Duh kazi ndio umepotea wiki kadhaa jamani...mhm wee unatuficha. Shem kafanya mambo makubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weeeee wanaijua hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa huyo shem wakunificha wiki kadhaa hata kama ni vacay angekuwa amenipeleka wapi muda mrefu hivyo? π€Duh kazi ndio umepotea wiki kadhaa jamani...mhm wee unatuficha. Shem kafanya mambo makubwa.
Mie mzima kabisa. Welcome back
Ah wee kuna watu wana mihela vacay wiki kadhaa kitu kidogo bwana kama mwanaume kapenda na hela anazoSasa huyo shem wakunificha wiki kadhaa hata kama ni vacay angekuwa amenipeleka wapi muda mrefu hivyo? π€
Siningemfilisi mkaka wa watu....?ππ
Asantee!! Glad to hear that.
Ngoja nikimpata ntaleta mrejesho ππAh wee kuna watu wana mihela vacay wiki kadhaa kitu kidogo bwana kama mwanaume kapenda na hela anazo
Unafundisha maths nini best, haina kucheka ile.Smile face sijajaaliwa mie...nimezoea makasiriko na wanafunz wangu
Yes, it's π€£Unafundisha maths nini best, haina kucheka ile.
Weeee hongera sana, nwana EGM miyeYes, it's π€£
Oo HOngera sana KamandaWeeee hongera sana, nwana EGM miye