Friends karibuni sana kwa sherehe kesho!

Friends karibuni sana kwa sherehe kesho!

Ule vya mwanaume alafu usiliwe...labda jamaa au domo zege
Sio wanaume wote wakiona mtt wakike p.u.m.b.u zinatekenyeka bhn , wapo wanaume tunawafaham na urafiki ulianzia kwenye hzi hzi na hawajawah kuleta mbishe hizo na wengine washaoa na kuoa huko
 
Sio wanaume wote wakiona mtt wakike p.u.m.b.u zinatekenyeka bhn , wapo wanaume tunawafaham na urafiki ulianzia kwenye hzi hzi na hawajawah kuleta mbishe hizo na wengine washaoa na kuoa huko
Kiukweli ni haifai kuchovya kila kibuyu, how comes mtu kila sketi inayopita unaifunua?

Sasa Kuna kuwa na tofauti gani na mbwa? Tubadilikeni bhana, kuwa na limits kwenye haya mambo ndiyo kunafanya tuwe timamu...
 
Jamani sherehe imenoga sanaaa, hapa kila mmoja wetu anafurahi bila kusumbuana, very comfortable na hawa marafiki kutoka hapa tutawarudisha makwao kwa uaminifu mkubwa kabisa!

Mliokuwa mnasubiri kuona nyuzi za kula kimasikhara ndo basi tena....hakuna cha kula kimaskhara wala nini, kujitambua raha sanaaaa
 
Mrejesho wa nyie good smiling faces mlio enda.au tuwakute kwenye uzi wa kuliwa kima sihara
 
Wakati mwingine tujifunze kuwa positive eti, sio kila kitu mnawaza ngono ngono ngono...mwisho wa siku mpnz wako haya akiwa na kamtoko ka kawaida kabisa unaishia kumtwanga risasi kumbe hajafanya chochote cha hovyo...
 
Wakati mwingine tujifunze kuwa positive eti, sio kila kitu mnawaza ngono ngono ngono...mwisho wa siku mpnz wako haya akiwa na kamtoko ka kawaida kabisa unaishia kumtwanga risasi kumbe hajafanya chochote cha hovyo...
Bado mdogo ukikua utajua tu mjukuu

Picha iko wapi hata ya miguu tu inatosha
 
Back
Top Bottom