From series msimu wa 3 umetoka

From series msimu wa 3 umetoka

Tupo EP ya 5
Screenshot_20241020-122918.jpg
 
Hii series kali aisee! Nitairejea tena nikipata wakati, nakumbuka niliishia Season 1, kwasasa nasogeza wakati wa jioni kuelekea usiku na Series ya "Two weeks to live", hii chuma kutoka kwa wa-British, England moja hiyo.
 
Hii series kali aisee! Nitairejea tena nikipata wakati, nakumbuka niliishia Season 1, kwasasa nasogeza wakati wa jioni kuelekea usiku na Series ya "Two weeks to live", hii chuma kutoka kwa wa-British, England moja hiyo.
Series kalii sana hii mkuu
 
Hii torrent haikuzingui kwenye speed? Kama kasi yake unaona ni ndogo jaribu kutumia website ya seedr, hapa uta-paste link kama unavyoi-paste huko torrent-U.torrent. Kitu kinaenda shwaa, ila isiwe tu kwa sim card ya Halotel ambao kwa wiki hizi mbili wana Internet yenye kasi ya kobe.
Ilijaa kaka Leo voda network ni mbovu sana
 
Ilijaa kaka Leo voda network ni mbovu sana
Tunalipia vifurushi tupate tunavyovitaka huko mitandaoni-movies, picha n.k ila tunaishia kupata karaha! Nilijua shida ipo kwenye mtandao wa Halotel peke yake kumbe hata Vodacom nako mambo ni yale yale.

Kwa wiki hizi tatu yameachiwa madude mazito sana-series na muvi, mchawi ni spidi ya mitandao tunayotumia.

Muda huu napambana angalau nipate website yenye mb chache angalau niishushe muvi ya "Finding Forrester" maana kwa site zenye mb kubwa naishia kusoma maneno haya "18 hours remaining" kwenye browser, speed ya mtandao imepotea kabisa!
 
Tunalipia vifurushi tupate tunavyovitaka huko mitandaoni-movies, picha n.k ila tunaishia kupata karaha! Nilijua shida ipo kwenye mtandao wa Halotel peke yake kumbe hata Vodacom nako mambo ni yale yale.

Kwa wiki hizi tatu yameachiwa madude mazito sana-series na muvi, mchawi ni spidi ya mitandao tunayotumia.

Muda huu napambana angalau nipate website yenye mb chache angalau niishushe muvi ya "Finding Forrester" maana kwa site zenye mb kubwa naishia kusoma maneno haya "18 hours remaining" kwenye browser, speed ya mtandao imepotea kabisa!
Inasikitisha sana kaka hadi Mimi napata speed ndogo sana na telegram nayo bila vpn hautoboi aisee
 
Inasikitisha sana kaka hadi Mimi napata speed ndogo sana na telegram nayo bila vpn hautoboi aisee
Hata furaha ndogo tu ya kufurahia speed ya mtandao tunanyimwa! Na huko Telegram upate VPN tena uongeze na makandokando-Proxies, yaani tunaishia tukiishia!
 
Series bando ndefu, labda waamue kuifupisha tu, visa vingi mno vitaibuka..

Swali kubwa ni nini chanzo cha yote hayo, victor anajaribu kukumbuka lakini anakwama...

Kwanini Tabitha amerudi, tena na baba yake victor,

Nini kitatokea kwa Fatima, na hatma ya mtoto wake

Kuna jamaa anaona mwanamke wa ajabu ni nini mwisho wake,

Kuna maswali mengi, naona kabisa kuna uwezekano wa S4
 
Series bando ndefu, labda waamue kuifupisha tu, visa vingi mno vitaibuka..

Swali kubwa ni nini chanzo cha yote hayo, victor anajaribu kukumbuka lakini anakwama...

Kwanini Tabitha amerudi, tena na baba yake victor,

Nini kitatokea kwa Fatima, na hatma ya mtoto wake

Kuna jamaa anaona mwanamke wa ajabu ni nini mwisho wake,

Kuna maswali mengi, naona kabisa kuna uwezekano wa S4
Kabisa Mkuu ila nahisi yule mwanamke wa ajabu ndiye fatima
 
Series bando ndefu, labda waamue kuifupisha tu, visa vingi mno vitaibuka..

Swali kubwa ni nini chanzo cha yote hayo, victor anajaribu kukumbuka lakini anakwama...

Kwanini Tabitha amerudi, tena na baba yake victor,

Nini kitatokea kwa Fatima, na hatma ya mtoto wake

Kuna jamaa anaona mwanamke wa ajabu ni nini mwisho wake,

Kuna maswali mengi, naona kabisa kuna uwezekano wa S4
Kuna series ambayo ipo kwenye genre ya thriller na comedy inaitwa "Only Murders in the Building", humo yupo Selena Gomez na wazee wawili. Kuanza kwake kulikuwa simple sana, season 1 iliisha tukaenda Season 2, hatujakaa sawa hii hapa Season 3 na sasa kama utani tumeletewa Season 4.

Waandishi wakiona series au movie imependwa chapu wanapiga ma "plot twist" na surprises kibao mnajikuta-watazamaji mnaletewa miendelezo. Angalia Extraction jinsi walivyotubeba na kutusukumia kwenye muendelezo. Yale yale ya Fast Furious yanarudi huku.
 
Hata furaha ndogo tu ya kufurahia speed ya mtandao tunanyimwa! Na huko Telegram upate VPN tena uongeze na makandokando-Proxies, yaani tunaishia tukiishia!
Nahisi serikali inatufanyia makusudi mkuu
 
MGM hawajaanza leo Tangu LOST wanavuta mpaka season six alafu mwisho mtaachwa bila majibu ,Bad Ending
From hii upuuzi.
 
Nahisi serikali inatufanyia makusudi mkuu
Haya mambo ya gavoo tuyaache tu, furaha hii tuliyonayo hata kama ni ya kupima robo robo inatosha. Tuko na poor technology, poor infrastructure, inadequate innovations, unnecessary clout chasing stunts na madude kibao, ya mwisho kabisa sisi ni third world country, so we should expect nothing better.
 
Back
Top Bottom