Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Wasabato bana sasa unafikiri kuna mtu atakaa chini asome thread yote hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UISLAMU SIYO DINI YA KWELI MAANA IMEGAWANYIKA MADHEHEBU 73 MAKUBWA NA MADOGO MAMILIONI KWA MAMILION NA KILA MMOJA ANAMSIMAMO WAKE HASA WENGINE WANASEMA MUHAMMAD SI MTUME WA MUNGU NA QUR'AN SIYO MANENO YA MUNGU BALI UCHAWI NA MAUZAUZA NA ALLAH HANA UWEZO WA KUWANGAMIZA VIUMBE WAKE WOTE USHAHIDI HUU CHINIHana hoja uyo zaidi ya chuki
Wanakera sana hakuna dhehebu lilikamilika kwa sababu hayo madhehebu yanaongozwa na wanadamu ambao hawajakamilika ndo maana Mungu akatuletea neemaYani wao ni mawakala wa shetani haswa, Hawajui ata historia yao. Waulize james smith ni nani? na alikuwa freemason tena anajulikana ni freemason, wao sasa wanajikuta wanajuaaa.
umesshikiwa fimbo au kulazimishwa?Wasabato bana sasa unafikiri kuna mtu atakaa chini asome thread yote hiyo?
hii ndio neemaWanakera sana hakuna dhehebu lilikamilika kwa sababu hayo madhehebu yanaongozwa na wanadamu ambao hawajakamilika ndo maana Mungu akatuletea neema
We ni mjinga na mim Sinaga mda wa kubishana na wajinga, tokea January mpaka December ndo vitu mnavyojadili kwenye lesson in short hamnaga jipyahii ndio neema
View attachment 2113507
heri wewe mwenye hekima ambaye unaenda kutubu dhambi na kuungama kwa padriWe ni mjinga na mim Sinaga mda wa kubishana na wajinga
Only God can judge me na sio wewe mwanadamu,heri wewe mwenye hekima ambaye unaenda kutubu dhambi na kuungama kwa padri
View attachment 2113513
huyo aliyekwambia iliandikwa na freemason mmedanganyana, shambulia hoja acha kulalamikaOnly God can judge me na sio wewe mwanadamu,
niliwadharau sana wasabato baada ya kusema biblia imeandikwa na freemason alafu mda huo huo wanaendelea kuitumia kama reference niliwadharau sana
mnasema warumi ni freemason mda huo huo mnatumia hii calendar Yao ambayo tunaitumia Sasa nikaona hawa watu hawajielewi
Wasabato wanasema biblia imeandikwa na freemasons huku bado wanaitumia, na wanatumia calenders ya warumi ambao wao wanasema ni freemasons hivi ni vibwekahuyo aliyekwambia iliandikwa na freemason mmedanganyana, shambulia hoja acha kulalamika
WAKATOLIKI wana mwanadamu waliempa jina lenye wadhifa na wasifu wa Mungu peke yake, yaani " Baba Mtakatifu"
Soma: Yohana 17:11Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.
Umeona hiyo aya inavobainisha kuwa "Baba Mtakatifu" ni jina la Mungu?
Lakini Wakatoliki wana babao mtakatifu mwingine!!!!!? KUFURU!.
View attachment 2113521
We endeleza propaganda zako za kirumiUISLAMU SIYO DINI YA KWELI MAANA IMEGAWANYIKA MADHEHEBU 73 MAKUBWA NA MADOGO MAMILIONI KWA MAMILION NA KILA MMOJA ANAMSIMAMO WAKE HASA WENGINE WANASEMA MUHAMMAD SI MTUME WA MUNGU NA QUR'AN SIYO MANENO YA MUNGU BALI UCHAWI NA MAUZAUZA NA ALLAH HANA UWEZO WA KUWANGAMIZA VIUMBE WAKE WOTE USHAHIDI HUU CHINI
WAISLAMU KILA SIKU UTASIKIA DINI YA UISLAMU TU NDIYO DINI INAYOKUBALIKA KWA ALLAH WAO LAKINI HAWATWAMBII MACHAFU YALIYOMO KATIKA MADHEHEBU YAO JE MIMI NIKITAKA KUWA MWISLAMU NITAKUWA DHEHEBU LIPI KATIKA HAYA MADHEHEBU 73 JAMANI NAKWANIN MWINGINE YANASEMA QUR'AN SIYO KITABU CHA MUNGU NA MUHAMMAD SI MTUME WA MUNGU?
SWALI INAKUWAJE UISLAMU UWE NA MADHEHEBU 73 MAKUBWA NA MADOGO MAMILIONI KWA MAMILION ? IKIWA NDIYO DINI YA MUNGU?
NDIYO MAANA MIMI NASEMA UISLAMU SIYO DINI MUNGU KWA SABABU HIZI CHINI?
DINI YA UISLAMU INACHUKI KUBWA JUU YA WAKRISTO USHAHIDI HUU HAPA
Quran 5:14 Na kutoka kwa wale walio sema: Sisi ni Wakristo , tulichukua ahadi yao, lakini wakasahau sehemu ya waliyo kumbushwa. Kwa hivyo tukaweka kati yao uadui na chuki mpaka Siku ya Kiyama. Na hapo Allah atawaambia waliyo kuwa wakiyafanya.![]()
ALLAH NA MUHAMMAD WANACHUKI KUBWA JUU YA WAKRISTO NA WAYAHUDI (AMBAO SIYO WAISLAMU)
Quran 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Allah hawaongoi watu wenye kudhulumu![]()
Qur'an 5:57. Enyi mlio amini! Msiwafanye marafiki wale walio ifanyia kejeli na mchezo Dini yenu( ya Uislamu) miongoni mwa walio pewa Kitabu kabla yenu(Wakristo na Wayahudi), na makafiri wengine. Na mcheni Allah kama nyinyi ni wenye kuamini![]()
HII DINI YA ALLAH INACHUKI KUBWA KWA WASIO KUWA WAISLAMU IMEAGIZA NI MARUFUKU KUHUZURIA HATA KWENYE MISIBA AKIFARI ASIYE MWISLAMU
leta ushahidi kuwa wasda wanasema imeandikwa na freemason, maana unashambulia watu na sio hojaWasabato wanasema biblia imeandikwa na freemasons huku bado wanaitumia, na wanatumia calenders ya warumi ambao wao wanasema ni freemasons hivi ni vibweka
Source yeyote ya kanisa la rumi baada ya 1054 ni kwa ajili ya waaminio hilo kanisa tu ila kwa wengine ni propaganda tu ......kwahio yote hayo ulioandika yana ukweli kwa mtizamo wa kirumi tu na vikanisa vyake vilivyo anzia kwao...........siku zote huwezi kuamini source za magharibi kukupa taarifa za maisha ya mashariki.....kwa upendo gani akuweke wazi ili afunike agenda zake?ulichokuwa unabisha nini? halafu unajitapa mimi ni mweupe, leta ushahidi sasa kuwa khadija alikuwa mkatoliki wa ordhodox, sio maneno yako tu,
Nukuu muhimu tunayoweza
kuichukua kutoka kwa Ignatius wa Loyola ni hii:
“That we may be altogether of the same mind and in conformity with the Church herself,
if she shall have defined anything to be black which appears to our eyes to be white, we
ought in like manner to pronounce it to be black. For we must undoubtingly believe, that
the Spirit of our Lord Jesus Christ, and the Spirit of the Orthodox Church His Spouse, by
which Spirit we are governed and directed to Salvation, is the same.” [Ignatius Loyola,
Spiritual Exercises, Rule 13 Henry Bettenson, ed., Documents of the Christian Church,
2nd ed. (London: Oxford University Press, 1963), p. 260.]
“Kwamba wote tuwe na nia moja na kukubaliana na kanisa, kama limetafsiri kitu
chochote kuwa ni cheusi wakati kinaonekana machoni mwetu kuwa ni cheupe, tunapaswa
kukitangaza kuwa ni cheusi. Maana bila shaka tunapaswa kuamini, kwamba roho wa
bwana wetu Yesu kristo, na roho wa kanisa la Orthodox ndugu yake, roho ambaye
anatuongoza katika wokovu, ni yule yule.” [Ignatius Loyola, Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed., Documents of the Christian Church, 2nd ed. (London: Oxford
University Press, 1963), p. 260.]
Kwa mujibu wa Ignatius Loyola, kanisa Katoliki na kanisa la Orthodox ni ndugu
mmoja na wote wanaongozwa na roho mmoja.
roma ipo kabla ya huo uislamu, na ndio waanzilishi wa huo uislamuWe endeleza propaganda zako za kirumi
Kwani kanisa nini chief. Tujue kwanza hapo.Yaani hata sijasoma hicho kitabu chako ila nashangaa kwamba wengi ukiwemo na wewe ulikuwa hamjui.
Wengi wa viongozi wa makanisa ni part of freemason, nimeona nembo ya Wasabato hapo they was in many years ago but hawakuwa wazi mpaka majuzi tu mambo yalipokuwa kombo ndani mwao kwa watu kuhoji sana kubadilishwa kwa nembo.
Kwa huyo mzee papa hao hawana shida, kwani ni sehemu ya viongozi wakubwa wa masonic.
roman empire ilipoanguka tu ,kilichoibuka ni roman catholic ,hii inathibitishwa hata na bibliaSource yeyote ya kanisa la rumi baada ya 1054 ni kwa ajili ya waaminio hilo kanisa tu ila kwa wengine ni propaganda tu ......kwahio yote hayo ulioandika yana ukweli kwa mtizamo wa kirumi tu na vikanisa vyake vilivyo anzia kwao...........siku zote huwezi kuamini source za magharibi kukupa taarifa za maisha ya mashariki.....kwa upendo gani akuweke wazi ili afunike agenda zake?
Nilete ushahidi upi nawakati ndo kinachohubiriwa na wasabato kwenye lesson kuanzia January mpaka Decemberleta ushahidi kuwa wasda wanasema imeandikwa na freemason, maana unashambulia watu na sio hoja
Source yeyote ya kanisa la rumi baada ya 1054 ni kwa ajili ya waaminio hilo kanisa tu ila kwa wengine ni propaganda tu ......kwahio yote hayo ulioandika yana ukweli kwa mtizamo wa kirumi tu na vikanisa vyake vilivyo anzia kwao...........siku zote huwezi kuamini source za magharibi kukupa taarifa za maisha ya mashariki.....kwa upendo gani akuweke wazi ili afunike agenda zake? Huyo unae mquote mwenyewe tayari ni uzao wa warumi.......ulichokuwa unabisha nini? halafu unajitapa mimi ni mweupe, leta ushahidi sasa kuwa khadija alikuwa mkatoliki wa ordhodox, sio maneno yako tu,
Nukuu muhimu tunayoweza
kuichukua kutoka kwa Ignatius wa Loyola ni hii:
“That we may be altogether of the same mind and in conformity with the Church herself,
if she shall have defined anything to be black which appears to our eyes to be white, we
ought in like manner to pronounce it to be black. For we must undoubtingly believe, that
the Spirit of our Lord Jesus Christ, and the Spirit of the Orthodox Church His Spouse, by
which Spirit we are governed and directed to Salvation, is the same.” [Ignatius Loyola,
Spiritual Exercises, Rule 13 Henry Bettenson, ed., Documents of the Christian Church,
2nd ed. (London: Oxford University Press, 1963), p. 260.]
“Kwamba wote tuwe na nia moja na kukubaliana na kanisa, kama limetafsiri kitu
chochote kuwa ni cheusi wakati kinaonekana machoni mwetu kuwa ni cheupe, tunapaswa
kukitangaza kuwa ni cheusi. Maana bila shaka tunapaswa kuamini, kwamba roho wa
bwana wetu Yesu kristo, na roho wa kanisa la Orthodox ndugu yake, roho ambaye
anatuongoza katika wokovu, ni yule yule.” [Ignatius Loyola, Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed., Documents of the Christian Church, 2nd ed. (London: Oxford
University Press, 1963), p. 260.]
Kwa mujibu wa Ignatius Loyola, kanisa Katoliki na kanisa la Orthodox ni ndugu
mmoja na wote wanaongozwa na roho mmoja.
Wasabato wanatumia calender ya freemason freemason (roman calenders) kwanin wasabato mnatumia kalender ya warumi na sio calenders ya kisabatoroman empire ilipoanguka tu ,kilichoibuka ni roman catholic ,hii inathibitishwa hata na biblia
Nabii Danieli anaiona PEMBE NDOGO inazuka ghafla ambayo iko kwa namna hii,
"..... na tazama, katika pembe hiyo MLIKUWA NA MACHO KAMA MACHO YA MWANADAMU, na KINYWA KILICHOKUWA KIKINENA MANENO MAKUU"- (Dan.7:8)
-Pembe Ndogo inaonekana ina macho kama ya mwanadamu, na mbaya zaidi Pembe Ndogo INANENA MANENO MAKUU. Hapa tunakuja kumwona Nabii Yohana akija kuzungumzia juu ya Pembe Ndogo aliyoiona Nabii mwenzake Danieli, lakini Yohana katika njozi yake alimwona Mnyama akitokea Baharini- (Ufu.13:1). Mnyama toka Baharini ndiyo yuleyule anayezungumziwa na Nabii Danieli kama Pembe Ndogo. Sasa, tabia ya Mnyama toka Baharini naye ANANENA MANENO MAKUU tena YA MAKUFURU. Nabii Yohana alisema,
"Naye akapewa kinywa cha kunena MANENO MAKUU, YA MAKUFURU"- (Ufu.13:5)
-Naam, baada ya Utawala wa Rumi ya Kipagani, kilichofuata ni Utawala wa Rumi ya Kidini, yaani Upapa(Sio Papa, bali ni Upapa), hivyo Pembe Ndogo au Mnyama toka Baharini ni Upapa ambao umetokea kwenye ufalme wa Rumi ya Kipagani na ndo maana analiongoza kanisa la Roma(Roman Catholic Church), yaani katika Ufalme wa Roma, kuna kanisa ambalo linaongozwa na Pembe Ndogo. Lakini, tunaona Pembe Ndogo inanena MANENO MAKUU YA MAKUFURU. Je, KUFURU NI KITU GANI? Kamusi ya Kiswahili Sanifu, Uk.278 inasema,
"Kufuru ni sema jambo ambalo ni kinyume na imani ya dini "
-Kumbe, Kufuru ni lazima ihusiane na imani. Hakuna kufuru katika uchumi, siasa, n.k., bali kufuru imejikita katika imani au dini. Kwa ufupi ni kuwa KUFURU NI KUSEMA KINYUME NA MUNGU. Hii ni kulingana na muktadha wa Biblia. Ndo maana Nabii Danieli akiwa anaielezea Pembe Ndogo, alisema,
"Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu,.......; naye ataazimu kubadili majira na sheria...."- (Dan.7:25)
“Kwa kutumia mbinu hii ya kutafsiri unabii, kanisa la Roma lilionekana wazi kuhusika
na unabii huu wa pembe ndogo katika Daniel 7, na mnyama wa Ufunuo 13:1, mwanamke
wa Ufunuo 17, ikiwa ni pamoja na kichwa cha kanisa kuwakilisha Mtu wa Kuasi wa 2
Wathesalonike 2. Kadri mafundisho haya yalivyozidi, kanisa la Roma lililazimika
kujilinda dhidi ya kuongezeka kwa ushahidi wa unabii wa Biblia kulihusisha kanisa hilo.
Hivyo upapa ukaanza kuweka mipango ya kuwapinga waprotestant kwa kuanzisha
‘Jesuit society’ ili kisaidie kufundisha mafundisho ya kanisa na kuharibu mafundisho na
vitabu vyote vilivyokuwa kinyume na kanisa na kuanzisha “Holy Office of the
Inquisition” maalumu