwe ki Imani, Kiuchumi, Kisiasa hata kijamii sababu hatujui asili yetu hatujui nini cha kusimamia zaidi ya Dini. Unaweza sema uislam au Ukristu ndo Hatma yetu lakini fikiria Leo Papa akipitisha Ndoa za jinsia moja jamii zetu zitasimama wapi. Migogoro ya kiimani inapozua masuala ya Ugaidi Jamii itasimama wapi. Mtaongea kuhusu Freemason mkiwa mnalenga kutetea Imani kwakuwa imani ndo kitu pekee ambacho mnaona kinawapa sababu ya kuishi Asili zenu mmekubali kuziita upumbavu. Mmedharau Tamaduni za kabila zenu. Mafundisho mabovu ya dini yanapoinua mikaanganyiko kwenye jamii kama Mamia ya watu kufa kwa kukanyagana kwenye matamasha ya Dini, Watu kufunga mpaka kufa, Mambo ya ugaidi na mengineyo mengi. Hamna nguvu ya kukemea wala kuhukumu mambo haya sababu hamjui mkihukumu mtashikilia wapi pengine.

Mi ni mkristo na naamini kwenye Dini lakini natamani sana jamii zitambue kwamba tunaweza ondoa hizi biasness na tukajiuliza maswali ambayo yatatufunga akili zaidi.
 
Unachanganya Satanic Spiritual life na the God of Abraham and Isaac Spiritual life.We must be able to clearly discern between the two.
 
Unachanganya Satanic Spiritual life na the God of Abraham and Isaac Spiritual life.We must be able to clearly discern between the two.
Ukiacha ku view matter kwa jicho la God and Saturn utaelewa ninachomaanisha. Try to fact issues instead, Tumefundishwa kwamba Imani hai hitaji fact ila uki speculate through fact utanielewa na utaelewa nini kinaendelea ulimwenguni kwa sasa. There are deep facts kwenye God and Saturn issues ambazo tunaogopa kuzi question na ukizi question society itaku term kama pargan, evil, au Unakufuru
 
Swali gumu, lakini kuukubali Mwenge, kukubali alama za nyota zitumike enzi za Mwinyi etc inaweza kutupa picha mbaya. Hata usalimianaji wake unatia wasiwasi.

Ngoja tuendelee kuzidodosa picha zote utaona kwanini nasema hivi...
2007 wakati unaandika hapa nilikuwa darasa la sita.

Sasa hivi nimeoa na nina watoto wawili.
 
Mathanzua Epad hakuna cha uislamu wala ukristo hizo ni mikakati za wajanja kutawala dunia ,Mungu hujitokeza kila jamii kwa sura yake ,Mungu wa wangoni ndiye mungu huyo alieumba dunia ,tatizo wangoni wanamsikiliza huyo huyo kwenye maagizo ya kiisrael,hizo dini mbili zote zilitengenezwa na wahuni .

Freemason sio wanafanya ubaya duniani maksudi ni kwamba wameenda deep na kujua fact ngumu kama
-Hakuna maisha baada ya kifo ,kwa wanaenjoy hapa hapa ila wanaogopa na wajinga mkijua dunia itakuwa machafuko
-Hakuna baya wala zuri,yaani mfano tulitegemea watu wabaya wasifanikiwe ,ukwel mfano tanzania wanaoinjoy maisha ni watoto wa wauza unga ,wala rushwa ,etc kwa hiyo wanapaswa kuhakikisha wewe na mm hatujui ili ujizuie kwenda mbali kwa kuwaza maadili
-Hakuna karma ,yaani nikikudhurumu viwanja sijui nmbake mkeo hakuna lolote litalonitokea ila sasa akijua hilo mwijaku na baba levo tutakoma

Kwa hiyo dini ni mfumo wa kuwadhibiti wanadamu wajinga wasilete balaa,na hizi programu za mfano corona ni kwamba wanadamu idadi yetu inavokuwa haifai kwa ajili ya dunia kubaki salama na wanadamu wajinga ni kama mbwa vichaa ambavyo sisi huwaua , na hakuna dhambi ni upuuzi ukiua sio jambo jema ila hakuna kitachokupata wala malipo
NEW WORLD ORDER
Ni malengo yao siku moja mwanadamu awe mtu huru kutoka kwenye dini ,wanaandaa dunia ambayo wanadamu watakuwa wanazaliana kwa kiasi na kuilinda dunia ,dunia itakuwa isiyo na uchafuzi wa hewa kwan watatumia technolojia nzuri na bidhaa hazitahitajika nyingi kwani watakuwa watu bilion 1 tu dunia nzima ,mwanadamu atatumia muda wake kulinda mazingira na kufurahia maisha ,watu wote watatibiwa bure na kusoma bure ,sayansi itakuwa makini sana hakutakuwa na ukimwi wala kisukali mwanadamu ataishi si chini ya miaka 300 . na hatakufa kwa magonjwa itajulikana ukifika miaka fulani unauwawa kwa kuagana na familia kwa sherehe kabisa ,na kuzaa ni sustainable sio unajizalia kama ngombe .

NB : Ndio ukweli wa wao kina nani na wanasimamia nini.wapo kumtoa mwanadamu kuachana na dini kuamini sayansi na mimi sio mwanachama wao
 
Uislam ndio Ni hila za Shetani mkuu,lakini sio Ukristo in its' true form,yaani Ukristo unaokiri Wokovu.

Mkuu neno la Mungu linasema hivi kuhusu wewe!
Zaburi 53:1
1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.
Zaburi 53:1

Na tena,
Warumi 1:28-27
18 Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu.
Warumi 1:18

19 Kwa kuwa mambo ya Mungu yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia.
Warumi 1:19

20 Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na kufahamika kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake; hata wasiwe na udhuru;
Warumi 1:20

21 kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.
Warumi 1:21

22 Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika;
Warumi 1:22

23 wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo.
Warumi 1:23

24 Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao.
Warumi 1:24

25 Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina.
Warumi 1:25

26 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
Warumi 1:26

27 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
Warumi 1:27

Na tena,
Yuda 1:4,8,10-13,15,19
4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
Yuda 1:4

8 Kadhalika na hawa, katika kuota kwao, huutia mwili uchafu, hukataa kutawaliwa, na kuyatukana matukufu.
Yuda 1:8

10 Lakini watu hawa huyatukana mambo wasiyoyajua, na mambo wayatambuayo kwa asili wajiharibu kwayo kama wanyama wasio na akili.
Yuda 1:10

11 Ole wao! Kwa sababu walikwenda katika njia ya Kaini, na kulifuata kosa la Balaamu pasipo kujizuia, kwa ajili ya ujira, nao wameangamia katika maasi ya Kora.
Yuda 1:11

12 Watu hawa ni miamba yenye hatari katika karamu zenu za upendo walapo karamu pamoja nanyi, wakijilisha pasipo hofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa mara mbili, na kung'olewa kabisa;
Yuda 1:12

13 ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba yao waliowekewa milele.
Yuda 1:13

15 ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.
Yuda 1:15

19 Watu hao ndio waletao matengano, watu wa dunia hii tu, wasio na Roho.
Yuda 1:19
 
Si kwa ubaya kaka naomba nisikukwaze wala kukukosea heshima ni katika kujadili mambo.Kaka yaani ninakuambia kuwa ukristo ni michezo ya wahuni na yesu hakuwahi kuwepo unatetea kwa kutumia kitabu hicho hicho.yaani nakwambia kaka mkeo ni malaya anajiuza ,kisha unamuuliza yeye(biblia) ukitarajia atakiri kuwa ni kweli,njia pekee ya kumhoji mkeo mwenye tuhuma ya umalaya ni kuhoji vyanzo vingine tofauti.huwezi ushitaki uchaga jaji kawa mbowe


mfano soma uzi huu

 
Labda mkuu nikupe ushauri wa bure.Usicheze na Mungu.Ni vema ungenyamaza tu kama huna hakika kama Mungu yupo au hayupo,it is wise.Na hii naamini imechangiwa na wazazi wako,umekosa elimu sahihi ya Mungu tangu utotoni,bad luck indeed.Mkuu God is real and Satan is real,uamuzi ni wako uwe upande gani,Mungu amekupa choice.

Lakini naomba ukumbuke kwamba huyo unayesema hayupo,uhai wako upo mikononi mwako.

Mkuu nimalizie kwa kusema hivi,ni afadhali uamini kwamba Mungu yupo usimkute,kuliko kuamini kwamba hayupo halafu umkute,itakuwa kilio na kusaga meno.
 
N
 
Uko sahihi kabisa
 
Ndipo wanapofaulu kuwahamisha kwenye reli .hakuna mjadala wowote wala ubishani kuwa Mungu yupo .ila aabudiwe vipi na ni nani ndo mgogoro.
Kokote aliko Mungu ni shahidi wangu kuwa nafasi yake umetumika sana kudidimiza wanadamu .ziko hata falme ziliwahi dumu kwa kutengeneza mungu wa uongo na ukihoji wanajibu kama ww ooh hataniwi mara ni mkali.
MUNGU ambae hataki tuhoji jinsi sahihi ya kumendea atakuwa basi mdhaifu sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…