Freemasons ndani ya Makanisa

Freemasons ndani ya Makanisa

Tatizo lako una majibu yko pmbni kwaio hutaki hoja za wengine we endelea tu na maisha yko
HAKUNA MAHALI NIMEKATAA HOJA ZA WENGINE

Pia inajulikana wazi kwamba kiti cha upapa kilitoka katika upagani wa Uislamu; Alexander Hislop, akizungumza juu ya kiti cha enzi cha Petro au kiti cha enzi anachokalia Papa, anasema “wakati askari wa Ufaransa chini ya Jemedari Bonaparte walipoimiliki Roma mwaka 1795, walikuta nyuma yake, kwa Kiarabu, sentensi hii inayojulikana sana kutoka kwenye Korani, “Hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu, na Mohhomed ni Mtume Wake” — (The Two Babylons, Page 213, Chapter 6, Religious Orders, Section L).

Je Kanisa katoliki linafundisha nini kuhusu dini ya Uislamu? Katekism ya katoliki inasema: “Mpango wa wokovu pia unajumuisha wale wanaomkubali Muumba, katika nafasi ya kwanza miongoni mwao ni Waislamu, hawa wanasema kuwa wanashikilia imani ya Ibrahimu, na pamoja na sisi wanamsifu Mungu mmoja, Mungu mwenye huruma, hakimu wa wanadamu siku ya mwisho.” — (Catechism of the Catholic Church #841)

Hivyo, Kanisa Katoli lilivumbua na linakili kwamba wao na waislamu wanaabudu Mungu mmoja tu. Naamini Katekisimu yao inasema ukweli; kwamba wakatoliki na waislamu wanaabudu Mungu mmoja
 
Malogo designers muda sio mrefu wataitwa mafreemason. Maana k

Inaathali gani kwa waumini. Au inawatupia majini.


Unaweza kuweka ushahidi wakirfreemason kutenganisha maoni yako na mafreemason
Ina athari , unapoona alama au ukagundua ipo, inamaana wahusika wapo

hivo jua MAFUNDISHO YAO yapo hapo unaposali

athari yake ni kulishwa mafundisho ya uongo , na kupotea

ukitaka ushahidi TAJA KANISA au DHEHEBU lalo , nikupe ushahidi kuwa wapo na wameshaweka mafundisho yao

unapaswa kujua kanuni tatu ( 3) muhimu ambazo ndizo msingi wa
freemason/illuminati:

1)Thesis x Antithesis = Synthesis;
2) Hesabu na namba za freemason; na
3)Alama na ishara za freemason.


uwezi kuelezea freemason kwa ufasaha kama hutazingatia kanuni hizo tatu. ‘Thesis x Antithesis = Synthesis’ ndiyo kanuni inayotawala kwa freemason na kutekelezeka kwake kunategemea hesabu na namba pamoja na alama na ishara za freemason. Kwa nini wanatumia kanuni ya alama na ishara?

wanasema “By symbols…is a man guided and commanded… ” wakimaanisha kuwa “watu huamrishwa na kuongozwa kwa kutumia alama”.

Ndio maana hata waumini wengi wanaongozwa kwa kutumia alama ama ya nyota ya pentagram, jua, mwezi au msalaba.

Kwa nini wanatumia kanuni ya namba? Kwa sababu “Occultists Worship Numbers and numbers have power”.

Hivyo kama umepungukiwa na moja ya kanuni hizo ni wazi kwamba utafiti wako utapungua pia.
 
Kitu ambacho niliisha shindwa kukielewa ni juu ya walokole wanaonena kwa lugha huwa wanaelewa maana ya vitu wanavyo nena?
 
Ina athari , unapoona alama au ukagundua ipo, inamaana wahusika wapo

hivo jua MAFUNDISHO YAO yapo hapo unaposali

athari yake ni kulishwa mafundisho ya uongo , na kupotea

ukitaka ushahidi TAJA KANISA au DHEHEBU lalo , nikupe ushahidi kuwa wapo na wameshaweka mafundisho yao

unapaswa kujua kanuni tatu ( 3) muhimu ambazo ndizo msingi wa
freemason/illuminati:

1)Thesis x Antithesis = Synthesis;
2) Hesabu na namba za freemason; na
3)Alama na ishara za freemason.


uwezi kuelezea freemason kwa ufasaha kama hutazingatia kanuni hizo tatu. ‘Thesis x Antithesis = Synthesis’ ndiyo kanuni inayotawala kwa freemason na kutekelezeka kwake kunategemea hesabu na namba pamoja na alama na ishara za freemason. Kwa nini wanatumia kanuni ya alama na ishara?

wanasema “By symbols…is a man guided and commanded… ” wakimaanisha kuwa “watu huamrishwa na kuongozwa kwa kutumia alama”.

Ndio maana hata waumini wengi wanaongozwa kwa kutumia alama ama ya nyota ya pentagram, jua, mwezi au msalaba.

Kwa nini wanatumia kanuni ya namba? Kwa sababu “Occultists Worship Numbers and numbers have power”.

Hivyo kama umepungukiwa na moja ya kanuni hizo ni wazi kwamba utafiti wako utapungua pia.
Tukitolea mfano SDA mafreemason wako tangu imani hiyo inaanza.

Mfano EGWhite alimsaidia mmoja alikuwa grand master Australia wa lodge zaidi ya sits na hii logo haikuwepo.

Huoni maelezo yako yanakoswa mashiko.

Huyo jamaa kanisani alikuwa mhazini mkubwa tu
 
Siku hizi imani zimevamiwa na wahuni badala ya kuhubiri amani, upendo na kujitoa kwa wenye matatizo wao wanageuza shida za binadamu kuwa fursa
 
Siku hizi imani zimevamiwa na wahuni badala ya kuhubiri amani, upendo na kujitoa kwa wenye matatizo wao wanageuza shida za binadamu kuwa fursa na kuwapiga pesa kwa kuwafariji.
 
Tukitolea mfano SDA mafreemason wako tangu imani hiyo inaanza.

Mfano EGWhite alimsaidia mmoja alikuwa grand master Australia wa lodge zaidi ya sits na hii logo haikuwepo.

Huoni maelezo yako yanakoswa mashiko.

Huyo jamaa kanisani alikuwa mhazini mkubwa tu

Tukitolea mfano SDA mafreemason wako tangu imani hiyo inaanza.

Mfano EGWhite alimsaidia mmoja alikuwa grand master Australia wa lodge zaidi ya sits na hii logo haikuwepo.

Huoni maelezo yako yanakoswa mashiko.

Huyo jamaa kanisani alikuwa mhazini mkubwa tu
alimsaidiaje? kumbuka, wameingia miaka ya 1900s, japo mwishoni mwa uhai wake alioneshwa ujio wao ndani ya kanisa,na sijasema wameingia juzi walipoingiza hiyo logo, huo nilitolea mfano tu...nina mifano mingi tu ..

Ndio maana kuna nukuu EGW, anasema GC imepitwa na wakati haifai kusikilizwa tena sio sauti ya MUNGU...ni miaka ya 1900s
 
Kitu ambacho niliisha shindwa kukielewa ni juu ya walokole wanaonena kwa lugha huwa wanaelewa maana ya vitu wanavyo nena?
hawaelewi hiyo lugha maana yake, na hawajui imetoka wapi, wao husema ni ROHO MTAKATIFU
 
Malogo designers muda sio mrefu wataitwa mafreemason. Maana k

Inaathali gani kwa waumini. Au inawatupia majini.


Unaweza kuweka ushahidi wakirfreemason kutenganisha maoni yako na mafreemason
Ieleweke kwamba unapozungumzia Illuminati, unazungumzia ibada na utawala katika jamii, kama vile mnyama wa namba 666 anavyojishughulisha na ibada na utawala.

Mmoja wa waumini wa Illuminati mwenye digrii 33 ambaye aliwahi kuwa kiongozi mkuu wa Illuminati nchini Marekani Dr. Albert Pike, anasema,

namnukuu: “Every Masonic Lodge is a temple of religion, and its teachings are instruction in religion” (Albert Pike, Morals and Dogma, P. 213.) Kwamba

“kila Loji (Jumba au kituo) ya Freemason ni hekalu la mambo ya dini, na mafundisho yake ni maagizo katika dini.”

Unapoingia kwenye Loji za Freemason utakuta kuna Biblia ya toleo la King James ikiwa imewekwa juu ya madhabahu (Altare) ya Loji hiyo.

Bw. Albert anaendelea kusema kwamba: “Freemasonry is a search for Light. That search leads us directly back, as you see, to the Kabalah.” [Albert Pike, Morals and Dogma, p. 741] Kwamba “Kazi ya Freemason ni kutafuta nuru. Na kutafuta huko kunatufanya, kama unavyoona, tujielekeze Kabalah.”

Katika dini ya Uislamu kuna kitu kinachoitwa الكعبة yaani al-Kabah huko Mecca Saud Arabia. Illuminati nao wana kitu kinachoitwa Kabalah.
 
alimsaidiaje? kumbuka, wameingia miaka ya 1900s, japo mwishoni mwa uhai wake alioneshwa ujio wao ndani ya kanisa,na sijasema wameingia juzi walipoingiza hiyo logo, huo nilitolea mfano tu...nina mifano mingi tu ..

Ndio maana kuna nukuu EGW, anasema GC imepitwa na wakati haifai kusikilizwa tena sio sauti ya MUNGU...ni miaka ya 1900s
Thibitisha wameingia juzi ... Maana Mimi nimesoma EGW akitumia zaidi ya mwaka kumsaidia kingozi mkubwa wa SDA ambaye hakuwa tu Freemason Bali Mkuu wa lodge sits kubwa Australia nzima.


Mbona kama naona ugeni kwenye sentenso zako.
Kanisani anaingia yoyote tu. Kuhani Mkuu aliwahi kuwa agent wa sanbarat enzi za Nehemiah. Sioni kipya
 
Thibitisha wameingia juzi ... Maana Mimi nimesoma EGW akitumia zaidi ya mwaka kumsaidia kingozi mkubwa wa SDA ambaye hakuwa tu Freemason Bali Mkuu wa lodge sits kubwa Australia nzima.


Mbona kama naona ugeni kwenye sentenso zako.
Kanisani anaingia yoyote tu. Kuhani Mkuu aliwahi kuwa agent wa sanbarat enzi za Nehemiah. Sioni kipya
andika vzr, halafu soma vzr, na hakuna sehemu nimesema wameingia juzi,jitahidi kusoma vzr na pia kuandika vzr,

na hadi sasa sijajua hoja yako ni ipi, kuingia kwa logo nimetolea mfano tu ,
 
HAKUNA MAHALI NIMEKATAA HOJA ZA WENGINE

Pia inajulikana wazi kwamba kiti cha upapa kilitoka katika upagani wa Uislamu; Alexander Hislop, akizungumza juu ya kiti cha enzi cha Petro au kiti cha enzi anachokalia Papa, anasema “wakati askari wa Ufaransa chini ya Jemedari Bonaparte walipoimiliki Roma mwaka 1795, walikuta nyuma yake, kwa Kiarabu, sentensi hii inayojulikana sana kutoka kwenye Korani, “Hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu, na Mohhomed ni Mtume Wake” — (The Two Babylons, Page 213, Chapter 6, Religious Orders, Section L).

Je Kanisa katoliki linafundisha nini kuhusu dini ya Uislamu? Katekism ya katoliki inasema: “Mpango wa wokovu pia unajumuisha wale wanaomkubali Muumba, katika nafasi ya kwanza miongoni mwao ni Waislamu, hawa wanasema kuwa wanashikilia imani ya Ibrahimu, na pamoja na sisi wanamsifu Mungu mmoja, Mungu mwenye huruma, hakimu wa wanadamu siku ya mwisho.” — (Catechism of the Catholic Church #841)

Hivyo, Kanisa Katoli lilivumbua na linakili kwamba wao na waislamu wanaabudu Mungu mmoja tu. Naamini Katekisimu yao inasema ukweli; kwamba wakatoliki na waislamu wanaabudu Mungu mmoja
Uislamu haupatikani mitandaoni kma kweli una hamu ya kuujua uislamu basi nenda ukausome kwanza hlf ndo utakapojua kua umedanganywa mengi kuhusu Uislamu
 
Kanisa Katoliki la Kirumi lilianzishwa karibu 314 AD na Mfalme wa kipagani Konstantino
La kirumi lilianza baada ya "great schism" ya mwaka 1054 kabla ya hapo kulikua na katoliki 1 tu ambayo ilijumuisha na makanisa ya mashariki, na kila eneo(bara) lilikua na makao makuu yake ambayo yalitokana na mtume alieenda kuanzisha kanisa eneo husika na kila mkuu wa eneo husika alikua na nguvu sawa na wengine, shida warumi tamaa za kiutawala ziliwajaa ndo hadi huo mwaka wakatengana na wenzao na kumpa papa nguvu kubwa ya kiutawala na katoliki ya warumi ikawa kama chombo cha utawala cha warumi badala ya kua tu kanisa kama wenzao waliotengana nao
 
Ieleweke kwamba unapozungumzia Illuminati, unazungumzia ibada na utawala katika jamii, kama vile mnyama wa namba 666 anavyojishughulisha na ibada na utawala.

Mmoja wa waumini wa Illuminati mwenye digrii 33 ambaye aliwahi kuwa kiongozi mkuu wa Illuminati nchini Marekani Dr. Albert Pike, anasema,

namnukuu: “Every Masonic Lodge is a temple of religion, and its teachings are instruction in religion” (Albert Pike, Morals and Dogma, P. 213.) Kwamba

“kila Loji (Jumba au kituo) ya Freemason ni hekalu la mambo ya dini, na mafundisho yake ni maagizo katika dini.”

Unapoingia kwenye Loji za Freemason utakuta kuna Biblia ya toleo la King James ikiwa imewekwa juu ya madhabahu (Altare) ya Loji hiyo.

Bw. Albert anaendelea kusema kwamba: “Freemasonry is a search for Light. That search leads us directly back, as you see, to the Kabalah.” [Albert Pike, Morals and Dogma, p. 741] Kwamba “Kazi ya Freemason ni kutafuta nuru. Na kutafuta huko kunatufanya, kama unavyoona, tujielekeze Kabalah.”

Katika dini ya Uislamu kuna kitu kinachoitwa الكعبة yaani al-Kabah huko Mecca Saud Arabia. Illuminati nao wana kitu kinachoitwa Kabalah.
Al kabah ni tofauti kabisa na kabalah.........kabalah ni kitabu(mafunzo ya wayahudi) na ina mambo mengi ya occultism , wanaofata mafundisho ya kabalah nao wanasema wanaisaka nuru
 
napenda tujadiliane kwa hoja, kama unadhani UISLAMU ni dini salama umepotea, ndio maana nimekuuliza unajua hata kuwa uislamu umeanzishwa na wakatoliki? je unajua kuwa hata mtume wako muhamad alibashiriwa utume na PADRI WARAQA,


Hivi unajua Papa anaruhusiwa kuingia msikitini na viatu ila ninyi wengine mnavua?

Halafu mkija huku nje mnatulaumu tunaingia patakatifu na viatu....vipi mlishindwa kumvua papa viatu? au ndio tuseme ndiye grand master wa Islam?
View attachment 2106908
Nionyeshe wapi Uislamu umekataza kuingia na viatu msikitini ? weka maandiko . Mimi nilijua una nondo za maana kuhusu Uislamu nikawa nasubiri hoja zako lkn umeanza na bonge la chai

Kwa taarifa fupi tu Uislamu unaruhusu kuswali na viatu ihlahi viwe visafi bila najisi ila waumini wengi kuhofia kwao kukanyaga uchafu kwenye viatu bila kujua ndio na possibility ya hiyo ni kubwa hapo mazoea ya kuswali bila viatu yakajengeka lkn Muislamu mdau wowote ule anaweza kuswali na viatu

Waraqa hakuwa Padri bali alikuwa mwanazuoni wa Kinasara(kikisto) wale miongoni mwa wale waliokuwa wakifuata mafundisho sahihi ya ukiristo hivyo alitambua kua Mtume wa mwisho lazima atakuja na dalili zake ni zipi kwani zimetajwa kwenye injili na taurati Og kabla hazibadilishwa baadhi ya vifungu
 
Uislamu haupatikani mitandaoni kma kweli una hamu ya kuujua uislamu basi nenda ukausome kwanza hlf ndo utakapojua kua umedanganywa mengi kuhusu Uislamu
Kweli kabisa , nguvu kubwa inatumika Ktk kupaka Uislamu matope na uzuri kwenye Uislamu huwezi kuzua jambo la wowote lazima litakuwa limeshabainishwa hata ubuni vipi
 
Nionyeshe wapi Uislamu umekataza kuingia na viatu msikitini ? weka maandiko . Mimi nilijua una nondo za maana kuhusu Uislamu nikawa nasubiri hoja zako lkn umeanza na bonge la chai

Kwa taarifa fupi tu Uislamu unaruhusu kuswali na viatu ihlahi viwe visafi bila najisi ila waumini wengi kuhofia kwao kukanyaga uchafu kwenye viatu bila kujua ndio na possibility ya hiyo ni kubwa hapo mazoea ya kuswali bila viatu yakajengeka lkn Muislamu mdau wowote ule anaweza kuswali na viatu

Waraqa hakuwa Padri bali alikuwa mwanazuoni wa Kinasara(kikisto) wale miongoni mwa wale waliokuwa wakifuata mafundisho sahihi ya ukiristo hivyo alitambua kua Mtume wa mwisho lazima atakuja na dalili zake ni zipi kwani zimetajwa kwenye injili na taurati Og kabla hazibadilishwa baadhi ya vifungu
Warumi wamechakachua sana mafundisho ya mwanzoni ya ukristo na kuweka mambo yao
 
Shida inakuja tuamini kipi? Maana hao hao ndio walikaa wakatupangia tusomeni nini na tuache nini wakaunda biblia. Je tutaamin vip wenda ata hvyo vitabu walivyopisha walipitisha kwa maslai yao binafsi na madhehebu mengne nikama vile yameshindwa kuwa na uwalali wa kupinga kuruhusu na kukataliwa kwa vitabu mda biblia inaundwa
Warumi wamechakachua sana mafundisho ya mwanzoni ya ukristo na kuweka mambo yao
 
napenda tujadiliane kwa hoja, kama unadhani UISLAMU ni dini salama umepotea, ndio maana nimekuuliza unajua hata kuwa uislamu umeanzishwa na wakatoliki? je unajua kuwa hata mtume wako muhamad alibashiriwa utume na PADRI WARAQA...
Waislamu sisi tunaenda na Ushahidi wa Aya au hadithi sahihi sasa weka hadithi inokataza Mtu kuingia na Viatu msikitini ni haramu hlf ukikosa iyo hadithi nambie nikuelimishe
 
Back
Top Bottom