Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Umeona ulivyo na bahati? Chatu hana makucha ya kuparua wala mimeno migumu na katili kama simba. Badala yake chatu hutumia ulimi kukulamba mwili mzima, haogopi uchafu.
Haya acha longolongo basi twende PM kabla wambea hawajaingilia move yetu.
nimeghairi.!
Yaani wewe Lady doctor na mwenzio Passion Lady nikiwaona, roho yangu yaniuma sana.
Hamjui kuwa Ruttashobolwa na Chimbuvu nimetoka nao wapi.
Ngoja kesho niende kwa bamdogo Manyaunyau.
jamani ww na Ruttashobolwa tena
si mliachana ukaridhia kabisa?kama kwenda
kwa ankal labda kwa ajili ya Chimbuvu hakiyanani!!
Lady doctor umeyasikia haya!!
Mama yangu mwanamke!!! Dah!
Kwanini lakini? Mbona sura yako haifanani na roho yako?
Fikiri mara mbili, huwezi jua mipango ya Mungu. Twende PM basi jamani jamani jamani....
nimeyasikia malalamiko yake...... Tumemtia presha hadi anaenda kuomba kazi kwa wagane na Chimbuvu simuachi ng'o!
ikiwa hivyo njoo uwe wa pili...hata wewe pia unanisukumizia huko jamani?
Sasa safari hii atakaye ni kagua ndiye atakaye ''niwowa'' potelea mbali si wanajitia vihelehele wa kukagua? Tena naenda kuwaambia na wale manew comer wasikubali huo mchezo, tuone watamkagua nani
Liwalo na liwe. Najua ni upepo tu, utapita.hilo ni pozi tu la picha babu... Nikikuwekea picha niliyo nuna kamwe hutoweza kunisemesha marambili.
Tena ngoja nijiphotoe nikutumie kwa pm tuone kama utarudia
mwenzangu kama ye anaenda huko
sie twende kwa mwakasege au kwa mama lwakatare khaaa!!
Liwalo na liwe. Najua ni upepo tu, utapita.
Haya mi natangulia PM. Usichelewe tafazali, ntalia.
ikiwa hivyo njoo uwe wa pili...
ndio maanayake ngoja nianze process zakwenda kwa ngurumo ya upako
hahahaaa!!!! Ujue nini bab!!? Natamani nikuone jinsi unavyolia....... Ebu fanya advertise kidogo
mwenzio nimemnyakuli na Shark
ana hasira na mimi acha kabisa!!
huyo babu Asprin
wala usimsikilize shost,hana hela ujue!!
happy birthday mkuu. mia
hayo ndio mambo yaliyo mponza SLave
kila mtu ana bahati yake....