chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Mkuu ujumbe wote huo kisa tu usabato wote ni wakristo msigombanie fito.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu tujadiliane, je huoni kuwa huko kusali kumejificha nyuma mgongo wa shetani....ambaye ndiye anayewatumia mawakala wake freemasonsSawa, je hiyo inahusiana vipi na masonic
Mkuu kwanini tusijadiliane kwa nhoja? kama umesoma vizuri utaona ha wasabato nimewachambua, binafsi mimi sio mfuasi wa madhehebu nilishatoka huko kitambo, mimi ni free minded, sishikiwi akili na viongozi wa diniMkuu ujumbe wote huo kisa tu usabato wote ni wakristo msigombanie fito.
Yah shetani ameshaingia ndani ya madhehebu yote ya kikristo, yote unayoyajua , kazi hii inafanywa na vikundi vya siri vya illuminatiNimeichunguza kiundani hii nembo ya waSDA imedesigniwa kiujanja sana huo msalaba umegeuzwa juu chini ila hadi utulie kuangalia kwa makini !!! View attachment 2104534
SIPO KUSHINDANIA DINI WALA DHEHEBU NAPENDA TUSHINDANE NA KUJIBU AU KUPINGANA KWA HOJA, BILA KEJERI AU DHIHAKAKazi kweli kweli, Kanisa ni moja, Takatifu , la Mitume, nalo ni Katoliki tu. Hiyo bibilia unayoisoma na ku quote wamekuandalia wao na wanaijua kuliko wewe. Hao vichaa kina Hellen G white, Smith ambaye alikuwa ni freemason kabisa yani wamekuja juzi tu na wamebeba mabumunda kama wewe.
Digrii ya 18 inayoitwa ‘Knight of Rose Croix’ hushughulika na elimu ya aina za misalaba na jinsi ya kufanikisha kuziingiza ndani ya taasisi na madhehebu mbalimbali kwa imani ya Illuminati na freemason na kwa kweli freemason wa digrii hiyo wamefanikiwa kwa kiwango cha juu kabisa kuingiza aina nyingi za misalaba ndani ya makanisa na taasisi bila ya waumini kujua maana ya misalaba hiyoNimeichunguza kiundani hii nembo ya waSDA imedesigniwa kiujanja sana huo msalaba umegeuzwa juu chini ila hadi utulie kuangalia kwa makini !!! View attachment 2104534
Amebugi menHatari sana, walokole na rap hebu fafanua kidogo hapo
mkuu toka nje ya box, usibebwe na mafundisho usiyojua msingi wake, hivi kule unakoambiwa ni kunena kwa lugha, ulishafatilia vzr msingi wake?Amebugi men
Kwa hiyo hao jamaa wanarap tu baada ya kuiga mziku wa rap?mkuu toka nje ya box, usibebwe na mafundisho usiyojua msingi wake, hivi kule unakoambiwa ni kunena kwa lugha, ulishafatilia vzr msingi wake?
unatakiwa ujue kwanza utendaji kazi wa shetani huwa anachanganya ukweli na uongo, unaweza kuniambia hii staili ya kuomba kwa kufoka foka , hawa wanaojiita walokole wameiiga wpi? tambua ulokole umekuja juzi tu miaka ya 1900, shetani amekuwa akiingiza mambo ya ulimwengu kwenye makanisa au kuyabadilisha kidogo na kuyapa sura ya ukristo ..Kwa hiyo hao jamaa wanarap tu baada ya kuiga mziku wa rap?
Mkuu mwaga material hapa tuchanganue.Kwa bahati mbaya huyo Mungu wa dini zote ni Mmoja, na ndiye huyo huyo aliamua kuleta tofauti hizi za dini kwa madhumuni yake mwenyewe.
Muumba wa kweli Alishasahaulika zamani sana ,pale taifa lake la watu halali(black people) ktk dunia hii walipomuhasi na kukumbatia tamaduni za wapagani(white people).
Hicho kitabu chenu muitacho biblia mbona mnatumia ile ile waliyokuwa wakiiitumia wakatoric pia kama hayo madhehebu yalijiona yako sahihi basi yasingeishia tu kuhariri mifumo ya kanisa, bali walitakiwa kufumua mpaka maandiko ktk biblia ambayo baadhi hayakuwa halali maana yaliandikwa kwa kupotosha na uongo mwingi, hivyo basi ingehitajika wao Kama wanae Roho mtakatifu awaongoze walete maandiko yasiyo na makosa, pia kurudisha baazi ya vitabu vilivyofutwa kwa makusudi.
Shetan ndye anaeabudiwa na Dini zote na makanisa yote.
Hakuna nabii,mchungaji, askofu, mtume ama mwinjilisti wa kwel nyakati hizi, kwakuwa nyote mnafundisha uongo ule ule uliowekwa na mrumi.
Hivyo basi ili kumtambua mtumishi wa kweli nyakati hizi ni lazima akanushe uongo wa mafundisho ya dini zote, pia aoneshe madhaifu ya misahafu yote, pia kufunua mikanganyiko ya vitabu hivi vya dini bila kumuonea aibu mtu yeyote kuwa atachukia ama atakuwaje.
Shetan tangu afukuzwe ktk imaya ya viumbe wa roho(mbingu) aliamua kujimilikisha hii dunia, kwanzia kujipa cheo cha Umungu, pia kuchukuwa mamlaka ya urithi wa mtu mweusi kwa kuukabizi kwa taifa feki la hao watu weupe,ili aitawale dunia atakavyo.
Nowadays shetan ni huyo aitwae kwa majina tofaut tofaut ktk dini, mfano Allah, Jesus, Jehovah, elishadai,elohim, alpha and Omega, Mwenyezi Mungu, bwana, haya yote ni majina yake ktk uhusika tofaut kulingana na mazingira,tamaduni na jamii husika hapo ndipo chanzo cha dini zote.
Hakuna ukweli wowote ktk biblia&quran mnapoteza muda wenu buree kuviabudu viumbe visivyo halali.
mkoloni si mjinga kukupa biblia eti akusaidie ww kwenda mbingun kwa upendo gani kwako?, kwanza hizo mbingu zao hazipo na hazijawai kuwapo, bali kuna ulimwengu wa viumbe wa kiroho ambao ni tofaut na hayo mastor yenu ya uongo eti kuna malaika, sjui kuna wazee24 na Mungu akizungukwa huo ni uongo mkubwa.
Ulimwengu wa Roho ambao viumbe wa Muumba wanaishi unajumuishwa na viumbe halali ambao wao wana asili sawa na mtu wa kwanza kuumbwa, ambae ni mweusi, ktk dini zenu hawawez kuwaambia haya mambo, ila ukwel ni kwamba malaika,maserafi& makerubi mionekano yao wote ni mfano wa mtu mweusi aliyeumbwa kutoka ktk materials za udongo, pia spiritual DNA zao ni sawa na mtu mweusi ambaye ndie mtu Original tofaut na hizo rangi zingine za laana ambazo zlkuja dunian kwa bahat mbaya kwa malengo ya kumtawala mtu mweusi,kumtumikisha na kuiharibu asili ya dunia kama vile baba yao shetan(jesus/azazel,Allah,yehova) apendavyo kuiharibu dunia.
Kuna mengi ya kujifunza, next time nitawawekea referencesView attachment 2104578
Hiyo inamwathiri vipi muumini wa kawaida?karibu tujadiliane, je huoni kuwa huko kusali kumejificha nyuma mgongo wa shetani....ambaye ndiye anayewatumia mawakala wake freemasons
na kazi kubwa ya kuingiza hizo taratibu, na mfundisho kama unyakuo wa siri, sikukuu za kipagani, kuzalisha manabii fake zinafanywa na kikundi kiitwacho KNIGHT OF TEMPLAR
Hiyo inamwathiri vipi muumini wa kawaida?
Asante kwa mchango wako ndugu yanguNamba ya siri inayotawala dunia
Hivi ni kwa nini iwe MPINGA KRISTO TU? NA SIYO MPINGA MUHAMMAD? ?www.jamiiforums.com
Hakika....
Rap kufoka foka ilianzishwa na mablacks wapigania usawa wakipinga dhuluma za kuonewa na weupe enzi za ushenzi kabla dunia haijastarahabika. Rap ilitokana na stress na misongo ya maisha ya kibaguzi.Hatari sana, walokole na rap hebu fafanua kidogo hapo