Freemasons ndani ya Makanisa

Freemasons ndani ya Makanisa

MUHAMMAD ALIKUWA ANAVALIA MAVAZI YA KIKATOLIKI WAKATI WA KUSALI : SWALI ANAYEVAA VAZI LA KIKATOLIKI ANAITWA MKATOLIKI AMA MWISLAMU?

👆
👆
👆
👆
👆
💪
💪
💪
💪
🎤
🎤

Ilisimuliwa Na 'Ubadah bin Samit alisema:
“Mtume Muhammad s.a.w (tulimuona) akitoka kwetu siku moja, akiwa amevaa vazi la Kirumi [kikatoliki] la sufu na mikono nyembamba. Na Alituongoza katika maombi akiwa amevaa hilo, na si kitu kingine chochote. ”
حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ عُثْمَانَ بْنِ كَرَامَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، حَدَّثَنَا الأَحْوَصُ بْنُ حَكِيمٍ، عَنْ خَالِدِ بْنِ مَعْدَانَ، عَنْ عُبَادَةَ بْنِ الصَّامِتِ، قَالَ خَرَجَ عَلَيْنَا رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ذَاتَ يَوْمٍ وَعَلَيْهِ جُبَّةٌ رُومِيَّةٌ مِنْ صُوفٍ ضَيِّقَةُ الْكُمَّيْنِ فَصَلَّى بِنَا فِيهَا لَيْسَ عَلَيْهِ شَىْءٌ غَيْرُهَا ‏.‏
Sunnah kitabu cha 32 Juzuu ya 4, Hadithi 3563


MUHAMMAD ALIRUDI KWA BABA YAKE WA IMANI PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI KUEZI MAVAZI YA KATOLIKI AMBAYE ALIMWAMBIA JIBASHIRIE MWENYEWE KUWA WEWE NI MTUME WA UMMA HUU wakishirikiana na Mke Muhammad aitwaye Bibi Khadija

Huyu PADRI WARAQA BIN NAUFU NI MKRISTO KUTOKA ROMANI KATOLIKI USHAHIDI HUU CHINI SIKU WANAMPA UTUME MUHAMMAD MWENYEZI MUNGU ALIKUWA SHAHIDI TU KATIKA TUKIO HILO

✔️
Qur'an 4:79. Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.
✔️
Qur'an 13:43. Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.
✔️
Qur'an 36:3. Hakika wewe ni miongoni mwa walio tumwa.
HIZO JUU NDIYO KAULI ZA MKEWE MUHAMMAD AITWAYE KHADIJA NA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI

USHAHIDI WA HADITHI HUU HAPA MUHAMMAD ALIPEWA UTUME NA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKRISITO MKATOLIKI NA MKEWE KHADIJA NA BIBI KHADIJA NDIYE MWANADAMU WA KWANZA ULIMWENGUNI KUSILIMU KUWA MWISLAMU KISHA AKAFUATA ALI BIN TALIB

Amesimuliw na Aisha:
(mke wa Mtume) Kuanza (kwa Uvuvio wa Kimungu) kwa Mtume wa Allah kulikuwa katika hali ya ndoto za kweli katika usingizi wake, kwani hakuwahi kuwa na ndoto lakini ikawa kweli na wazi kama mwangaza wa mchana. Halafu akaanza kupenda kujitenga, kwa hivyo alikuwa akijitenga kwenye pango la Hira ambapo alikuwa akimwabudu Mwenyezi Mungu mfululizo kwa usiku mwingi kabla ya kurudi kwa familia yake kuchukua chakula cha lazima kwa ajili ya kukaa.
Alirudi kwa (mkewe) Khadija tena kuchukua chakula chake (vile vile chakula) vivyo hivyo, mpaka siku moja alipokea Mwongozo wakati alikuwa katika pango la Hira. Mtu Mmoja alimjia na kumwambia asome. Mtume alijibu, "Sijui kusoma." Mtume akaongeza, "Kisha Mtu Yule alinishika (kwa nguvu) na akanibana sana hadi nikahisi shida. Kisha akaniachia na akaniuliza tena nisome, nami nikajibu," Sijui kusoma.
" Hapo alinishika tena na kunibonyeza kwa mara ya pili mpaka nikahisi kuzimia. Kisha akaniachia na kuniuliza nisome, lakini tena nikamjibu.'Sijui kusoma.' Hapo alinishika kwa mara ya tatu na kunibana mpaka nikafadhaika, kisha akaniachia na kusema, 'Soma, kwa Jina la Bwana wako Ambaye ameumba (vyote vilivyopo), . Amemuumba binaadamu kwa tone la damu Na Mola wako ni Mkarimu zaidi. Ambaye amefundisha maandishi kwa kalamu, na amemfundisha mwanadamu yale asiyokuwa akiyajua. (Qur'an 96.1-5).
Kisha Mtume akarudi na hali hiyo na misuli kati ya shingo yake na mabega ilikuwa ikitetemeka mpaka alipomjia Khadija (mkewe) na kusema, "Nifunike " Alimfunika, na hali ya hofu ilipoisha, akamwambia Khadija, "Ewe Khadija! Kuna shida gani kwangu Mimi Muhammad ? Niliogopa kwamba kitu kibaya kimenipata na Najihofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga! ."
Kisha akamwambia hadithi hiyo ilivyotokea pangoni. Khadija alisema, "Hapana! Bali pokea habari njema! Wallahi,Mimi Naona Umekwisha kuwa Mtume Wa Mwenyezi Mungu hatakufedhehesha kamwe, kwani kwa Mwenyezi Mungu unaweka uhusiano mzuri na jamaa na jamaa yako, unasema ukweli, unasaidia masikini na wanyonge, uwakaribishe wageni wako sana na uwasaidie wale waliopatwa na misiba. " Khadija kisha akampeleka kwa Waraqa bin Naufil, mtoto wa mjomba wa baba yake Khadija.
Huyu Padri Waraqa bin Naufal alikuwa amebadilisha Dini na kuingia katika Dini ya Kikristo kwa Muda Mrefu Sana katika Kipindi hicho cha Kabla ya Kuja Dini Mpya ya Uislamu na alikuwa akiandika Kiarabu na Alikuwa anaandika injili kwa Kiarabu vile vile Mwenyezi Mungu aliyotaka ayaandike. Alikuwa mzee na alikuwa amepoteza macho yake. Khadija alisema (kwa Waraqa), "Ewe binamu yangu! Sikiliza nini mpwa wako Nini anataka kusema." Waraqa akasema, "Ewe mpwa wangu! Umeona nini?" Kisha Mtume akaelezea kila kitu alichokiona.
Waraqa alisema, "Huyu ndiye Malaika (Jibrili) yule aliyetumwa kwa Musa. Basi jibashirie Mwenyewe (Muhammad) Wewe Ni Mtume wa Umma huu.Laiti ningekuwa mchanga." Aliongeza taarifa nyingine. Mtume wa Mwenyezi Mungu aliuliza, "Je! Watu hawa watanifukuza?" Waraqa alisema, "Ndio, kwani hakuna mtu aliyeleta mfano kama huu ulioleta, lakini alitendewa kwa uadui. Ikiwa ningeendelea kuwa hai hadi siku yako unapoanza kuhubiri hii Dini yako Mpya ya Uislamu Basi ningekuunga mkono sana mpwa wangu.
" Lakini muda mfupi baadaye Padri Waraqa bin Naufal alikufa Ndipo Bibi Khadija Mke wa Mtume akawa ndiye Mtu wa Kwanza Ulimwenguni Kusilimu na hakutanguliwa na Mtu yeyote kisha Akafuata Ali bin Talib huyu alisilimu akiwa na Miaka kumi na Uvuvio wa Wahyi ulikatika(ulimamima) kwa muda baada ya Padri waraqa bin Naufal na Mtume wa Allah alihuzunika sana kwa Kufa Huyu padrie waraqa bin Naufal.
رواه عائشة: (زوجة الرسول) كانت بداية رسول الله صلى الله عليه وسلم أحلامًا حقيقية في نومه ، فلم يحلم قط بل صار حقيقيًا وواضحًا كالنهار. ثم بدأ في حب العزلة ، فكان ينعزل عن غار حراء حيث كان يعبد الله باستمرار لعدة ليال قبل أن يعود إلى أهله ليأخذ ما يلزمهم من طعام للإقامة. عاد إلى (زوجته) خديجة مرة أخرى ليأخذ طعامه (وكذلك طعامه) بنفس الطريقة ، حتى استلم ذات يوم المرشد وهو في غار حراء. جاءه شخص ما وقال له أن يقرأ. فأجاب الرسول: لا أعرف القراءة. وأضاف الرسول: ثم أمسكني الرجل (بعنف) وشدني حتى شعرت بالمتاعب ، ثم سمح لي بالذهاب وطلب مني القراءة مرة أخرى ، فقلت: لا أعرف كيف أقرأ. "ثم أمسك بي مرة أخرى وضغط علي مرة ثانية حتى شعرت بالإغماء. ثم سمح لي بالذهاب وطلب مني القراءة ، لكني أجبت مرة أخرى." لا أعرف كيف أقرأ ". هناك أمسك بي مرة ثالثة وأمسك بي حتى انزعجت ، ثم أطلقني وقال: اقرأ باسم ربك الذي خلق (كل ما هو) ، خلق الإنسان بقطعة قماش. اقرأ! والرب أكرم وقد علم الإنسان ما لم يعرفه (القرآن 96.1-5).
ثم عاد الرسول بالحالة واهتزت العضلات بين رقبته وكتفيه حتى جاء إلى خديجة (زوجته) وقال: غطني غطائها ، وعندما انتهت حالة الخوف ، قالت لخديجة. "يا خديجة! ما خطبتي يا محمد؟" كنت أخشى أن يحدث لي شيء سيء وكنت أخشى أن تتأخر روحي بسبب الشياطين وتدمر عقلي وتنام! ثم أخبرته قصة ما حدث في الكهف .. فقالت خديجة: لا! ولكن تلقي البشارة! والله أظنك صرت رسولا ولن يعلمك الله في الحال فالله يقيم علاقات طيبة مع أقاربك فتقول الحق وتساعد الفقراء والضعفاء وأنت مضياف جدا وتساعد الذين عانوا. المآسي. ثم أخذته خديجة إلى ورقة بن نوفيل ، ابن عم والد خديجة. كان هذا القس ورقة بن نوفل قد اعتنق المسيحية لفترة طويلة جدًا في عصر ما قبل الإسلام وكان يكتب باللغة العربية وكان يكتب الإنجيل باللغة العربية كما أراده الله أن يكتبها. كان قد تقدم في السن وفقد بصره. قالت خديجة (لورقة): "يا ابن عمي! اسمع ما يقول ابن أخيك ما يقول". قال ورقة: يا ابن أخي ما رأيت؟ ثم وصف النبي كل ما رآه.
قال ورقة: هذا هو الملاك (جبريل) الذي أرسل إلى موسى ، فتنبأ على نفسك (محمد). أنت رسول هذه الأمة ، لاني كنت طفلاً صغيراً. وأضاف بيانا آخر. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: هل يبعدني هؤلاء؟ قال ورقة: "نعم ، لأن أحداً لم يضرب مثالاً كهذا ، لكنه تصرف بعدائية. لو بقيت على قيد الحياة حتى يومك تبدأ في الدعوة إلى هذا الدين الجديد للإسلام ، فسأكون داعماً جداً لابن أخي". لكن خديجة زوجة الرسول صارت أول إنسان في العالم يعتنق الإسلام ولم يسبقه أحد.
Sahih al-Bukhari 4953 Juzuu Ya 6,kitabu Cha 60, Hadith 478

View attachment 2112274
View attachment 2112275
Hakukua na romani katoliki hadi mwaka 1053..............na waislam injili wanaitambua .....na hakuna shida kabisa na ukristo........shida ni huu ukristo wa miaka hii.....
 
MUHAMMAD ANASEMA ALIPEWA AYA SABA TU KATIKA MAISHA YAKE: SWALI HIZI AYA ZINGINE ZENYE SURA 114 KAWAPA NANI NA HIZO AYA SABA ALIZOPEWA MUHAMMAD ZIKO WAPI KATIKA QUR'AN?
[emoji3581]
Qur'an 15:87. Na tumekupa Aya saba zinazo somwa mara kwa mara, na Qur'ani Tukufu.

MUHAMMAD KASEMA QUR'AN ILIYOANDIKWA KWA MAKARATASI NI KUKIFUNZA UCHAWI USHAHIDI HUU HAPA SWALI WAPI MUHAMMAD ALIKUWA NA QUR'AN YA MAKARATASI JE HII QUR'AN YA MAKARATASI MMEPATA NANI MAANA MUHAMMAD HAITAMBUI
[emoji3581]
Qur'an 6:7. Na lau tungeli kuteremshia kitabu cha karatasi, wakakigusa kwa mikono yao, wangeli sema walio kufuru: Haya si chochote ila ni uchawi dhaahiri

HAWA WALIOIGAWA QUR'AN VIPANDE VIPANDE WANAITWA WAKINA NANI JE HIYO QUR'AN WALIIGAWA NI HII YA MAKARATASI AMBAYO NI UCHAWI AMA QUR'AN IPI ILIYOGAWANYWA VIPANDE VIPANDE?
[emoji3581]
Qur'an 15:91-93
91. Ambao wakaifanya Qur'ani vipande vipande.
92. Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote,
93. Kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
Kma hujui kitu ni bora kuuliza mana hapa inaonesha ni jinisi gni ulivokua huujui Uislamu hlf nilikwambia ww unakua na majibu yko tyr ndo mna hutki kunielewa

haya sasa tuje apo uliposema kuhusu izo aya saba
Aya saba zenye kusomwa mara kwa mara ni Suratul fatiha ambayo inasomwa kwenye kila swala na kwenye kila rakaa

Nikuulize swali dogo tuu
Ni zipi aya alizoshushiwa mtume mwanzo?q

hlf kma untka kuelimishwa kuhusu Uislamu sema ufundishwe sio unakaririshwa chuki uko hlf unameza kma zilivo
 
kunena kwa lugha kwa mujibu wa biblia sio huko mnakofanya ghasia makanisani kwa kufokafoka, lugha zisizoeleweka

Je, ni lugha ipi inayofaa kunena kanisani?​

“Lakini katika kanisa napenda kunena maneno matano kwa akili zangu, nipate kuwafudhisha wengine, zaidi ya kunena maneno kumi elfu kwa lugha.” 1 Kor. 14:19.

Ni afadhali kunena maneno machache yanayoeleweka kuliko elfu yasiyoeleweka.

Je, ni watu wangapi wanaruhusiwa kunena katika kusanyiko moja kanisani?​

“Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri.” 1 Kor. 14:27.

Si zaidi ya watatu, tena wapeane zamu, na ni lazima ifasiriwe ili watu waelewe.

Unajua ukisoma Biblia hutakiwi kukurupuka unachukua tu mstari mmoja unakimbia nao na unakazana kupotosha watu. Ukisoma Biblia kwanza unatakiwa utafakari na ujiulize maswali, kwanza jiulize Je Paulo kila waraka alikuwa anataka watu wanaonena kwa lugha wasizidi watatu tu au ni kwa wakorintho peke yake, na kama ni kwa wakorintho peke yao kwanini basi aliamua kuwaambia hivyo.

Kwanza kabisa wakorintho walifanya sifa kunena kwa lugha, kwahiyo unakuta hata salamu zao ni kunena kwa lugha tu, hata mahubiri yao ni kunena kwa lugha kiasi kwamba akija mgeni asiyejua kuhusu Roho Mtakatifu hakuna atakachoambulia sanasana ataona hawa wamechanganyikiwa. Na ndipo Paulo akaamua kuwawekea hiyo sheria.

Jiulize tena, Je, Paulo ndiye aliyeahidi ujio wa Roho Mtakatifu, jibu ni hapana.

Yesu Kristo ndiye aliahidi ujio wa Roho Mtakatifu kama msaidizi wetu yeye atakapokuwa amepaa kurudi kwa Baba, Je, uliwahi kumsikia Yesu akiwaambia wanafunzi wake kwamba kati yenu nyie ni watatu tu ndio watakaompokea Roho Mtakatifu na ninyi wengine mtafsiri? Jibu ni Hapana. Ila aliwaagiza wasitoke Yerusalemu hata atakapokuja yule msaidizi ambaye ni Roho Mtakatifu.

Siku ya pentekoste walikuwa watu 120 kule Yerusalemu wakisubiri ujio wa Roho Mtakatifu na maandiko yanasema wote walijazwa Roho Mtakatifu wakaanza kunena kwa lugha mpya kwa kadri Roho alivyowajalia kunena. Ikumbukwe hawakunena watu watatu tu hapo. Soma Matendo Ya Mitume Sura yote ya pili inaelezea hicho kisa. Au soma sura yote ya kwanza na ya pili ili uielewe kiundani zaidi.

Nakaribisha swali kwako mtoa mada au kama una hoja karibu.
 
Hakukua na romani katoliki hadi mwaka 1053..............na waislam injili wanaitambua .....na hakuna shida kabisa na ukristo........shida ni huu ukristo wa miaka hii.....
kulikuwa na dini gani ,hao wakristo walikuwa wanaitwaje
 
Unajua ukisoma Biblia hutakiwi kukurupuka unachukua tu mstari mmoja unakimbia nao na unakazana kupotosha watu. Ukisoma Biblia kwanza unatakiwa utafakari na ujiulize maswali, kwanza jiulize Je Paulo kila waraka alikuwa anataka watu wanaonena kwa lugha wasizidi watatu tu au ni kwa wakorintho peke yake, na kama ni kwa wakorintho peke yao kwanini basi aliamua kuwaambia hivyo.

Kwanza kabisa wakorintho walifanya sifa kunena kwa lugha, kwahiyo unakuta hata salamu zao ni kunena kwa lugha tu, hata mahubiri yao ni kunena kwa lugha kiasi kwamba akija mgeni asiyejua kuhusu Roho Mtakatifu hakuna atakachoambulia sanasana ataona hawa wamechanganyikiwa. Na ndipo Paulo akaamua kuwawekea hiyo sheria.

Jiulize tena, Je, Paulo ndiye aliyeahidi ujio wa Roho Mtakatifu, jibu ni hapana.

Yesu Kristo ndiye aliahidi ujio wa Roho Mtakatifu kama msaidizi wetu yeye atakapokuwa amepaa kurudi kwa Baba, Je, uliwahi kumsikia Yesu akiwaambia wanafunzi wake kwamba kati yenu nyie ni watatu tu ndio watakaompokea Roho Mtakatifu na ninyi wengine mtafsiri? Jibu ni Hapana. Ila aliwaagiza wasitoke Yerusalemu hata atakapokuja yule msaidizi ambaye ni Roho Mtakatifu.

Siku ya pentekoste walikuwa watu 120 kule Yerusalemu wakisubiri ujio wa Roho Mtakatifu na maandiko yanasema wote walijazwa Roho Mtakatifu wakaanza kunena kwa lugha mpya kwa kadri Roho alivyowajalia kunena. Ikumbukwe hawakunena watu watatu tu hapo. Soma Matendo Ya Mitume Sura yote ya pili inaelezea hicho kisa. Au soma sura yote ya kwanza na ya pili ili uielewe kiundani zaidi.

Nakaribisha swali kwako mtoa mada au kama una hoja karibu.
hoja yako ni ipi sasas, unapinga maandiko ya paulo au unasimamia wapi? je unanaji wa siku ya pentecoste ndio huu mnaofanya leo? je paulo anapotoa huo utaratibu wewe haukuhusu?
 
hoja yako ni ipi sasas, unapinga maandiko ya paulo au unasimamia wapi? je unanaji wa siku ya pentecoste ndio huu mnaofanya leo? je paulo anapotoa huo utaratibu wewe haukuhusu?

Hoja yangu ni kwamba unenaji wa lugha hauna limitation kwamba eti ni idadi kadhaa ya watu ndo wanaopaswa kunena.

Pia paulo aliandika nyaraka kwa makanisa tofauti na kila kanisa aliliandikia nyaraka kutokana na namna walivyo kwa tabia zao na kwa utofauti wao.

Kama una swali hapo uliza au kama bado hujaelewa uliza nifafanue zaidi.
 
kulikuwa na dini gani ,hao wakristo walikuwa wanaitwaje
Ukatoliki maana yake ni universal church........wale mitume walienda maeneo tofauti kueneza ukristo sema watu wana focus sana na hapo roma.........kila eneo walipoanzisha kanisa mitume lilikua linajitegemea sema sasa ili baadhi ya mambo wanayofanya wasipishane sana wakaamua wajiite catholic church maana yake kanisa la ulimwengu"universal church"........kwenye miaka ya 1054 hapo waroma wakaleta ubabe wa kutaka kutawala makanisa mengine ambayo hayapo chini yao pia walileta mafundisho ambayo wengine waliyapinga makanisa mengine yakaamua kutengana na roma ....na hapo ndo ikaanza Roman catholic.....ila wakatoliki bado wapo wa makanisa mengine mfano...eastern orthodox ambao hadi Ethiopia wapo kanisa lao linaitwa Ethiopian tawahedo church hao pia ni wakatoliki ila sio wa roma ,....wagiriki,warusi pia wengi wao ni wakatoliki wa eastern church(orthodox ) .................kwahio kabla ya 1054 hakukua na katoliki ya roma yenye nguvu kiasi hiko huku mashariki walibaki na makanisa yao ambayo yalikua na asili ya watu wao kwahio sio ajabu sana kukuta mwarabu ni padre maana hata huko ukristo ulikua ni asili yao ukristo haukua mali ya roma hadi walipoanza figisu zao na wenzao......................................hizo stori zako ni kama propaganda za katoliki ya roma na watu wao wa magharibi.............
images.jpeg-217.jpg
images.jpeg-222.jpg
images.jpeg-219.jpg
images.jpeg-218.jpg


Hao wote ni wakatoliki ila sio roman...................na haikua rahisi kwa kanisa la roma kwenda kutawala kanisa la eneo lingine maana hawakua na hayo mamlaka, haya mambo ya papa kua mkuu wa kanisa lote yalianza baada ya hio great schism ya 1054 na alikua na nguvu kwenye makanisa yake ya roman catholic tu.....
Baada ya hapo ndo ukristo ukaanza kuchakachuliwa na waroma hadi hapa walipofikia.........romani ni kanisa la magharibi na limekua sambamba na mataifa ya magharibi hata propaganda zake ni zilezile za wamagharibi

images.jpeg-220.jpg


images.jpeg-221.jpg
 
Ukatoliki maana yake ni universal church........wale mitume walienda maeneo tofauti kueneza ukristo sema watu wana focus sana na hapo roma.........kila eneo walipoanzisha kanisa mitume lilikua linajitegemea sema sasa ili baadhi ya mambo wanayofanya wasipishane sana wakaamua wajiite catholic church maana yake kanisa la ulimwengu"universal church"........kwenye miaka ya 1054 hapo waroma wakaleta ubabe wa kutaka kutawala makanisa mengine ambayo hayapo chini yao pia walileta mafundisho ambayo wengine waliyapinga makanisa mengine yakaamua kutengana na roma ....na hapo ndo ikaanza Roman catholic.....ila wakatoliki bado wapo wa makanisa mengine mfano...eastern orthodox ambao hadi Ethiopia wapo kanisa lao linaitwa Ethiopian tawahedo church hao pia ni wakatoliki ila sio wa roma ,....wagiriki,warusi pia wengi wao ni wakatoliki wa eastern church(orthodox ) .................kwahio kabla ya 1054 hakukua na katoliki ya roma yenye nguvu kiasi hiko huku mashariki walibaki na makanisa yao ambayo yalikua na asili ya watu wao kwahio sio ajabu sana kukuta mwarabu ni padre maana hata huko ukristo ulikua ni asili yao ukristo haukua mali ya roma hadi walipoanza figisu zao na wenzao......................................hizo stori zako ni kama propaganda za katoliki ya roma na watu wao wa magharibi.............View attachment 2113183View attachment 2113191View attachment 2113192View attachment 2113193

Hao wote ni wakatoliki ila sio roman...................na haikua rahisi kwa kanisa la roma kwenda kutawala kanisa la eneo lingine maana hawakua na hayo mamlaka, haya mambo ya papa kua mkuu wa kanisa lote yalianza baada ya hio great schism ya 1054 na alikua na nguvu kwenye makanisa yake ya roman catholic tu.....
Baada ya hapo ndo ukristo ukaanza kuchakachuliwa na waroma hadi hapa walipofikia.........romani ni kanisa la magharibi na limekua sambamba na mataifa ya magharibi hata propaganda zake ni zilezile za wamagharibi

View attachment 2113194

View attachment 2113195
bado historia huifahamu au unajichanganya

Wote Waorthodoksi ni Wakristo, lakini sio Wakristo wote ni Waorthodoksi. Wafuasi, wameunganishwa na kukiri kwa dini hii ya ulimwengu, wamegawanywa kwa sehemu ya mwelekeo wake tofauti, ambayo moja ni Orthodoxy. Kuelewa jinsi Orthodoxy inatofautiana na Ukristo, lazima mtu ageukie historia ya kuibuka kwa dini ya ulimwengu.


Tofauti kubwa katika maoni ya kijamii, kisiasa na kidini yalisababisha kutengwa kwa dini moja kuwa Katoliki Katoliki na Orthodox, ambayo mwanzoni iliitwa Katoliki ya Mashariki. Kichwa cha kanisa la kwanza alikuwa Papa, wa pili alikuwa mzalendo. Kutengwa kwao kwa kila mmoja kutoka kwa imani ya kawaida kulisababisha mgawanyiko wa Ukristo. Mchakato huo ulianza mnamo 1054 na kumalizika mnamo 1204 na kuanguka kwa Konstantinople.


KWAHIYO UKATOLIKI ULIKUWEPO ,ILA ULIKUJA KUGAWANYIKA

ORTHODOX NA ROMAN CATHOLIC NI DUGU MOJA, NDIO MAANA KUNA WAKATOLIKI WA ORTHODOX


BI KHADIJA KABLA YA KUSILIMU ALIKUWA DINI GANI NA DHEHEBU GANI?
 
Hoja yangu ni kwamba unenaji wa lugha hauna limitation kwamba eti ni idadi kadhaa ya watu ndo wanaopaswa kunena.

Pia paulo aliandika nyaraka kwa makanisa tofauti na kila kanisa aliliandikia nyaraka kutokana na namna walivyo kwa tabia zao na kwa utofauti wao.

Kama una swali hapo uliza au kama bado hujaelewa uliza nifafanue zaidi.
SI KWELI UNADANGANYA, PAULO MAFUNDISHO YKAE NI KWA MATAIFA., LEO KWAKUWA TU YANAENDA KINYUME NA MNACHOFNAYA UNADAI HAYAWAHUSU,


SASA HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU ....
 
Hoja yangu ni kwamba unenaji wa lugha hauna limitation kwamba eti ni idadi kadhaa ya watu ndo wanaopaswa kunena.

Pia paulo aliandika nyaraka kwa makanisa tofauti na kila kanisa aliliandikia nyaraka kutokana na namna walivyo kwa tabia zao na kwa utofauti wao.

Kama una swali hapo uliza au kama bado hujaelewa uliza nifafanue zaidi.
KWAHIYO HUU UTARATIBU WENU WA KUNENA MMEUTOA WPI IKIWA KUPITIA PAULO MNADAI HAUWAHUSU ULIWAHUSU ALIOWAANDIKIA

AWALI ULIKIMBILIA PALE SIKU YA PENTECOSTE, LAKINI PALE ILIKUWA NI KWA KUSUDI MAALUMU NA UTARATIBU WA PALE NI TOFAUTI NA TUKIONACHO LEO


“Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu watauwa, watu wa kila taifa chini ya mbingu.” “Waparthi na Wamedi na Waelami, nao wakaao Mesopotamia, Uyahudi na Kapadokia, Ponto na Asia, Frigia na Pamflia, Misri na pande za Libia karibu na Kirene, na wageni watokao Rumi, Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu.” Mdo. 2:5,9-11.

Walikuwepo watu wa kabila nyingi na Mungu alitaka kila mtu asikie na kuelewa ujumbe uliokuwa ukitolewa na Mitume. Hatimaye watu hawa wangerudi makwao wakiwa na Habari Njema ya wokovu.
 
Kma hujui kitu ni bora kuuliza mana hapa inaonesha ni jinisi gni ulivokua huujui Uislamu hlf nilikwambia ww unakua na majibu yko tyr ndo mna hutki kunielewa

haya sasa tuje apo uliposema kuhusu izo aya saba
Aya saba zenye kusomwa mara kwa mara ni Suratul fatiha ambayo inasomwa kwenye kila swala na kwenye kila rakaa

Nikuulize swali dogo tuu
Ni zipi aya alizoshushiwa mtume mwanzo?q

hlf kma untka kuelimishwa kuhusu Uislamu sema ufundishwe sio unakaririshwa chuki uko hlf unameza kma zilivo
QURAN ILIANDIKWA NA WALEVI NA WANYWAJI POMBE NA HAO WALEVI WALIKUWA WAMEKALILI QUR'AN HUKU WAKIWA WAMELEWA CHAKALI NA WENGINE WALIKUFA KWA ULEVI WAANDISHI WA MUHAMMAD
SWALI AYA ZIPI ZILIANDIKWA MASWAHABA WAKIWA HAWAJALEWA POMBE KATIKA SURA 114 ZA QUR-AN YENU?
✔
Quran 5:93. Si dhambi juu ya walio amini na wakatenda mema kwa walivyo vila (zamani) maadamu wakichamngu na wakiamini na wakitenda mema, kisha wakachamngu, na wakaamini, kisha wakachamngu na wakafanya mazuri. Na Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao mazuri
Aya ya 5:93 Aya hizi za kukataza ulevi Kwa kashididi hii hizi zimeteremka mwaka wa sita wa Al-hijira baada ya kuwa maswahaba wengi WAMEKUFA na hali ya kuwa WAKILEWA POMBE. Basi maswahaba wengi wenziwao wakawahofia nini itakuwa hali yao siku ya Kiyama [TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY ]

1644279057495.png
 
QURAN ILIANDIKWA NA WALEVI NA WANYWAJI POMBE NA HAO WALEVI WALIKUWA WAMEKALILI QUR'AN HUKU WAKIWA WAMELEWA CHAKALI NA WENGINE WALIKUFA KWA ULEVI WAANDISHI WA MUHAMMAD
SWALI AYA ZIPI ZILIANDIKWA MASWAHABA WAKIWA HAWAJALEWA POMBE KATIKA SURA 114 ZA QUR-AN YENU?
[emoji818]
Quran 5:93. Si dhambi juu ya walio amini na wakatenda mema kwa walivyo vila (zamani) maadamu wakichamngu na wakiamini na wakitenda mema, kisha wakachamngu, na wakaamini, kisha wakachamngu na wakafanya mazuri. Na Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao mazuri
Aya ya 5:93 Aya hizi za kukataza ulevi Kwa kashididi hii hizi zimeteremka mwaka wa sita wa Al-hijira baada ya kuwa maswahaba wengi WAMEKUFA na hali ya kuwa WAKILEWA POMBE. Basi maswahaba wengi wenziwao wakawahofia nini itakuwa hali yao siku ya Kiyama [TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY ]

View attachment 2113232
Nilichokiona kwako ni chuki zako dhidi ya Uislamu ila huna point yni unaongea ujinga tuuu

Poleee tafuta mtu mwingine wa kumwambia huu uongo wako
 
Kwa bahati mbaya huyo Mungu wa dini zote ni Mmoja, na ndiye huyo huyo aliamua kuleta tofauti hizi za dini kwa madhumuni yake mwenyewe.

Muumba wa kweli Alishasahaulika zamani sana ,pale taifa lake la watu halali(black people) ktk dunia hii walipomuhasi na kukumbatia tamaduni za wapagani(white people).

Hicho kitabu chenu muitacho biblia mbona mnatumia ile ile waliyokuwa wakiiitumia wakatoric pia kama hayo madhehebu yalijiona yako sahihi basi yasingeishia tu kuhariri mifumo ya kanisa, bali walitakiwa kufumua mpaka maandiko ktk biblia ambayo baadhi hayakuwa halali maana yaliandikwa kwa kupotosha na uongo mwingi, hivyo basi ingehitajika wao Kama wanae Roho mtakatifu awaongoze walete maandiko yasiyo na makosa, pia kurudisha baazi ya vitabu vilivyofutwa kwa makusudi.

Shetan ndye anaeabudiwa na Dini zote na makanisa yote.
Hakuna nabii,mchungaji, askofu, mtume ama mwinjilisti wa kwel nyakati hizi, kwakuwa nyote mnafundisha uongo ule ule uliowekwa na mrumi.

Hivyo basi ili kumtambua mtumishi wa kweli nyakati hizi ni lazima akanushe uongo wa mafundisho ya dini zote, pia aoneshe madhaifu ya misahafu yote, pia kufunua mikanganyiko ya vitabu hivi vya dini bila kumuonea aibu mtu yeyote kuwa atachukia ama atakuwaje.

Shetan tangu afukuzwe ktk imaya ya viumbe wa roho(mbingu) aliamua kujimilikisha hii dunia, kwanzia kujipa cheo cha Umungu, pia kuchukuwa mamlaka ya urithi wa mtu mweusi kwa kuukabizi kwa taifa feki la hao watu weupe,ili aitawale dunia atakavyo.

Nowadays shetan ni huyo aitwae kwa majina tofaut tofaut ktk dini, mfano Allah, Jesus, Jehovah, elishadai,elohim, alpha and Omega, Mwenyezi Mungu, bwana, haya yote ni majina yake ktk uhusika tofaut kulingana na mazingira,tamaduni na jamii husika hapo ndipo chanzo cha dini zote.

Hakuna ukweli wowote ktk biblia&quran mnapoteza muda wenu buree kuviabudu viumbe visivyo halali.

mkoloni si mjinga kukupa biblia eti akusaidie ww kwenda mbingun kwa upendo gani kwako?, kwanza hizo mbingu zao hazipo na hazijawai kuwapo, bali kuna ulimwengu wa viumbe wa kiroho ambao ni tofaut na hayo mastor yenu ya uongo eti kuna malaika, sjui kuna wazee24 na Mungu akizungukwa huo ni uongo mkubwa.

Ulimwengu wa Roho ambao viumbe wa Muumba wanaishi unajumuishwa na viumbe halali ambao wao wana asili sawa na mtu wa kwanza kuumbwa, ambae ni mweusi, ktk dini zenu hawawez kuwaambia haya mambo, ila ukwel ni kwamba malaika,maserafi& makerubi mionekano yao wote ni mfano wa mtu mweusi aliyeumbwa kutoka ktk materials za udongo, pia spiritual DNA zao ni sawa na mtu mweusi ambaye ndie mtu Original tofaut na hizo rangi zingine za laana ambazo zlkuja dunian kwa bahat mbaya kwa malengo ya kumtawala mtu mweusi,kumtumikisha na kuiharibu asili ya dunia kama vile baba yao shetan(jesus/azazel,Allah,yehova) apendavyo kuiharibu dunia.

Kuna mengi ya kujifunza, next time nitawawekea referencesView attachment 2104578
Nimekupata kabisaaaa
 
Back
Top Bottom