From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

Kipimo cha kiongozi kukubalika ni uchaguzi halali, sio hizo porojo zako za huko mtaani. Ukiona kiongozi haheshimu uchaguzi ujue hakubaliki, ama kiwango chake cha kukubalika ni kidogo.
Usilazimishe kuhusisha kukubalika kwa mtu na masuala ya uchaguzi, suala la Magufuli kukubalika hata sio la kuleta ubishani hapa.
 
Wanahistoria kabla ya kusoma Historia yoyote huwa wanamsoma mwandishi wa Historia hiyo kwanza.. Alikuwa na Mrengo gani, Elimu yake, Mtazamo wake katika masuala ya maendeleo ya jamii, nk.. Hii inasaidia wanahistoria kuweza kujua kama Historia hiyo imeeleza ukweli, imependelea, au imekandamiza upande fulani kwa sababu ya maslahi binafsi..

Ukiwatazama waandishi wa kitabu hiki wanajulikana wote mrengo wao.. Kwa maana hiyo basi kitabu hiki kitakuwa kimejaa Biasness ya kiwango cha kutisha ili tu kuwaridhisha waliofadhili uandishi wakitabu hiki..

Niseme tu kuwa kitabu hiki kitawafurahisha wachache kwa muda mfupi lakini hakitadumu katika Historia.
 
Miladi chato ivi awa wanakili kweli aya na twiga kupandishwa ndege awakuona awakutunga kitabu
 
Umesema kuajiri maswaiba nikakumbuka mnyikuru wa mkwere
 
Yaan watu wazima Tena wazee na akili zao wanapoteza muda mwingi kwa kufanya vitu vya kijijnga na kipumbavu.Ngurumo kwa umri ni Mzee ,lakin anafanya ujinga mwingi.Sijui maisha yake atayatengeneza lini.
Kweli kuwa mtu mzima hai guarantee kuwa na akili... nimejifunza kutoka kwenye huu uzinduzi wa kitabu!
 

Juzi tu hapa tulikuwa tunalalamika mkopo tunagawanaje sawa na visiwani wenye watu laki 5!!!

Kubali majina yote ila sio mtu akuite chawa,ujue amegundua una ucenge mwingi sana.

Hayo mazee ni machawa tu.
 

Huwezi muweka magufuli na samia eneo moja.

Hiyo ni dalili kwamba una ajenda chafu.
Kwa maelezo yenu magufuli alikandamiza demokrasia,samia anakandamiza demokrasia???
Magufuli alinunua ndege bila kuitisha vikao,samia amenunua hata kijiko billa kuwataarifu???
Sabaya,makonda na musiba walikuwa ni chawa wa magufuli vipi mama amewatumia???

Ukimsema magufuli wewe ni mnufaika wa utawala wa saaa period.leo kuna mambo kibao ya kipuuzi yanaendelea na yanazidi kuwa hovyo,hatuwezi kubali kupotezwa maboya na historia za mtu aliyekufa tayari.
 
Usilazimishe kuhusisha kukubalika kwa mtu na masuala ya uchaguzi, suala la Magufuli kukubalika hata sio la kuleta ubishani hapa.

Imebidi nicheke sana, awe anakubalika sana huko mtaani, ila ikifika kwenye kipimo halisi cha kukubalika kwake ashindwe kuheshimu zoezi hilo! Hii ni kali ya mwaka.
 

Uwanja uko wazi, andika kitabu cha kumtetea au kumsifia hakuna mwenye tabu na hilo, ila kitabu hiki kimeandika ukweli wa mabaya yake. Ifahamike alipokuwa hai hakuruhusu kusemwa, acha asemwe sasa.
 
Umegusa kila mahali mkuu.

Ukweli ni kwamba:
1. JPM alikuwa ni bonge la rais lakini
Mwenye mapungufu mengi lakini;
2. JK, SSH, na Mwinyi ni wadhaifu zaidi.
3. Magufuli ukiondoa ubabe uliopitiliza kwa kweli angekuwa bora sana.

Kwasasa tumerudi nyuma sana kushinda zama za JK.
 
Dawa ya moto ni moto! Kiandikwe kitabu kuelezea mema ya JPM kwa taifa. I bet kitanunuliwa saaanaa...
 
Kimeandikwa na puppets pungaz hao waliokuwa "wateswi" wa JPM, wale waandishi waliokuwa wakilipwa kuandika mabaya tu ya utawala wake.

Kumbe kweli alikuwa na mabaya, sasa kuna ubaya gani wa mtu kuandika mabaya yake tu? Nyie si mngejotikeza kuandika mazuri yake tu? Au ni hatua gani walichukuliwa waliokuwa wanaandika mazuri yake tu bila kuchanganya na hayo mabaya yake?
 
Dawa ya moto ni moto! Kiandikwe kitabu kuelezea mema ya JPM kwa taifa. I bet kitanunuliwa saaanaa...

Mnangoja nini kuandika hicho kitabu cha mema yake, au nyie sio wabunifu bali ni watu wa kuiga tu baada ya wabunifu kuanzisha jambo?
 
Hao Wanakagera wawili na askofu wao wangeandika tu kitabu cha kujikwamua na umaskini wa mkoa wao kingeuza sana kwa sababu na wilaya zake ziko bottom kwa umaskini
Hicho cha mkoa wa Kagera kaandike ww ili kiuze sana, acha hicho chao kikose wateja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…