Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #321
Exactly 💯 ngoja tuone msimu ujao aisee ila yule dogo Ethan ana akili sanaUmesahau Ethan alimwambia huwezi kubadili story ambayo imeshaongelewa, sijui watafanyaje ili kutuonesha otherwise ila combination ya Jade, Tabitha na Jimmy ilikua inaenda kuwatoa Fromville ndio maana Man in Yellow akaingilia kati
Huyu Man in Yellow (MIY) jana alinifanya hadi nikawahi kuzima PC ile kipande cha mwisho so sad jim 😭😭Sasa hivi tuna Boy in White (BIW) na
Man in Yellow (MIY)
Sema hicho kizee kitasumbua sana ssn 4
Man in yellow ni kama opposite ya boy in white. Wakati boy in white anataka kusaidia code ya kumaliza mchezo, huyu man in yellow yeye anazidizi kuwamanipulate wanajikuta wana mambo mengi halafu hawafanikiwi.Sasa hivi tuna Boy in White (BIW) na
Man in Yellow (MIY)
Sema hicho kizee kitasumbua sana ssn 4
Mimi namuwazia Boyd ataweza kutoka kweli kule bila kushtukiwa? wasije wakamhold, pia nakumbuka Victor alisema many people will die kama ilivyotokea kipindi yupo mdogo na akasisitiza kuna kitu hakipo sawa, sasa Jade na Tabitha kama wameenda kuibua hao watembea mchana kazi ipo, vipo vitakua vingi sanaMan in yellow ni kama opposite ya boy in white. Wakati boy in white anataka kusaidia code ya kumaliza mchezo, huyu man in yellow yeye anazidizi kuwamanipulate wanajikuta wana mambo mengi halafu hawafanikiwi.
Season zote mission zake anazipiga behind the scene, season 4 atakuja front na ndie atakua villain. Navuta picha sijui watadili nae vipi maana mzee hata mchana anaingia street tu tofauti na wale wengine wao mpaka usiku
Mzee wa kutabasamu huyu alikula kichwa wale wageni wa kwenye bus 😃😃season 2Huyu jamaa nyie anatisha hilo tabasamu lake, khaaa nimeangalia interview yake mwenyewe yuko poa tu hana neno na ndivyo anavyotabasamu
Sara hana shoo mbovu.Sijui wana siri gani, ila yule ndo anafaa kuwa mtoto wa Boyd sio yule Elis mtoto wa mama
😃😃Sara hana shoo mbovu.
Boyd naye mizunguo, nesi alitaka kumjulia hali tu ye anamaindi.Kuna kile kidem ni ki monster kinachovaa kama nesi sijui mpishi ep 9 kilimfuata Boyd kikagonga dirishani na kumuuliza Boyd "everything okay in there" Boyd alimaind
Jamaa angefaa kwenye movie za SmileMzee wa kutabasamu huyu alikula kichwa wale wageni wa kwenye bus 😃😃season 2
Ata ungekuwa wewe ungemaindi wale wanakera sana wale jamaa😃😃Boyd naye mizunguo, nesi alitaka kumjulia hali tu ye anamaindi.
Angeupiga mwingi sana hasa hii ya pili angekuwepo aisee 😂 😃😃Jamaa angefaa kwenye movie za Smile
Mwamba mizinguo sana, alitaka kupambana na monster na Mjiti.Huyu í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸View attachment 3161224
Kosa lake pia ni kuambiwa ukweli kuhusu REINCARNATION iliyokuwa inafanyika mule.Kosa la jimmy ni kuwasanua Jade na tabitha kua zile herufi ni nota za mziki. Pia kumuacha Tabitha achimbe shimo kule ndani ya nyumba, maana baada ya tabby kuchimba shimo na kuingia kule kwenye yale mahandaki ndio akaanza kupata Vision na hallucinations za Fromville.
Ndio maana The Man in Yellow alimwambia Jimmy kua "Knowledge comes with price"
Kosa ni kuujua ukweli.Kosa la Jimmy ni nn?
Uyo mzee ni nani?
Hadi Mimi 😃Sara alivyoanza kumpamba Boyd kwamba ni mtu mwema na ana roho ya kusaidia tayari nikajua bwana mdogo Elgin kayakanyaga inaenda kumkuta kazi.