French President Macron To Announce: "Europe is at war with Russia" on June

French President Macron To Announce: "Europe is at war with Russia" on June

Hicho kibao kimoja ameshindwaje kumpiga Ukraine..? Tupe ushahidi kwamba majeshi ya Ufaransa tayari yalikuwa yameshaingia Ukraine vinginevyo ni porojo zilezile za masjid ubwabwa za jua kuzama kwenye tope.
Ufaransa hii iliyopigwa ndani ya wiki 6 na Hitler na wanajeshi wao wakavalishwa nguo za kike na kupangwa mstari wakati Hitler anaingia ufaransa huku wakimshangilia kama wao cheerleaders?
-----------------------------

Ikiwa kama itazuka vita ya nuclear baina ya hayo mataifa mataifa ya Nato yatapata hasara zaidi kuliko Russia.

Mosi, Russia ina vichwa vya kubebea mabomu ya nuclear ambayo yanafika kwa haraka zaidi kwa nchi za wenzake kuliko wenzake. Mfano; Sarmat. Kutoka Russia mpaka UK ni dakika 2.

Pili, Eneo kubwa la kijiografia kinchi linampa Russia faida. Nchi za Nato ni ndogo na kwa msingi huo raia wake wamejirundika rundika kwenye miji. Hivyo likipigwa bomu la nuclear maafa ni makubwa zaidi ukilinganisha na Russia. Russia ana eneo kubwa la nchi na raia wake hawajarundikana kama nchi za Nato. Raia wake wametawanyika maeneo tofauti tofauti ya nchi. Hivyo kiathari ataathirika lakini si kama nchi za Nato hususani ulaya ya magharibi.

Tatu, Russia ana silaha nyingi za nuclear kuliko wao. Hii ni hatari nyengine. Na kubwa zaidi Russia wana mfumo unaoitwa dead hand. Ni automatic nuclear weapons-control system ambao hata kama mkilipua kwa kumshutukiza na kuimaliza Russia, huo mfumo automatically utashambulia nchi hasimu za Russia utaji command wenyewe kwa mabomu ya nuclear. Hii siri ilitolewa na makachero wa Russia waliyokimbilia nchi za Nato.

Mambo bado no magumu kwa Nato kujitoa kafara ya namna hiyo!
 
Mkuu tuwe wakweli.Kama upo msaada wa China,N.Korea na Iran ni kidogo sana,ila Ukraine gets everything from the West.The notion that Ukraine is on its own in it's war with Russia is fake news,infact all it's armament,advicers is from the West.Without Russia Ukraine would fall in two weeks or even less.
 
Ufaransa hii iliyopigwa ndani ya wiki 6 na Hitler na wanajeshi wao wakavalishwa nguo za kike na kupangwa mstari wakati Hitler anaingia ufaransa huku wakimshangilia kama wao cheerleaders?
-----------------------------

Ikiwa kama itazuka vita ya nuclear baina ya hayo mataifa mataifa ya Nato yatapata hasara zaidi kuliko Russia.

Mosi, Russia ina vichwa vya kubebea mabomu ya nuclear ambayo yanafika kwa haraka zaidi kwa nchi za wenzake kuliko wenzake. Mfano; Sarmat. Kutoka Russia mpaka UK ni dakika 2.

Pili, Eneo kubwa la kijiografia kinchi linampa Russia faida. Nchi za Nato ni ndogo na kwa msingi huo raia wake wamejirundika rundika kwenye miji. Hivyo likipigwa bomu la nuclear maafa ni makubwa zaidi ukilinganisha na Russia. Russia ana eneo kubwa la nchi na raia wake hawajarundikana kama nchi za Nato. Raia wake wametawanyika maeneo tofauti tofauti ya nchi. Hivyo kiathari ataathirika lakini si kama nchi za Nato hususani ulaya ya magharibi.

Tatu, Russia ana silaha nyingi za nuclear kuliko wao. Hii ni hatari nyengine. Na kubwa zaidi Russia wana mfumo unaoitwa dead hand. Ni automatic nuclear weapons-control system ambao hata kama mkilipua kwa kumshutukiza na kuimaliza Russia, huo mfumo automatically utashambulia nchi hasimu za Russia utaji command wenyewe kwa mabomu ya nuclear. Hii siri ilitolewa na makachero wa Russia waliyokimbilia nchi za Nato.

Mambo bado no magumu kwa Nato kujitoa kafara ya namna hiyo!
Huu ni uchambuzi mzuri sana.Kwa misingi hii nchi za NATO zipo kwenye hatari kubwa sana.
 
Hivi wewe

Imeloa Unakuwaga na akili za namna gani? Ukraine kwa sasa hamna jeshi. 80% ya wanapigana ni mamluki toka mataifa mbalimbali.
Wiki mbili za mwanzo baada ya kuanza kwa SMO jeshi la ukraini lilikuwa limeshabomolewa kwa kiasi kikubwa. Ndio west na NATO wakaanza kusombelea mizigo ya silaha.
Kwa sasa jeshi la ukraine kwa maana ya hao mamluki hawana tena ile ari ya kuendelea kupigana. Wanalazimishwa tu.

2. Si nchi zote za ulaya zilizopo kwenye umoja wa Nato wapo tayari kuingia kwenye mzozo utakaosababisha vita na Russia. Ujerumani hawapo tayari. Uturuki mnawajua vizuri, ni mandumilakuwili. Hapo viherehere ni France na Uingereza.
Kifupi ulaya haipo tayari kupigana na vita na russia. Maana madhara yake ni makubwa mno.
Wengi hawafahamu hili!
Poland yenyewe inayojitia kiherehere imeshapigwa na Russia kama siyo mara 2 basi mara 3.

General wa Poland alipokuwa anafanyiwa interview CNN aliwaambia waandishi wa habari hao baada ya kuona wana ujinga mwingi kichwani kuwa; wao (kama Poland) wanamjua Mrusi ni mtu wa namna gani ikiwa vitani kwa sababu ni jirani yao. Hivyo wanamfahamu haswa Russia ni nchi ya namna gani ikiwa vitani. Ni jamii ambayo ni tofauti na watu wengi wanavyoifikiria. Russia kihistoria imepigana zaidi ya vita 100.

Ukiisoma historia ya Russia utaishangaa! Watu wameanza kupigana tangu miaka ya 1200. Kupigana na maadui na kupigana na majirani zake ili kulinda nchi yake.
 
Huu ni uchambuzi mzuri sana.Kwa misingi hii nchi za NATO zipo kwenye hatari kubwa sana.
Ww2 nchi ya Swiss kiongozi wao alikimbilia Moscow kwa Stalin na kumpigia magoti kuja kwa kutambaa kuomba Stalin asiivamie nchi yake. Kwa sababu Swiss ilikuwa inasafirisha kupeleka silaha kwa Nazi wa Ujerumani. Baada ya Hitler na jeshi lake kufeli vibaya walipoivamia Russia akaona nchi yake itafuata.

Siwafagilii wa Russia. Ila hawa jamaa wana historia ngumu sana kwenye vita.
 
Waache wapunguzane. Uzuri awamu hii hatutasombwa kwenda kupigiana Kwa maslahi yao kama ilivyotokea vita vya kwanza na vita vya pili. Vita vya pili Babu yqngu na kaka yake walipigana upande wa Malkia. Babu alifika hadi Misri na kaka yake (Babu mkubwa) hadi Burma. Walirudi bila mafao sanasana waliishia kuzisifu ndege vita za Malkia wakati wao wakiwa maskini kupindukia.
endelea kujidanganya
 
Siyo kweli..
Urusi walishindwa Afghanistan huko baada ya kupigana vita kwa miaka 10 ...

DID THE USSR LOSE IN AFGHANISTAN?
On Feb. 15, 1989, a column of armored personnel carriers rolled across the Friendship Bridge, the last of a Soviet army that fought a 10-year war in Afghanistan.

After losing more than 13,000 troops in the quagmire, the Soviet Union pulled back, defeated and demoralized....
Inayo zungumziwa hapa ni Urusi sio USSR.Maana Urusi ilikuwa nchi moja wapo kwenye muungano wa USSR.
 
Inayo zungumziwa hapa ni Urusi sio USSR.Maana Urusi ilikuwa nchi moja wapo kwenye muungano wa USSR.
Inazungumziwa jeshi wewe, na ni hilo hilo.

Hujaona hadi sasa hilo jeshi huwa linaadhimisha performance yake against the NAZi kwenye WW2 (almost 80 years ago) kwa kuwa ni the same army?
 
Propaganda za masjid ubwabwa ndizo zimejaa humu. Hakuna bomu inayoweza kusafiri kwa dakika 2 kutoka Moscow hadi London.
*******************************************
Ballistic missiles travel very fast, no matter what the payload. For example: It is about 1500 miles from London to Moscow. A ballistic missile (after a short period to get up to top speed), travels at about 15,000 miles per hour. So from missile launch to missile explosion would be in range of 6 to 10 minutes.
*******************************************
Kusema kwamba kwenye vita vya nyuklia eti Russia hatadhuhurika kama nchi za Nato ni stori tu za vijiweni kwani wanaoongea hivyo hawajui nyuklia ni nini ila wanaongea tu kishabiki.

Vita havina cha mdogo, mwaka 1939 hii Russia ikiitwa USSR walipewa kipigo na nchi ndogo ya Finland na kuifanya Finland ipone kuwa moja ya majimbo ya Russia, historia ni shahidi.

 
Mkuu sidhani kama upo sahihi by 1%. Russia anazo nyuklia zaidi ya 5000. Nchi zote za ulaya zinaweza kupigwa within 15minutes na wote wanatambua hilo.

Shida ya Macron sio Ukraine na maslahi yake Africa yametikiswa na Urusi Sasa anatafuta namnaya kuungwa mkono.

Jeshi la Urusi ni kubwa na linatisha maana war strategies zao hazijawahi kushindwa.

Pili uwezo wa kuzalisha silaha kwa Sasa Russia ana 3times capacity all NATO
NATO hana
America vipi alimshinda Afghanistan 😄
Tena yeye alikaa miaka 20 akiongoza NATO mwishowe akakimbia na kuacha zana nyingi za kijeshi.
 
Hivi wewe

Imeloa Unakuwaga na akili za namna gani? Ukraine kwa sasa hamna jeshi. 80% ya wanapigana ni mamluki toka mataifa mbalimbali.
Wiki mbili za mwanzo baada ya kuanza kwa SMO jeshi la ukraini lilikuwa limeshabomolewa kwa kiasi kikubwa. Ndio west na NATO wakaanza kusombelea mizigo ya silaha.
Kwa sasa jeshi la ukraine kwa maana ya hao mamluki hawana tena ile ari ya kuendelea kupigana. Wanalazimishwa tu.

2. Si nchi zote za ulaya zilizopo kwenye umoja wa Nato wapo tayari kuingia kwenye mzozo utakaosababisha vita na Russia. Ujerumani hawapo tayari. Uturuki mnawajua vizuri, ni mandumilakuwili. Hapo viherehere ni France na Uingereza.
Kifupi ulaya haipo tayari kupigana na vita na russia. Maana madhara yake ni makubwa mno.
Unaweza ukatupa uthibitisho wowote kuthibitisha kwamba 80% ya wanaopigana upande wa Ukraine ni mamluki.?

Sasa kama Ulaya hawapo tayari kupigana na Russia hiyo Ufaransa ni bara gani anatoka. Unashindwa kufahamu kwamba Russia anasaidiwa sana na Iran, China na Korea Kaskazini na hilo liko wazi kabisa. Acha kudanganya watu bwana, hakuna nchi isiyosaidiwa kati ya Russia na Ukraine.
 
Hizo nchi za Europe hakuna anaye weza kupigana vita na Mrusi ukweli ndio huo ndio sababu wakawa wanataka kuivunja nguvu Urusi kwa kutumia mgongo wa Ukraine.

Uingereza jeshi Lake limeshuka sana level yao, sidhani wanaubavu wa kupigana na Mrusi hata huyo Mfaransa anaenda potezwa tu.

Mrusi hakuna atakaye muweza labda wapate wapiganaji kama wa Talibani, Hezbullah, Hamasi au South Korea ndio wanaweza kupigana na Mrusi.

Wanajeshi wa America wameuliwa wengi sana Gaza tena wale special force hawana lolote ni kuku tu kama mashoga zao Israel.
 
Unaweza ukatupa uthibitisho wowote kuthibitisha kwamba 80% ya wanaopigana upande wa Ukraine ni mamluki.?

Sasa kama Ulaya hawapo tayari kupigana na Russia hiyo Ufaransa ni bara gani anatoka. Unashindwa kufahamu kwamba Russia anasaidiwa sana na Iran, China na Korea Kaskazini na hilo liko wazi kabisa. Acha kudanganya watu bwana, hakuna nchi isiyosaidiwa
Marcon anataka kuiingiza ulaya kwenye vita kwa kuwa maslahi yake yameguswa hapa Africa. Hawezi kuungwa mkono na nchi kubwa ulaya.

Labda ufaransa waseme wao ndio wapo vitani na russia na sio ulaya wapo vitani na russia
 
Unaweza ukatupa uthibitisho wowote kuthibitisha kwamba 80% ya wanaopigana upande wa Ukraine ni mamluki.?

Sasa kama Ulaya hawapo tayari kupigana na Russia hiyo Ufaransa ni bara gani anatoka. Unashindwa kufahamu kwamba Russia anasaidiwa sana na Iran, China na Korea Kaskazini na hilo liko wazi kabisa. Acha kudanganya watu bwana, hakuna nchi isiyosaidiwa kati ya Russia na Ukraine.
Mkuu fikiria hivi

Russia ndio nchi yenye vikwazo zaidi ya nchi zote duniani(vikwazo 18,965). North Korea na Iran wote wanavikwazo.

Fikiria Ukraine inapata Kila aina ya support kutoka mataifa yote ya NATO na yasiyo ya NATO.

Kisha Kila kukicha vifaa vyao, vifaru na makonbora yao yanalipuliwa na Ukraine watu wanakufa. Na Urusi hapigi maboom ovyo kama Israel na USA.

Hivi asingekuwa na vikwazo hii vita ingekuaje? Nchi zinapigwa mikeara isipeleke vifaa vya kutengenezea maboom kwa Russia. Lakini wapeleke Ukraine.

Mwisho ufaransa ana maboom ya nyuklia yasiyozidi 300 huku Urusi anayo 5000+.

Mwisho vita ya nyuklia ni mbaya maana likishatoka madhara yake ni vizazi haijalishi limepiga target au la. Hata ukijam GPS litakapotua ni shida. Ukililipua angani shida kubwa zaidi.

Hata mbwa anaweza kumuuma mwenye mbwa ili kujitetea.

Waza katika upana huo
 

French President Macron to announce: "Europe is at war with Russia" on June 6​


JUNE 02, 2024
French President Macron To Announce: "Europe is at war with Russia" on June 6


June 6 will be a landmark day for the whole of Europe. France will officially make the first announcement of sending military personnel from a European/NATO state to Ukrainian territory.
The Ukrainian president, Zelensy, whose legal term of Office is expired since May 21, is to attend commemorations for the 80th anniversary of the Allied landings in Normandy (WW2) on June 6, French President Emmanuel Macron said.

Macron confirmed Zelensky's visit to France next week while speaking to reporters.

"I will have the opportunity, when President Zelensky goes to France next week for Normandy Landing Day ceremonies, to welcome him and then discuss very clearly what we are going to do to support Ukraine."

According to international media, Macron will choose - not by chance - June 6 in order to announce in front of other Western leaders the mission of French soldiers to Ukraine who will shoulder the responsibility of "training" Kiev!

This is the first such announcement by a leader of a Western country, in another sign of escalation in Ukraine and the Russia-NATO war.

Will it be trainers only? Of course not. It is only the first step on the road to open Europe-Russia war. The French Brigade in Odessa will follow, as will NATO forces in western Ukraine etc.
...............................................................................................
Link:
Sio rahisi
 
Mkuu fikiria hivi

Russia ndio nchi yenye vikwazo zaidi ya nchi zote duniani(vikwazo 18,965). North Korea na Iran wote wanavikwazo.

Fikiria Ukraine inapata Kila aina ya support kutoka mataifa yote ya NATO na yasiyo ya NATO.

Kisha Kila kukicha vifaa vyao, vifaru na makonbora yao yanalipuliwa na Ukraine watu wanakufa. Na Urusi hapigi maboom ovyo kama Israel na USA.

Hivi asingekuwa na vikwazo hii vita ingekuaje? Nchi zinapigwa mikeara isipeleke vifaa vya kutengenezea maboom kwa Russia. Lakini wapeleke Ukraine.

Mwisho ufaransa ana maboom ya nyuklia yasiyozidi 300 huku Urusi anayo 5000+.

Mwisho vita ya nyuklia ni mbaya maana likishatoka madhara yake ni vizazi haijalishi limepiga target au la. Hata ukijam GPS litakapotua ni shida. Ukililipua angani shida kubwa zaidi.

Hata mbwa anaweza kumuuma mwenye mbwa ili kujitetea.

Waza katika upana huo
Kwani hao akina Russia nao si na wenyewe wawawekee tu wengine kikwazo kwani nani amewazuia..!!

Kitu msicho kifahamu ni kwamba nyuklia ni nyuklia tu na haijalishi una ngapi.
 
Kwani hao akina Russia nao si na wenyewe wawawekee tu wengine kikwazo kwani nani amewazuia..!!

Kitu msicho kifahamu ni kwamba nyuklia ni nyuklia tu na haijalishi una ngapi.
Exacltly ndio ninachosema nuclear haina mshindi all will sufer.

Kinachosemwa hapa Russia hawezi kubali humiliation wakati anaweza kuitumia nuclear hasa sovereignity yao inapokuwa mashakani.
 
Macron hana jipya, hana akili, French soldiers wako kibao Ukraine siku nyingi na wameuawa vibaya sana na Russia, NATO soldiers & mecrenaries wako kibao Ukraine na bado Ukraine inapondwa vibaya, sasa kipi kipya cha kutangaza, na siku Macron akitangaza, atapigwa moja kwa moja kwa makombora toka Russia na mji wa Paris utakuwa mwekundu, na Macron aache akili za kishoga, atapigwa ashangae maana Russia kuipiga French ni kama mtoto mdogo anapigwa kibao kimoja tu.
Baaada ya kushiba matapu tapu ndio unasema ivyo
 
Exacltly ndio ninachosema nuclear haina mshindi all will sufer.

Kinachosemwa hapa Russia hawezi kubali humiliation wakati anaweza kuitumia nuclear hasa sovereignity yao inapokuwa mashakani.
Swali, sasa nani hana nyuklia.!?
 
Back
Top Bottom