Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Najua Mpwa hamko hivyo najua kabisaHahahaaaaaaaa, aisee sisi hatupo huko kabisaaa
Tunaofanana na babu wa babu zetu smiling faces sijui tunazitoa wapi[emoji134]Good smiling faces
Humu si tulishakubaliana hakuna warembo jamani!Nawasubiri warembo wa humu ndani tupeane kampani kwa sherehe, tunawaza utakuwaje sherehe tuwe midume tupu hakuna hata sauti nyororo ya kutuliwaza...
Ha ha haa, watakimbia aiseeHahahaa, na ilivyo na jicho kali sasa...
Hahahahaaaaa!Ha ha haa,watakimbia aisee
HahahahaaaaaWeeeee wanaijua hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Njoo tu, masharti yanaweza kulegezwa tuTunaofanana na babu wa babu zetu smiling faces sijui tunazitoa wapi[emoji134]
Nononoooo hao wanakuwa wapo kazini, na sisi hiyo sio lengo letu kabisaaaHaya wapenda vitonga, wapenda dezo mnaalikwa na kaka domo zege, buroo kaamua kuvua gizani, hahhaa nnacheka kama mazuri yaani. Nnakushauri pita Sinza au Ubungo Riverside pale utoe hili tangazo lako au mcheki financial services uombe kambani yake
Ngoja nikazipunguze....nakuja😉Hahahahaaaaa!
Na ulivyo na nyusi nzuri hivyo tunakimbiaje
Karibu sanaaaaaNgoja nikazipunguze....nakuja😉
Aisee, wote mliokomenti mnawaza ngono tuu, really? sasa mawazo ya maendeleo mnayawaza SAA ngapi?Mtu anaenda kuliwa kimasihara
Darasa letu lilikuwa na mdada mmoja tu kati ya wanafunzi 7, naye ananyonyesha hawezi kuja kwa shereheIna maana mkuu kwenye maisha yenu hapo ya postdog mlikua hamna hata marafiki wa kike[emoji846]
Hapo ud undergraduate wapo wa kutosha kesho waambieni tu mnataka tu company kidimbwi yoyote mtayemwona huwezi kosa wa 3Darasa letu lilikuwa na mdada mmoja tu kati ya wanafunzi 7, naye ananyonyesha hawezi kuja kwa sherehe