Friends karibuni sana kwa sherehe kesho!

Friends karibuni sana kwa sherehe kesho!

Nawasubiri warembo wa humu ndani tupeane kampani kwa sherehe, tunawaza utakuwaje sherehe tuwe midume tupu hakuna hata sauti nyororo ya kutuliwaza...
Humu si tulishakubaliana hakuna warembo jamani!
 
Haya wapenda vitonga, wapenda dezo mnaalikwa na kaka domo zege, buroo kaamua kuvua gizani, hahhaa nnacheka kama mazuri yaani. Nnakushauri pita Sinza au Ubungo Riverside pale utoe hili tangazo lako au mcheki financial services uombe kambani yake
 
Haya wapenda vitonga, wapenda dezo mnaalikwa na kaka domo zege, buroo kaamua kuvua gizani, hahhaa nnacheka kama mazuri yaani. Nnakushauri pita Sinza au Ubungo Riverside pale utoe hili tangazo lako au mcheki financial services uombe kambani yake
Nononoooo hao wanakuwa wapo kazini, na sisi hiyo sio lengo letu kabisaaa
 
Ina maana mkuu kwenye maisha yenu hapo ya postdog mlikua hamna hata marafiki wa kike🙂
 
Darasa letu lilikuwa na mdada mmoja tu kati ya wanafunzi 7, naye ananyonyesha hawezi kuja kwa sherehe
Hapo ud undergraduate wapo wa kutosha kesho waambieni tu mnataka tu company kidimbwi yoyote mtayemwona huwezi kosa wa 3
 
Si muende Africa sana kule sinza malaya kibao wamejaa kampani ya kutosha tu
 
Back
Top Bottom