From series msimu wa 3 umetoka

1. Mtoto ni yule aliyepiga magoti na kumwambia Remember,

2. Ep. 1 wakati Tabitha anachimba lile shimo, Jimmy alipokea sauti kupitia ile simu ya upepo kumuuliza mke wake yupo wapi na kumwambia asingechimba lile shimo, yule mzee ndio yule yule ambaye amekua akimpigia simu na kujifanya yeye ni mtoto wao Thomas, pia alimwambia "nilijaribu sana kukuonya..... haya ndio malipo ya kua na akili nyingi" kwa hiyo kile kibabu ndio kile kilikua kinapiga piga simu,

3. May be.....

4. Vita sidhani ila kutakua na daylight monsters watakua wanaranda randa msituni, kumbuka Jullie alimwambia baba ake toka msituni nenda town kuko salama zaidi

Based on my theory
 
Kosa la Jimmy ni nn?
Uyo mzee ni nani?
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ asante sana mkuu, japo episode ya 10 sijaiangalia mpaka muda huu, si unajua tena vijana na pilika pilika za wikiend. Acha niidownloqd kesho nikifika ofisini
 
Dokta naomba link ya episode 10
 
Bado Mpaka Sasa Hakuna Tarehe Rasmi Ya Kutoka Kwa Msimu Wa 4 Wa Series Ya FROM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…