Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Kila mmoja wao amekuwa akieleza namna anavyojua kuhusu FREEMASON.

Kuanzia MEDIAs, magazeti, na hata mtu mmoja mmoja.

Vile vile kumejitokeza watu ambao wamebuni na kuanzisha mitandao(website) wakizifanya eti ni official website ya FREEMASON.

Huwa naishia kucheka tu, ILA LEO NI FURSA PEKEE YA WATANZANIA WOTE KUIFAHAMU FREEMASON.

Kabla sijaenda mbali kuna bwana mmoja alijitambulisha kama sir Andy Chande, ni kiongozi wa Freemason East and central Africa,
Leo mjue ukweli, japo mimi si msemaji, lakini huyo bwana hatumjui na hakuna cheo kama alichojitambulisha nacho.

nijuavyo Father Damian Irungu ndiye kiongozi wa master/gland lodge zote za kenya na ndiye anasimamia za Goma, Moshi, na Entebe. ila sikatai Sir Chande kuwa januari 2010-2012 amewahi kusimamia michango ya moja ya "nyumba zetu".


Na kama atatokea hadharani kubisha ukweli huu, nami nipo tayari kujitokeza tukakaa mezani tukahojiana ukweli.

Nakaribisha maswali nami nitajibu kwa wepesi kadri niwezavyo.

karibu

"mungu pamoja nasi",
 
ni kweli kwamba ukijiunga na freemason lazima utoe damu kwa kuua ndugu au watoto wako? faida za kuwa freemason ni zipi?
 
Ni kweli mojawapo ya rituals zao ni kufirana?
 
ni kwel kwamba ukishaingia freemason hutoki mpaka kufa?
 
ni kweli kwamba ukijiunga na freemason lazima utoe damu kwa kuua ndugu au watoto wako? faida za kuwa freemason ni zipi?

sio kweli lazima utoe sadaka ya damu.

faida ni nyingi lakini kubwa ni kujenga urafiki, undugu na kusaidiana kwa sisi wanachama wote, kwani kwa kila mwezi unatakiwa ukutane na marafiki mara 2 ukiwa mwanachama mpya, ktk mikutano tunashare ujuzi, mafanikio na kufundishana namna ya kufikia mafanikio ktk maisha.
 
Mengi yameulizwa. Ngoja nikuwekee moja.

Je ni kweli kuwa viongonzi wengi maarufu wa DINI na SERIKALI wanakuwa freemason ndo wawe maarufu na kinga dhidi ya maadui wa PHYSICAL WORLD and ABSTRACT WORLD?.
 
"Walijivisha u-know-how safina zao zikatoboka,wakijivisha u-mussa fimbo zao hazikugeuka nyoka,sasa wanajaribu u-mungu mtu wanaamua nani atatoka?"
 
Nicjinsi gani unaweza jiunga na freemasons?
 
Mengi yameulizwa. Ngoja nikuwekee moja.

Je ni kweli kuwa viongonzi wengi maarufu wa DINI na SERIKALI wanakuwa freemason ndo wawe maarufu na kinga dhidi ya maadui wa PHYSICAL WORLD and ABSTRACT WORLD?.

ni kweli wengi wao ni wanachama wa chini, ila viongozi wa dini ni wengi na wanahitajika zaidi ili kufikia mission yetu ya kuwa na dunia yenye amani.
 
kwa tanzania ni watu gani maarufu wapo kwenye chama?
 
bro mbona kimya?jibu maswali hapo juu na wengine tupate ufaham
 
1. Wanasema nyie mpo kila sehemu kama kwenye fedha,makanisa..je ni kweli

2.Ni kweli ukiingia hata uwe masikini vipi lazima utoke?
3.Masharti yenu ni yapi mtu akitaka kujiunga?na mtu akienda kinyume na masharti yenu adhabu ni zipi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom