Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Guys, nimeona behind the scene wanavyowatengeneza wala creatures, niseme tu wakiwa kwenye demon form wala hawatishi kama wakiwa kwenye human form, imagine mtu anakufata kwa mwendo wa taratibu na tabasamu mwanana whooo! so scary