From JF to Me!

From JF to Me!

Umeona ulivyo na bahati? Chatu hana makucha ya kuparua wala mimeno migumu na katili kama simba. Badala yake chatu hutumia ulimi kukulamba mwili mzima, haogopi uchafu.

Haya acha longolongo basi twende PM kabla wambea hawajaingilia move yetu.

nimeghairi.!
 
Last edited by a moderator:

keki mkala wenyewe hata karibu
hata mimi hodi hodi na ikome,mwaka huu naolewa!!
 
Mama yangu mwanamke!!! Dah!

Kwanini lakini? Mbona sura yako haifanani na roho yako?

Fikiri mara mbili, huwezi jua mipango ya Mungu. Twende PM basi jamani jamani jamani....

hilo ni pozi tu la picha babu... Nikikuwekea picha niliyo nuna kamwe hutoweza kunisemesha marambili.
Tena ngoja nijiphotoe nikutumie kwa pm tuone kama utarudia
 
hata wewe pia unanisukumizia huko jamani?

Sasa safari hii atakaye ni kagua ndiye atakaye ''niwowa'' potelea mbali si wanajitia vihelehele wa kukagua? Tena naenda kuwaambia na wale manew comer wasikubali huo mchezo, tuone watamkagua nani
ikiwa hivyo njoo uwe wa pili...
 
hilo ni pozi tu la picha babu... Nikikuwekea picha niliyo nuna kamwe hutoweza kunisemesha marambili.
Tena ngoja nijiphotoe nikutumie kwa pm tuone kama utarudia
Liwalo na liwe. Najua ni upepo tu, utapita.

Haya mi natangulia PM. Usichelewe tafazali, ntalia.
 

mwenzio nimemnyakuli na Shark
ana hasira na mimi acha kabisa!!

hahahaa!!!! Ngoja nifanye mpango wa kumuingiza Ben saanane kwenye himaya yangu, nione atafanyaje.....!! Nitahakikisha kazi ya kulea wagane anaiacha aende akafanye kazi ya kukusanya viingilio vya toilet za stand
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom