Swala sio kuingiza Ulaya kwenye vita bali swala ni kwamba dikteta Putin aondoe majeshi yake kwenye nchi ya watu. Period.Marcon anataka kuiingiza ulaya kwenye vita kwa kuwa maslahi yake yameguswa hapa Africa. Hawezi kuungwa mkono na nchi kubwa ulaya.
Labda ufaransa waseme wao ndio wapo vitani na russia na sio ulaya wapo vitani na russia