DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Alichofanya kajishushia Sana heshima[emoji34]Mmmmh kumbe postgraduate mwenyewe hata privacy huna..sa ndio Nini?hao wadada wataokuja wakilewa wine wakafanya vibweka so Utatumwa picha Wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichofanya kajishushia Sana heshima[emoji34]Mmmmh kumbe postgraduate mwenyewe hata privacy huna..sa ndio Nini?hao wadada wataokuja wakilewa wine wakafanya vibweka so Utatumwa picha Wewe?
Huyu ndio maana hata kwenye real life hana company!😁😁😁😁Alichofanya kajishushia Sana heshima[emoji34]
Porter potty inawahusuDuuh "feases" ndiyo nini tena hiyo mkuu
Msaada jamani hii postdog ndio kitu gani....ni level mpya ya elimu hapo UDSM?maisha yenu hapo ya postdog
Mkuu DeepPond ,kitabu kipi, sura na aya tafadhari! Nataka nicheke mkuu [emoji23][emoji23]Aisee, Bilblia ilikua na watu wazinzi Sana
Amnori alimkula tamari kimasihara Sana[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23]na kuliwa nisingeliwa coz sio dhumun la makutano hayo .
Nilikuwa sina mpango wa kwenda ila hii comment yako imeniuzi lazima niende kukukomoa[emoji57][emoji57]Hapa ndipo unyumbu wa wanawake unapoanzia, watajazana huko PM wakijua wanaenda kunywa Hennes na kupewa nauli ya Ubber, hawafikirii kuwa wanaume tuna technic Alpha! Ngoja waje, walewe, watajikuta asubuhi washachakatwa mbususu nyuma ya kuta za hostel za Magufuri!
[emoji23][emoji23]Nilikuwa sina mpango wa kwenda ila hii comment yako imeniuzi lazima niende kukukomoa[emoji57][emoji57]
Na kwanini anibananishe nitampa kiroho safi[emoji23][emoji23]
Shauri yako, kazi yangu ni kujaza uzi wa kimasihara!
Na hakuna mwanamke anayekataa kama atabananishwa 18 ukutani! labda awe anakufahamu!
According to my experience ya uchakataji!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Madomo zege
[emoji16][emoji16][emoji16]Na kwanini anibananishe nitampa kiroho safi
Hahahahaha alikua Mzinzi Pro MaxAisee, Bilblia ilikua na watu wazinzi Sana
Amnori alimkula tamari kimasihara Sana[emoji4]
Nakutumia nauli uende halafu uje kutupa mrejeshoIla watu wa humu weng mnawaza ngono tuuu, kwan mnahs mleta uzi hajui wanapopatikana hao malaya?, kuna some people wanapenda tuu kumeet watu wapya ili wazungumze vitu na experience za maisha, ikitokea wamekulana bas tuu n nature watu wamependana, na pia ujue hata huyo mwanamke alieenda nae alijiandaa na hilo, kuliwa au kutokuliwa ni the way mwanamke tuu alivojiweka na kujirahisisha, tusiwe na mawazo potofu sana.
Mimi ningekua dar ningeenda mweeeh na ningekulaaaaa chakula ya bei [emoji23] na kuliwa nisingeliwa coz sio dhumun la makutano hayo .
Karibu naacha cute wangu,nimechoka kuona naumiza mikono ya watoto Kwa vibokoKumbe to yeye Ni teacher.?