From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

Hwajamkamia. It is the life he chose.

Magufuli mwenyewe kaamua kuingia kwenye maisha ya siasa, hajalazimishwa na mtu.

Ukishaamua kuwa mwanasiasa, kuongoza mamilioni ya watu, umeamua kuacha maisha ya privacy, umekubali watu wayachambue maisha yako vizazi na vizazi.

Angeamua kuwa private citizen kama mimi, kusingekuwa na mtu anayemuandika.

It's the price of admiralty.
Kazi kweli kweli
 
Nimeenda Chato kabla na baada ya kifo cha JPM, the township is growing into a full fledged town, just like any urban Tznian town, achana na propaganda za jf. He laid the foundation the rest is history, kuna nightlife na vibe kama ya miji mingine midogo yenye hadhi ya wilaya na huwezi boreka,
Asante Mungu Kwa kutupa SSH kuwa Rais wetu
 
Wapuuzi tu.kwa hiyo walitaka chato isijengwe?kama hawataki chato ijengwe wangeikataa ili iwe sehemu ya rwanda au burundi.yaani wanataka kuwabaguwa watz wa chato ili wasipate huduma za kijamii?Nani anunue hiyo takataka
Sisi tumesha nunua hakika ni kitabu kizuri Sana
 
Kazi kweli kweli
Ndo hivyo, kama hutaki kuandikwa, usiingie kwenye siasa.

Ukishaingia kwenye siasa, umekubali kuandikwa vizazi na vizazi.

Mpaka leo watu wanamuandika Caligula.

Unamjua Caligula wewe?

Caligula katawala enzi za maisha ya Yesu, miaka 2,000 iliyopita, lakini mpaka leo watu wanamuandika vituko vyake.

Itakuwa huyo Magufuli kafa hivi karibuni tu?
 
Kama Mungu angemuacha mpaka leo ingekuwa kama ifuatavyo;
1. Hadi sasa tungeshuhudia kwa mara ya kwanza TZ treni za mijusi zikikatiza kwenye SGR dar- moro - dom.
2. Upigaji wa trilioni zaidi ya 30 tusingeusikia.
3. Maharage tungekuwa tunachemshia umeme maana Nyerere dam ingekuwa imeisha na umeme ungekuwa bwerere.
4. Tungeshuhudia miradi mikubwa mno Tanzania kuwahi kutokea africa mashariki na kati.
Kamdanganye anaembato mazaako
 
Umekisoma na kukielewa kipande hiki?

"Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao."

Hiki kitabu hajaandikiwa Magufuli. Magufuli kashakufa.

Hiki kitabu wameandikiwa waliobaki. Wasiharibu kama alivyoharibu Magufuli. Wakiharibu watachafua legacies zao.

Magufuli kaharibu eh!!!

Hii nchi inapotea sababu wanafiki ni wengi.
Huyo bagonza haoni yanayoendelea kwa sasa??
 
Magufuli kaharibu eh!!!

Hii nchi inapotea sababu wanafiki ni wengi.
Huyo bagonza haoni yanayoendelea kwa sasa??
Kwenye logic hili kosa linaitwa "logical non sequitur".

Yani unaunganisha mambo mawili ambayo hayana muungano.

Ikiwa utawala wa sasa unaharibu, hilo halina maana Magufuli hakuharibu.

Tena, inawezekana utawala wa sasa unaharibu kwa sababu umejifunza kuharibu kwenye utawala wa Magufuli.

You are creating a false dichotomy, a fake mutual exclusivity.

Nimeona watu wengi wakiwa na huu ujinga kwamba ukimsema Magufuli basi lazima unamtetea Samia, wakati wote wanaweza kuwa walewale tu!
 
Hakika Mungu Yu mwema Kwa kumleta Rais mpenda haki mama Samia,Mungu aliona taifa linaangamia kwa ushamba,ulimbukeni,majivuno,umungu mtu,mauaji,ukabila,ukanda,na ulimbukeni uliotukuka hakika Mungu wewe ni muweza!! Hukukose

Mpenda haki,anayejua kuishi huru ni haki hata ya mtz mwizi na asiye muadilifu.

Mama ameamua kuwachekea tu,na kuishia kusonya ili asiwakasirishe wapenda haki na watoto wa mjini kama wewe.
 
Ila jiwe was too much tuliishi Kwa hofu sana plus wasiojulikana hata kupiga umbeya ikawa hofu
Jamaa ameivuruga sana hii nchi. Hata siasa za chuki zilishamiri sana wakati wake, kuliko nyakati zingine zote
 
Jamaa ameivuruga sana hii nchi. Hata siasa za chuki zilishamiri sana wakati wake, kuliko nyakati zingine zote
Yani angekuwepo mpaka Leo angesabibisha hata vita vya ukabila na ubaguzi juu
 
Back
Top Bottom