Freemasons ndani ya Makanisa

Hakukua na romani katoliki hadi mwaka 1053..............na waislam injili wanaitambua .....na hakuna shida kabisa na ukristo........shida ni huu ukristo wa miaka hii.....
 
Kma hujui kitu ni bora kuuliza mana hapa inaonesha ni jinisi gni ulivokua huujui Uislamu hlf nilikwambia ww unakua na majibu yko tyr ndo mna hutki kunielewa

haya sasa tuje apo uliposema kuhusu izo aya saba
Aya saba zenye kusomwa mara kwa mara ni Suratul fatiha ambayo inasomwa kwenye kila swala na kwenye kila rakaa

Nikuulize swali dogo tuu
Ni zipi aya alizoshushiwa mtume mwanzo?q

hlf kma untka kuelimishwa kuhusu Uislamu sema ufundishwe sio unakaririshwa chuki uko hlf unameza kma zilivo
 

Unajua ukisoma Biblia hutakiwi kukurupuka unachukua tu mstari mmoja unakimbia nao na unakazana kupotosha watu. Ukisoma Biblia kwanza unatakiwa utafakari na ujiulize maswali, kwanza jiulize Je Paulo kila waraka alikuwa anataka watu wanaonena kwa lugha wasizidi watatu tu au ni kwa wakorintho peke yake, na kama ni kwa wakorintho peke yao kwanini basi aliamua kuwaambia hivyo.

Kwanza kabisa wakorintho walifanya sifa kunena kwa lugha, kwahiyo unakuta hata salamu zao ni kunena kwa lugha tu, hata mahubiri yao ni kunena kwa lugha kiasi kwamba akija mgeni asiyejua kuhusu Roho Mtakatifu hakuna atakachoambulia sanasana ataona hawa wamechanganyikiwa. Na ndipo Paulo akaamua kuwawekea hiyo sheria.

Jiulize tena, Je, Paulo ndiye aliyeahidi ujio wa Roho Mtakatifu, jibu ni hapana.

Yesu Kristo ndiye aliahidi ujio wa Roho Mtakatifu kama msaidizi wetu yeye atakapokuwa amepaa kurudi kwa Baba, Je, uliwahi kumsikia Yesu akiwaambia wanafunzi wake kwamba kati yenu nyie ni watatu tu ndio watakaompokea Roho Mtakatifu na ninyi wengine mtafsiri? Jibu ni Hapana. Ila aliwaagiza wasitoke Yerusalemu hata atakapokuja yule msaidizi ambaye ni Roho Mtakatifu.

Siku ya pentekoste walikuwa watu 120 kule Yerusalemu wakisubiri ujio wa Roho Mtakatifu na maandiko yanasema wote walijazwa Roho Mtakatifu wakaanza kunena kwa lugha mpya kwa kadri Roho alivyowajalia kunena. Ikumbukwe hawakunena watu watatu tu hapo. Soma Matendo Ya Mitume Sura yote ya pili inaelezea hicho kisa. Au soma sura yote ya kwanza na ya pili ili uielewe kiundani zaidi.

Nakaribisha swali kwako mtoa mada au kama una hoja karibu.
 
Hakukua na romani katoliki hadi mwaka 1053..............na waislam injili wanaitambua .....na hakuna shida kabisa na ukristo........shida ni huu ukristo wa miaka hii.....
kulikuwa na dini gani ,hao wakristo walikuwa wanaitwaje
 
hoja yako ni ipi sasas, unapinga maandiko ya paulo au unasimamia wapi? je unanaji wa siku ya pentecoste ndio huu mnaofanya leo? je paulo anapotoa huo utaratibu wewe haukuhusu?
 
hoja yako ni ipi sasas, unapinga maandiko ya paulo au unasimamia wapi? je unanaji wa siku ya pentecoste ndio huu mnaofanya leo? je paulo anapotoa huo utaratibu wewe haukuhusu?

Hoja yangu ni kwamba unenaji wa lugha hauna limitation kwamba eti ni idadi kadhaa ya watu ndo wanaopaswa kunena.

Pia paulo aliandika nyaraka kwa makanisa tofauti na kila kanisa aliliandikia nyaraka kutokana na namna walivyo kwa tabia zao na kwa utofauti wao.

Kama una swali hapo uliza au kama bado hujaelewa uliza nifafanue zaidi.
 
kulikuwa na dini gani ,hao wakristo walikuwa wanaitwaje
Ukatoliki maana yake ni universal church........wale mitume walienda maeneo tofauti kueneza ukristo sema watu wana focus sana na hapo roma.........kila eneo walipoanzisha kanisa mitume lilikua linajitegemea sema sasa ili baadhi ya mambo wanayofanya wasipishane sana wakaamua wajiite catholic church maana yake kanisa la ulimwengu"universal church"........kwenye miaka ya 1054 hapo waroma wakaleta ubabe wa kutaka kutawala makanisa mengine ambayo hayapo chini yao pia walileta mafundisho ambayo wengine waliyapinga makanisa mengine yakaamua kutengana na roma ....na hapo ndo ikaanza Roman catholic.....ila wakatoliki bado wapo wa makanisa mengine mfano...eastern orthodox ambao hadi Ethiopia wapo kanisa lao linaitwa Ethiopian tawahedo church hao pia ni wakatoliki ila sio wa roma ,....wagiriki,warusi pia wengi wao ni wakatoliki wa eastern church(orthodox ) .................kwahio kabla ya 1054 hakukua na katoliki ya roma yenye nguvu kiasi hiko huku mashariki walibaki na makanisa yao ambayo yalikua na asili ya watu wao kwahio sio ajabu sana kukuta mwarabu ni padre maana hata huko ukristo ulikua ni asili yao ukristo haukua mali ya roma hadi walipoanza figisu zao na wenzao......................................hizo stori zako ni kama propaganda za katoliki ya roma na watu wao wa magharibi.............

Hao wote ni wakatoliki ila sio roman...................na haikua rahisi kwa kanisa la roma kwenda kutawala kanisa la eneo lingine maana hawakua na hayo mamlaka, haya mambo ya papa kua mkuu wa kanisa lote yalianza baada ya hio great schism ya 1054 na alikua na nguvu kwenye makanisa yake ya roman catholic tu.....
Baada ya hapo ndo ukristo ukaanza kuchakachuliwa na waroma hadi hapa walipofikia.........romani ni kanisa la magharibi na limekua sambamba na mataifa ya magharibi hata propaganda zake ni zilezile za wamagharibi



 
bado historia huifahamu au unajichanganya

Wote Waorthodoksi ni Wakristo, lakini sio Wakristo wote ni Waorthodoksi. Wafuasi, wameunganishwa na kukiri kwa dini hii ya ulimwengu, wamegawanywa kwa sehemu ya mwelekeo wake tofauti, ambayo moja ni Orthodoxy. Kuelewa jinsi Orthodoxy inatofautiana na Ukristo, lazima mtu ageukie historia ya kuibuka kwa dini ya ulimwengu.


Tofauti kubwa katika maoni ya kijamii, kisiasa na kidini yalisababisha kutengwa kwa dini moja kuwa Katoliki Katoliki na Orthodox, ambayo mwanzoni iliitwa Katoliki ya Mashariki. Kichwa cha kanisa la kwanza alikuwa Papa, wa pili alikuwa mzalendo. Kutengwa kwao kwa kila mmoja kutoka kwa imani ya kawaida kulisababisha mgawanyiko wa Ukristo. Mchakato huo ulianza mnamo 1054 na kumalizika mnamo 1204 na kuanguka kwa Konstantinople.


KWAHIYO UKATOLIKI ULIKUWEPO ,ILA ULIKUJA KUGAWANYIKA

ORTHODOX NA ROMAN CATHOLIC NI DUGU MOJA, NDIO MAANA KUNA WAKATOLIKI WA ORTHODOX


BI KHADIJA KABLA YA KUSILIMU ALIKUWA DINI GANI NA DHEHEBU GANI?
 
SI KWELI UNADANGANYA, PAULO MAFUNDISHO YKAE NI KWA MATAIFA., LEO KWAKUWA TU YANAENDA KINYUME NA MNACHOFNAYA UNADAI HAYAWAHUSU,


SASA HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU ....
 
KWAHIYO HUU UTARATIBU WENU WA KUNENA MMEUTOA WPI IKIWA KUPITIA PAULO MNADAI HAUWAHUSU ULIWAHUSU ALIOWAANDIKIA

AWALI ULIKIMBILIA PALE SIKU YA PENTECOSTE, LAKINI PALE ILIKUWA NI KWA KUSUDI MAALUMU NA UTARATIBU WA PALE NI TOFAUTI NA TUKIONACHO LEO


“Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu watauwa, watu wa kila taifa chini ya mbingu.” “Waparthi na Wamedi na Waelami, nao wakaao Mesopotamia, Uyahudi na Kapadokia, Ponto na Asia, Frigia na Pamflia, Misri na pande za Libia karibu na Kirene, na wageni watokao Rumi, Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu.” Mdo. 2:5,9-11.

Walikuwepo watu wa kabila nyingi na Mungu alitaka kila mtu asikie na kuelewa ujumbe uliokuwa ukitolewa na Mitume. Hatimaye watu hawa wangerudi makwao wakiwa na Habari Njema ya wokovu.
 
QURAN ILIANDIKWA NA WALEVI NA WANYWAJI POMBE NA HAO WALEVI WALIKUWA WAMEKALILI QUR'AN HUKU WAKIWA WAMELEWA CHAKALI NA WENGINE WALIKUFA KWA ULEVI WAANDISHI WA MUHAMMAD
SWALI AYA ZIPI ZILIANDIKWA MASWAHABA WAKIWA HAWAJALEWA POMBE KATIKA SURA 114 ZA QUR-AN YENU?
Quran 5:93. Si dhambi juu ya walio amini na wakatenda mema kwa walivyo vila (zamani) maadamu wakichamngu na wakiamini na wakitenda mema, kisha wakachamngu, na wakaamini, kisha wakachamngu na wakafanya mazuri. Na Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao mazuri
Aya ya 5:93 Aya hizi za kukataza ulevi Kwa kashididi hii hizi zimeteremka mwaka wa sita wa Al-hijira baada ya kuwa maswahaba wengi WAMEKUFA na hali ya kuwa WAKILEWA POMBE. Basi maswahaba wengi wenziwao wakawahofia nini itakuwa hali yao siku ya Kiyama [TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY ]

 
Nilichokiona kwako ni chuki zako dhidi ya Uislamu ila huna point yni unaongea ujinga tuuu

Poleee tafuta mtu mwingine wa kumwambia huu uongo wako
 
Nimekupata kabisaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…